Je goli la 4 la Yanga vs Mtibwa ni la Skudu au la beki wa Mtibwa aliyejifunga?

Nenda kaangalie goli la liver vs crystal palace la kusawazisha halafu uone nani kaandikwa mfungaji
 
Nenda kaangalie goli la liver vs crystal palace la kusawazisha halafu uone nani kaandikwa mfungaji
Hili ni jibu zuri kwa wale waliokuwa wanasema mpira usipobadili uelekeo ni la kujifunga, hili limebadili uelekeo. Lile shuti la Mo Salah limebadili uelekeo na pia lisingemgonga mchezaji mwingine ule mpira ulikuwa unaenda nje ila bado amepewa Mo Salah.

Ukweli ni kuwa credit ya kujifunga siyo credit nzuri kwa mchezaji aliyejifunga na hayo magoli hayahesabiki kama goli lake. Pia FIFA hawana sheria bali wana miongozo tu kuhusu jinsi ya kutoa credit kwenye magoli haya. Ndiyo maana ni nadra sana kukuta ni issue ya majadiliano.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…