Je, hakuna Sheria inayoratibu matumizi ya fedha kwenye uchaguzi?

Trubarg

JF-Expert Member
Joined
Jan 8, 2020
Posts
4,388
Reaction score
7,223
Nchi za wenzetu wanasheria zinazoratibu matumizi ya fedha kwenye uchaguzi ili kuweka fairness. Najaribu kujiuliza hili Kwa Tanzania lipo, au kila MTU anatuma kadiri awezavyo. Hivi karibuni CCM ilishusha bus ya Yutong karibu hamsini, wakati huo huo kunachama ata Ofisi hakina. JE hapa fairness utakuwepo kweli?
 
Pigania Katiba mpya ili tupate hizo sheria
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…