Chumchang Changchum
JF-Expert Member
- Nov 1, 2013
- 5,988
- 6,226
Ngumu kumeza hiyo.. HahahahRais Tushamjua Bado kumfanya mbowe kuwa mbunge Wa kawaida na Zito kuwa KUB hahhaa Hapo ndipo watajua Kuwa siasa in Sayansi na zito anajitahidi japo mnafki tu kama huyu kibaraka Wa mabepari
Au aende jimboni kwa kibabajajiWanakusanya Kodi? Usha fika kwa Ndugai au kule Mtera? Nenda jimboni kwa Ndugai unajioneee nini maana ya Umasikini
Pitia kwa mangi nunua balimi upooze koo baada ya jibu mjarabu[emoji111][emoji111]Ambacho serikali imewafanyia wanakawe basi na Halima kafanya hivyohivyo,Kama Halima hajafanya kitu ujue na serikali haijafanya kitu.Kwa hiyo Tuseme hata Magu hafai?
Bravo Nimependa sana mtazamo wako. Hawa sasa ndo wanakaweKuwakilisha watu wa Kawe. Wana Kawe hatutaki nuksi ya ambulace za utapeli wa sadaka za watu kudanganya kwamba Gwajima anafufua watu waliokufa. Gwajima ni mfanyabiashara mzuri wa dini lakini huwezi kusema utategemea kusaidia jimbo kwa pesa za sadaka ambazo hazina kodi. Wabunge kazi yao sio kufanya vitu! Ni kuwakilisha matatizo ya sehemu na Halima kawakilisha na kusema matatizo yote. Kawe inaonhoza kwa uwekezaji Tanzania sasa mlitaka afanye nini. Kawe hakuna umasikini wa kusaidiwa ambulace na kwanini hajasaidia huko nyuma! Gwajima kawekwa kwasababu ni kabila moja na Magu kila mtu anajua hilo angekuwa rais mwingine asingekuwa mgombea wa Kawe
Paskali nisiwe mnafiki siwezi mchagua Gwajima kwakuwa alishasema anataka kuigeuza misikiti kuwa Sunday schools, nikiwa kama muislam nawaza huyu hakuwa na madaraka aliongea vile je nikimkabidhi madaraka itakuwaje? Mimi ni muislam na najivunia kuwa muislam
Mzee tuelezane kwa fact basi, aliyekwambia mimi ntaipigia kura cdm ni nani?Mkuu je kuhusu Chadema kuwa tawi la kanisa je utawapigia kura, tegeta kwa ndevu kuna msikiti miaka mitano imepita zilipatikana documents zinazozinasibiisha Chadema kuwa ni sehem ya kanisa je hili unalionaje, na je unaijua hukmu ya kupiga kura kwa ww uislamu ipoje, all in all pande zote ni shirkibillah kama umeamua kwa gwaji boy basi usipige kokote coz kupiga itakuwa umefanya unafiki na unafiki ni mmbaya kuliko kuua.
Mzee tuelezane kwa fact basi, aliyekwambia mimi ntaipigia kura cdm ni nani?
Mkuu mimi si mkazi wa Kawe wala Dar, Pascal anayajua majukumu ya wabunge vizuri sana na hayo yote aliyotaja si miongoni mwa majukumu. Kama Gwajima alifanya hivyo basi alifanya kama mwananchi yeyote mwenye kipato na utu kwa wasionacho. Inashangaza sana kwa mkongwe Pascal kuja na hoja mfu kama hizi.wanaruka ruka tu makida makida na visketi vyao,swali halijibiwi story kibaoooo
Kwahiyo miaka 10 Halima hajafanya hata moja? bandiko lako lipo bias sana