MdimuNgoda
Member
- Feb 9, 2017
- 22
- 9
Kwa wabunge wengi waliopo katika miji mkuu kama huu DAR ni ngumu sana kuweza kuona kazi aliyofanya Mbunge. Mfano kwa sisi wakazi wa ILala jimbo la Zungu huwezi kumpima Zungu kwa kazi alizofanya jimboni kwani hadi leo barabara za ndani maeneo ya Upanga na kwingineko hayana lami...na leo anaomba tena...
So same na kwa Halima Mdee.....achilia mbali kipindi cha miaka 10 anayoenda kumaliza October 28 zaidi ya 1/2 katumikia mahakamani.....
So let her take another 5 years tuone atabadili nini lakini pia ikumbukwe kuwa eneo alipo mpinzani serikali kupeleka huduma inachukua muda.....
So same na kwa Halima Mdee.....achilia mbali kipindi cha miaka 10 anayoenda kumaliza October 28 zaidi ya 1/2 katumikia mahakamani.....
So let her take another 5 years tuone atabadili nini lakini pia ikumbukwe kuwa eneo alipo mpinzani serikali kupeleka huduma inachukua muda.....