johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Halima Mdee kwa nafasi yake kama mwenyekiti wa BAWACHA ndio Mbunge wa Viti Maalumu namba moja kama CHADEMA itapata sifa ya kuwa na wabunge hao.
Ngoja niangalie jumla ya kura na uwiano wake nione kama CHADEMA ina qualify kutoa wabunge wa viti maalumu ( Wanawake)
Nitarejea.
Maendeleo hayana vyama!
Ngoja niangalie jumla ya kura na uwiano wake nione kama CHADEMA ina qualify kutoa wabunge wa viti maalumu ( Wanawake)
Nitarejea.
Maendeleo hayana vyama!