denooJ
JF-Expert Member
- Mar 31, 2020
- 18,509
- 68,228
Who cares?!Hiyo itakuwa big mistake. Akigoma kwenda bungeni na uchaguzi ukarudiwa hawezi kushinda.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Who cares?!Hiyo itakuwa big mistake. Akigoma kwenda bungeni na uchaguzi ukarudiwa hawezi kushinda.
She should care for the wananchi who voted for her.Who cares?!
Do you and your party knows that you are responsible for caring for others too?!She should care for the wananchi who voted for her.
Weye waamini kuwa Halima Mdee atarudi bungeni kwa tiketi ya viti maalum?
Mtu huyohuyo ambae ameondolewa kwenye kiti cha ubunge na Gwajima?
Sababu kubwa khasa itakuwa ni ipi?
No human being can make it alone, sharing is caring.Do you and your party knows that you are responsible for caring for others too?!
Kwanza vinatambuliwa vyama vyenye hiyo angalau 5% ya kura za ubunge, kwa mfano cdm na ccm kwa sasa. Kisha unatafutwa uwiano tena wa kura zao za ubunge kwa hivyo vyama vyenye sifa tu. Kwa mfano kura za ujumla za ubunge za cdm ni x na za ccm ni y, kwa hiyo uwiano wa cdm utakuwa ni (x/(x+y))100% na wa ccm ni (y/(x+y))100%. Halafu huo uwiano utazidishwa na jumla ya viti maalumu vilipo kwa sasa kujua cdm na ccm wanapata nafasi ngapi ngapi. Ni wazi ccm watanufaika zaidi.
Uko sawa mkuu. Idadi ya 113 ni kutokana na 40% ya wabunge wote. Wabunge wote inajumuisha:264 wa kuchaguliwa majimboni+10 wa kuteuliwa na Rais+5 wanaoteuliwa na Baraza la Mapinduzi Zanzibar +1 (Mwanasheria mkuu wa Serikali ambaye anachukuliwa kuwa ni mbunge) +1 Speaker (kwa sababu Speaker anaweza kuwa siyo mbunge)Wanachukua jumla idadi ya kura zote halali za ubunge wanagawanya kwa kura zote ilizopata chama halafu wanazidisha kwa 113 ambayo ni idadi ya wabunge wa Viti maalum inayotakiwa kuwa bungeni.
Mtaje mbunge wa CCM aliye kwaajili ya watu wake (wananchi).Mi naombea chama kimtake afanye hivyo. Ili wananchi waliemchagua wajue kwamba yupo kwa ajili ya chama chake na siyo kwa ajili yao.
Mtaje mbunge wa CCM aliye kwaajili ya watu wake (wananchi)Mi naombea chama kimtake afanye hivyo. Ili wananchi waliemchagua wajue kwamba yupo kwa ajili ya chama chake na siyo kwa ajili yao.
Kanuni za cdm wanaanza na waliodhubutu kugombea ubunge jimboniHalima aligombea pia viti maalum, ndio uone watu walivyo wabinafsi. Mtu anagombea nafasi mbilimbili, ili akikosa moja apate nyingine
Soma vizuri comment niliyojibu utajua nilichomaanishaMtaje mbunge wa CCM aliye kwaajili ya watu wake (wananchi)
WEWE NDIO HUJUI, JINGA KABISA. HALIMA ALIGOMBEA VITI MAALUM KUPITIA CHADEMA WAKATI WA KURA ZA MAONI NA ALISHINDA.Siyo kwamba aligombea. Lumumba bhana, yaani huna unachojua. Anapata viti maalumu kutokana na nafasi yake ktk chama. Yeye ni mwenyekiti taifa wa BAWACHA.
Hata ccm mwenyekiti UWT anaingia viti maalumu kwa nafasi yake.
Waliiba kura mkuu gwajima hakupata zaid ya 100 kituo chochote na moyo wake unajuaWeye waamini kuwa Halima Mdee atarudi bungeni kwa tiketi ya viti maalum?
Mtu huyohuyo ambae ameondolewa kwenye kiti cha ubunge na Gwajima?
Sababu kubwa khasa itakuwa ni ipi?
Ni kwamba sisi humu JF tupo watu wa aina mbalimbali na sifa tofauti.Waliiba kura mkuu gwajima hakupata zaid ya 100 kituo chochote na moyo wake unajua
Jibu maswali yako mawili uliyoyaacha.Ni kwamba sisi humu JF tupo watu wa aina mbalimbali na sifa tofauti.
Wapo watu humu tukiongelea masuala fulani ni lazima wengine ujiulize hawa wanamaanisha nini?
Mimi niliwahi kusema humu kwamba Kawe ni moja ya majimbo ya kimkakati ambayo CCM ilikuwa imejiandaa kuyapigania kupitia sanduku la kura.
Sasa mmewahi kujiuliza Kawe ni jimbo la kimkakati kwa vipi na ni kwanini CCM inalitaka jimbo hilo?
Lakini si mliona kampeni za Gwajima Kawe?
Lakini Halima Mdee hakuliona hilo na badala yake mkaanza mizaha ya kejeli na kashfa kwa Gwajima.
Wakati mwafanya hivyo mitandaoni, mwenzenu Gwajima akawa pia afanya vikao na wananchi avijiweni akijibu masuali ya papo kwa hapo huku akiomba kura.
Baadae "full CCM Machine" ikaingia Kawe tena kwenye mvua kuomba kura?
Alichofanya Halima Mdee kwenye siku ya kampeni ambayo alipaswa kutema hoja za msingi za kuomba tena kura kwa wananchi ,unakijua.
Sasa msilalamike.
Achana na ilo konongo la Kisukuma!! Hilo ni sukule!!Mijitu mingine hovyo. Kila saa unawaza ngono tu. Shame. Umeelaaniwa wewe.