DIUNATION
JF-Expert Member
- Apr 2, 2012
- 2,591
- 1,719
Ya mama yako jeKarudi kitaaa si muda ataolewaa tuuu.... Maana. K yake tamu kama sura ake....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ya mama yako jeKarudi kitaaa si muda ataolewaa tuuu.... Maana. K yake tamu kama sura ake....
Sasa tutafahamu vipi kama hao wabeba mabegi na wafungua mabegi lao ni moja?Mkuu
Mabegi yalifunguliwa yana KURA ndani...kwahiyo siku hizi makaratasi ya kura ni nguo?
Punguza unafiki sometimes bwana
Ntakujibu machache.Gwajima ndio alikua anaongea "sera" jukwaani?
Stop huu uongo!
Yes,Halima ni mbunge miaka 10,then CCM hakuna wabunge,tena wengi sana wana miaka zaidi ya Halima bungeni na mwaka huu wameingia tena?
Hoja ya miaka bungeni tayari ni mufilisi,iweke pembeni,maana pande zote mbili wapo,na upande wa ccm ni wengi kupita maelezo tofauti na CDM ni wa 5-10!
Hoja ya eti Halima hakutoa "sera",then sijui wewe utanipa sera gani aliyotoa Gwajima???Kuwapeleka watu Birmingham,USA?
Lets stop these lies mzee!
Hoja ingine ni mafuriko.Mkuu
Wananchi wanampenda Halima,nobody cares about that useless pornstar!
Thats a FACT!
Halima kwenye siasa anapata "A" Gwajima anapata "O"!
Hoja ya sera ulizotoa hapo hizo mbili ni uchafu mtupu,as if Kawe inaendeshwa na uvuvi tu,thats nonsense!
Percent ndogo sana ya wakazi in recent years hawahusiki na uvuvi kama main means of production,ni fraction!
Hebu tuache hizo nonsense,Gwajima can never beat Halima in a sleep!
Ni kama leo uniambie ile takataka ya Hai eti imempita Mbowe kura,never happen...
Uchaguzi huu ni total facade,haijawahi tokea!
Mlidhani CDM ndio adui kumbe mtakuja kugundua healthy percent of opposition in this country is best for all of us!
Na mtakuja kugundua ndani ya CCM humo humo ndio kuna maadui zenu nyie wenyewe wakubwa mno....
Lakini nadhani Halima Mdee hawezi kwenda, maana atakuwa amekubaliana na dhuluma hii.
Na ndiyo maana kamanda Khenan ambaye kapata ushindi jimboni, amesema yuko tayari kugoma kwenda bungeni endapo chama kitamtaka kufanya hivyo.
Siyo kwa kiwango hiki!! Karatasi za kura zinazagaa vituoni!!? Kesho mtatutambia kwenye maandamanoMbona 2015 'waliibiwa' kura lakin Mbowe na wajanja wenzie hawakugoma kwenda kula pesa bungeni?
Maccm hayanaga akili mkuu, hayajui hata nchi inaenda vipi. Sijui yamesomea shule gani na vyuo gani?. Au ndio wale wanaomaliza PHD hata kutamka sentence mbili za kingereza tabu, huku yamefundishwa kwa kingereza.
Siyo kwa kiwango hiki!! Karatasi za kura zinazagaa vituoni!!? Kesho mtatutambia kwenye maandamano
Sasa hapa ndipo tunapopisha kwenye kufikiri.Mafuriko???
Like really???
Mafuriko ya Kawe hivi yanafua dafu mafuriko ya Ilala au Kinondoni au Mbagala ndugu yangu?
Na huko kote wapo CCM,walifanya nini?
Mafuriko ya Ilala ni national problem kwa ukubwa wake,nothing has been done....then una compare na Basihaya?
Mkuu acha unafiki,ni mbaya sana!
Kama mtu kaiba kikombe nyumbani kwako halafu ukamsamehe. Kesho anakuja anabomoa nyumba mchana kweupe na kuchukua kila kitu, huyu siyo tu tu ni mwizi, bali ana dharau pia.Kwa hiyo hoja yenu sio wizi bali kiwango cha wizi?
Kama mtu kaiba kikombe nyumbani kwako halafu ukamsamehe. Kesho anakuja anabomoa nyumba mchana kweupe na kuchukua kila kitu, huyu siyo tu tu ni mwizi, bali ana dharau pia.
Magufuli ameiba na ameonesha dharau.
Tukutane barabarani we mzee, wakati wenu umeshaisha mnataka kutuharibia nchi yetu sie vijana .Nyie wenye akili mliingia kwny uchaguzi mkaahidi kuigaragaza Ccm huku mkijua Tume ya Uchaguzi imeteuliwa na Mshindani wenu, matokeo yametoka mnagomea na mnatoa visingizio ambavyo mlikuwa navyo kabla ya uchaguzi
Wale wagombea wenu wa Serikali za Mitaa mliowakataza kugombea kwa kisingizio Tume si huru halafu mkawageuka mkagombea mkiamini nyie binafsi mngerudi Bungeeni wanawasalimia
Well and good..... At least umekiri kuwa ni CCM pekee wanajua ila sio sisi wananchi wa kawaida.Its is very technical issues ambazo ni CCM pekee wanafahamu namna za kuzishughulikia.
Lakini nafikiri, kulikuwa na ulazima wa kumtafuta mgombea wa CCM ili agombee jimbo hilo.
Na waliona waziwazi kuwa Gwajima anafaa na siyo kijana Furaha.
Sio ubinafsi ni namna fulani ya kubalance shoboHalima aligombea pia viti maalum, ndio uone watu walivyo wabinafsi. Mtu anagombea nafasi mbilimbili, ili akikosa moja apate nyingine
SidhaniLakini nadhani Halima Mdee hawezi kwenda, maana atakuwa amekubaliana na dhuluma hii.
Na ndiyo maana kamanda Khenan ambaye kapata ushindi jimboni, amesema yuko tayari kugoma kwenda bungeni endapo chama kitamtaka kufanya hivyo.
Tukutane barabarani we mzee, wakati wenu umeshaisha mnataka kutuharibia nchi yetu sie vijana .
Ok!!!,asante kwa kutujuzaHiyo percent uliyoitaja ni ya urais waliyoipata, inayozingatiwa kwenye kupata nafasi za ubunge wa viti maalumu ni percent ya kura za ubunge chama kilizopata kwa nchi nzima, na inatakiwa iwe angalau 5% ndio chama kinakuwa na sifa ya kutoa wabunge wa viti maalumu.
Kumbe na wewe ni takataka , unashabikia ubatili hata haya huna. Mgelikuwa mmeshinda kihalali nami ningeliwapongeza. Mmeiba from zero to 100%, halafu bila haya unajisifu.Halima Mdee kwa nafasi yake kama mwenyekiti wa BAWACHA ndio Mbunge wa Viti Maalumu namba moja kama CHADEMA itapata sifa ya kuwa na wabunge hao.
Ngoja niangalie jumla ya kura na uwiano wake nione kama CHADEMA ina qualify kutoa wabunge wa viti maalumu ( Wanawake)
Nitarejea.
Maendeleo hayana vyama!
Ndiyo maana nasema kesi za mwaka huu kama zitakuwepo zitakuwa rahisi. Mawakala wore walinyimwa, in one way or another kusimamia kura, what do you expect? Jaji Mugasha Alisha harishia sheria na haki, what do you expect!Halima Mdee kwa nafasi yake kama mwenyekiti wa BAWACHA ndio Mbunge wa Viti Maalumu namba moja kama CHADEMA itapata sifa ya kuwa na wabunge hao.
Ngoja niangalie jumla ya kura na uwiano wake nione kama CHADEMA ina qualify kutoa wabunge wa viti maalumu ( Wanawake)
Nitarejea.
Maendeleo hayana vyama!
Tamko lishatolewa rasmi Sasa hakuna kwenda bungeniSidhani