Uchaguzi 2020 Je, Halima Mdee atatimba Bungeni kwa tiketi ya Viti Maalum?

Uchaguzi 2020 Je, Halima Mdee atatimba Bungeni kwa tiketi ya Viti Maalum?

Mkuu ni vizuri muache upotoshaji na kujustify upuuzi. Kipindi Dar ipo chini ya CHADEMA mlisema miradi yote ameifanya makonda na pesa ni za serikali sio halmashauri za CHADEMA.

Leo hii mmepata mbunge mnaflip sasa kuwa ili ilani itekelezwe lazima jimbo liwe chini ya CCM? kwani kipindi mnajenga Flyover mlikua na mbunge wa CCM ubungo?

Mbunge kazi zake ni kusimamia serikali itekeleze mpango wa taifa (Ambayo ilani ndio inaizaa) whether ni CCM au CHADEMA na ndio maana kuna vikao vya bajeti na kujadili mpango wa taifa bila kujali vyama.

Msipotoshe watu humu kuwa hamkukusanya mapato kawe kisa Mdee alikuwepo. With due respect, U r more intelligent than this, partisanship isikutoe ufahamu mkuu.
That fella is stupid from the bottom to the top.
 
Mkuu unaweza eleza hizo kura zilizokamatwa kwenye mabegi nayo ni halali kwenye uchaguzi?

Kura za Urais na ubunge kupishana kwa 127,000 ni credible? Una maoni gani hapo.
Wachana na hilo kada jinga.
 
That's provocation and it's unnecessary.
That's what you deserve, unajidai kipofu makusudi usieona kile dunia nzima ilichokiona kwasababu ya mahaba yako ya kijinga yaliyopitiliza kwa jiwe, ndio maana ukataka atawale milele since last yr kwa ule uzi wako, kwa akili hii sikushangai unavyojitahidi kutetea uozo uliofanyika kwenye uchaguzi, uone aibu mtu mzima.

Nimekudharau sana.
 
Kama watu walikutwa na ushahidi wa kura zilizokuwa zimepigwa tayari basi badala ya kuzichoma kura hizo zingetumika kama ushahidi au vidhibiti.

Hilo la vijana kutumika mitandaoni wewe hulifahamu?

Vijana wenu wengi walikuwa wakitumika na yule dada ambae alihakikisha picha mbalimbali zinatumwa mitandaoni kujaribu kuaminisha (kwa wazungu) kwamba mikutano yenu inajaza watu na kwamba mnakubalika na mtashinda uchaguzi.

Serikali inafahamu kila kitu mlichokuwa mkipanga na kuratibu ingawa CCM wao walikuwa busy na kampeni.

Soma hapa: "Tunajua wanapolala, wanachopanga" - IGP Sirro

Mnashindwa kuelewa kwamba hata kama CCM ilikuwa na mgombea wao kwenye kampeni lakini pia akiwa raisi alie madarakani yaani "incumbent" bado serikali yake ilikuwa iko kazini.

Tusitake tena kurudi huko maana ilikuwa ni wakati wa kampeni.
Haahaaa mkuu imebidi nicheke? Kwahiyo kutuma picha viwanja vimejaza ni EDIT kwa faida ya mabeberu?

Hizo picha original ziko wapi? Na ww umeingia kwenye mtego wa kudai picha ni za 2015? Haahaaa.

Tusijustify wizi... Na kma unakiri TISS imefanya huu wizi ili kumlinda Rais. Basi tuna TISS iliyojaa washamba wasio na exposure wala IQ za kueleweka. Huwezi iba wazi hivo
 
That's what you deserve, unajidai kipofu makusudi usieona kile dunia nzima ilichokiona kwasababu ya mahaba yako ya kijinga yaliyopitiliza kwa jiwe, ndio mana ukataka atawale milele, kwa akili hii sikushangai unavyojitahidi kutetea uozo uliofanyika kwenye uchaguzi, uone aibu mtu mzima.

So, you are telling me I have the right to raise my opinion based on your assumptions?

This is a free platform and you need to respect my opinion whether they favor you or not.
 
Naongelea mabegi yaliyoshikwa na polisi KAWE na Nyamagana, maana ulidai polisi hawakupewa evidence.
Mkuu, natambua mchango wako hapa na kuna kipindi tuliongea sana juu ya uchaguzi huu.

Kubali tu hali halisi, mshindi ametangazwa tayari.

La si rahisi kukubali basi ingieni barabarani jumatatu.

Ila napenda sana majadiliano baina yetu.

Upinzani ujiandae upya ujitathmini na ujiunde upya uwe chama kimoja chenye nguvu.

Sisi sote ni watanzania au mwenzangu una kitabu cha nchi ingine?
 
So, you are telling me I have the right to raise my opinion based on your assumptions?

This is a free platform and you need to respect my opinion whether they favor you or not.
Which opinion are you talking about? the whole world observed the irregularities, but you, blind idiot pretending to see something different hiding yourself in that bush you call "opinion", raising unnecessary, stupidity, ideas trying to undermine what actually happened.

Wewe ni mjinga sana, hata nikijaribu kusoma hoja zako ni za kipuuzi puuzi tu, hata hujui mapato ya halmashauri yakikusanywa yanaenda wapi, very shallow, unaulizwa maswali ya msingi unajibu kama mtoto mdogo wa std 5! this is only bcoz you are trying your best to hide the reality, then you end up looking like a trash!.

Nimekudharau sana.
 
Mkuu, natambua mchango wako hapa na kuna kipindi tuliongea sana juu ya uchaguzi huu.

Kubali tu hali halisi, mshindi ametangazwa tayari.

La si rahisi kukubali basi ingieni barabarani jumatatu.

Ila napenda sana majadiliano baina yetu.

Upinzani ujiandae upya ujitathmini na ujiunde upya uwe chama kimoja chenye nguvu.

Sisi sote ni watanzania au mwenzangu una kitabu cha nchi ingine?
Unaona unapozidiwa hoja kwa sababu unalea ujinga, "eti kubali tu hali halisi" ndio maana nakuita wewe ni mpumbavu, regardless of age & I know you are matured enough so you deserve that, stupid old guy.

Then huku chini unasema wapinzani waungane wawe chama kimoja, kwani wakiwa chama kimoja ndio CCM haitabebwa tena na Tume?! aisee nawahurumia sana watoto wako!.
 
Kampuni la kigeni kuiba ni dhuluma

Magufuli na CCM kuiba kura za wananchi sio dhuluma?

Punguza doube standards

Wote majizi matupu hakuna mwenye afadhali hapo!

Serikali kuleta reli na ndege ni kupenda wananchi,serikali hiyo hiyo ikiua watu wake hao hao wewe unaitetea hiyo serikali,hivyo hutetei wananchi unatetea serikali....

Hakuna kitu hapa....kasherehekee dhuluma!

Y'all deserve each other!
He is stupid.
 
Ndiyo maana nasema kesi za mwaka huu kama zitakuwepo zitakuwa rahisi. Mawakala wore walinyimwa, in one way or another kusimamia kura, what do you expect? Jaji Mugasha Alisha harishia sheria na haki, what do you expect!
Kulikuwa na vituo vingapi Tanzania nzima?
 
Sawa mkuu mimi nipo Dodoma nimetua jioni hii.

Nimepata nafasi ya kupanda Airbus 200-300 mali ya Tanzania.

Kesho raisi mteule wa JMT John Magufuli anatarajiwa kukabidhiwa cheti cha ushindi.

Jumatatu Dr Hussein Ali Mwinyi anaapishwa rasmi kuwa raisi wa Zanzibar.

Na siku ya Alhamisi tarehe 5 November, raisi mteule wa JMT John Joseph Pombe Magufuli ataapishwa rasmi katika uwanja wa Jamhuri Dodoma.
Ni jambo jema!
 
Back
Top Bottom