Uchaguzi 2020 Je, Halima Mdee atatimba Bungeni kwa tiketi ya Viti Maalum?

Uchaguzi 2020 Je, Halima Mdee atatimba Bungeni kwa tiketi ya Viti Maalum?

Jibu maswali yako mawili uliyoyaacha.
1. Kwanini Kawe ni jimbo la kimkakati?
2. Kwanini CCM ililitaka ?
Hizi ni baadhi tu ya sababu zipo nyingi.

1. Lina uwezo wa kukusanya kodi zaidi ya kodi inayokusanywa kwa sasa.

2. Ni jimbo lenye vyanzo vingi vya mapato visivyo halali na vile vya halali hivyo linataka mtu ambae ana uwezo wa kuvifanyia upembuzi yanikifu vyanzo hivyo na kuviboresha.

Kawe ni jimbo lenye hadhi ya kitaifa na kimataifa hivyo ilani ya uchaguzi ya CCM ni lazima iingie jimboni humo na kutekelezwa kupitia mbunge wao.
 
Hizi ni baadhi tu ya sababu zipo nyingi.

1. Lina uwezo wa kukusanya kodi zaidi ya kodi inayokusanywa kwa sasa.

2. Ni jimbo lenye vyanzo vingi vya mapato visivyo halali na vile vya halali hivyo linataka mtu ambae ana uwezo wa kuvifanyia upembuzi yanikifu vyanzo hivyo na kuviboresha.

Kawe ni jimbo lenye hadhi ya kitaifa na kimataifa hivyo ilani ya uchaguzi ya CCM ni lazima iingie jimboni humo na kutekelezwa kupitia mbunge wao.
Mkuu ni vizuri muache upotoshaji na kujustify upuuzi. Kipindi Dar ipo chini ya CHADEMA mlisema miradi yote ameifanya makonda na pesa ni za serikali sio halmashauri za CHADEMA.

Leo hii mmepata mbunge mnaflip sasa kuwa ili ilani itekelezwe lazima jimbo liwe chini ya CCM? kwani kipindi mnajenga Flyover mlikua na mbunge wa CCM ubungo?

Mbunge kazi zake ni kusimamia serikali itekeleze mpango wa taifa (Ambayo ilani ndio inaizaa) whether ni CCM au CHADEMA na ndio maana kuna vikao vya bajeti na kujadili mpango wa taifa bila kujali vyama.

Msipotoshe watu humu kuwa hamkukusanya mapato kawe kisa Mdee alikuwepo. With due respect, U r more intelligent than this, partisanship isikutoe ufahamu mkuu.
 
Hatutaki mbunge wa upinzani aende bungeni hata mmoja asije kuwa sehemu ya maamuzi yaliyopangwa kufanywa , wayafanye CCM peke yao ili dhambi yao ije iwahukumu peke yao .
 
Mkuu ni vizuri muache upotoshaji na kujustify upuuzi. Kipindi Dar ipo chini ya CHADEMA mlisema miradi yote ameifanya makonda na pesa ni za serikali sio halmashauri za CHADEMA.

Leo hii mmepata mbunge mnaflip sasa kuwa ili ilani itekelezwe lazima jimbo liwe chini ya CCM? kwani kipindi mnajenga Flyover mlikua na mbunge wa CCM ubungo?

Mbunge kazi zake ni kusimamia serikali itekeleze mpango wa taifa (Ambayo ilani ndio inaizaa) whether ni CCM au CHADEMA na ndio maana kuna vikao vya bajeti na kujadili mpango wa taifa bila kujali vyama.

Msipotoshe watu humu kuwa hamkukusanya mapato kawe kisa Mdee alikuwepo. With due respect, U r more intelligent than this, partisanship isikutoe ufahamu mkuu.

In last 5 years Halima Mdee amekaa vikao vingapi vya bunge?

Na katika hayo ametatua matatizo mangapi jimboni humo?

Mbali ya yote haya kulikuwa na ulazima kwa CCM kuchukua majimbo hayo mawili kutokana na sababu mbalimbali ikiwemo ya kukosa mapato halisi ya kodi.

Tunaongea sana hapa mkuu, lakini ukweli ni kwmba safari hii imekuwa ni jambo ngumu sana kwenu kushinda uchaguzi wa August 28, 2020.
 
Wawaachi wananchi wengine wanaotokana na vyama vyao. Siyo lazima wawe wao!!!
 
Ni kwamba sisi humu JF tupo watu wa aina mbalimbali na sifa tofauti.

Wapo watu humu tukiongelea masuala fulani ni lazima wengine ujiulize hawa wanamaanisha nini?

Mimi niliwahi kusema humu kwamba Kawe ni moja ya majimbo ya kimkakati ambayo CCM ilikuwa imejiandaa kuyapigania kupitia sanduku la kura.

Sasa mmewahi kujiuliza Kawe ni jimbo la kimkakati kwa vipi na ni kwanini CCM inalitaka jimbo hilo?

Lakini si mliona kampeni za Gwajima Kawe?

Lakini Halima Mdee hakuliona hilo na badala yake mkaanza mizaha ya kejeli na kashfa kwa Gwajima.

Wakati mwafanya hivyo mitandaoni, mwenzenu Gwajima akawa pia afanya vikao na wananchi avijiweni akijibu masuali ya papo kwa hapo huku akiomba kura.

Baadae "full CCM Machine" ikaingia Kawe tena kwenye mvua kuomba kura?

Alichofanya Halima Mdee kwenye siku ya kampeni ambayo alipaswa kutema hoja za msingi za kuomba tena kura kwa wananchi ,unakijua.

Sasa msilalamike.
Mkuu unaweza eleza hizo kura zilizokamatwa kwenye mabegi nayo ni halali kwenye uchaguzi?

Kura za Urais na ubunge kupishana kwa 127,000 ni credible? Una maoni gani hapo.
 
In last 5 years Halima Mdee amekaa vikao vingapi vya bunge?

Na katika hayo ametatua matatizo mangapi jimboni humo?

Mabli ya yote haya kulikuwa na ulazima kwa CCM kuchukua majimbo hayo mawili kutokana na sababu mbalimbali ikiwemo ya kukosa mapato halisi ya kodi.
Mbunge anazuia vipi mapato ya jimbo ilihali serikali kuu na halmashauri zipo chini ya CCM?
Embu tueleweshane hapo tu
 
Mkuu unaweza eleza hizo kura zilizokamatwa kwenye mabegi nayo ni halali kwenye uchaguzi?

Kura za Urais na ubunge kupishana kwa 127,000 ni credible? Una maoni gani hapo.
Mimi na wewe huenda tuna maoni tofauti kwenye hilo.

Ila kwenye uchaguzi wowote mbinu mbalimbali zaweza kutumika ili kujaribu kupinga matokeo.

Ila nakumbuka nilisikia pale Kawe palikuwepo waangalizi wa nchi za kigeni.

Na isitoshe kama kweli hizo kura zilikamatwa si zingepekewa polisi na hatua za kisheria zifuatwe?

Kuhusu kura kupishana kwa 127,000 bado ni suala la kupeleka mahakamani ili lijadiliwe kisheria.
 
Mbunge anazuia vipi mapato ya jimbo ilihali serikali kuu na halmashauri zipo chini ya CCM?
Embu tueleweshane hapo tu
Hakuna sehemu nimesema Mbunge kazuia mapato ya jimbo.

Nimesema moja ya mikakati ya CCM katika jimbo hilo ni kuhakikisha kunakuwepo mapato halisi ambapo mpaka sasa mapato hayo hayaridhishi.
 
Mimi na wewe huenda tuna maoni tofauti kwenye hilo.

Ila kwenye uchaguzi wowote mbinu mbalimbali zaweza kutumika ili kujaribu kupinga matokeo.

Ila nakumbuka nilisikia pale Kawe palikuwepo waangalizi wa nchi za kigeni.

Na isitoshe kama kweli hizo kura zilikamatwa si zingepekewa polisi na hatua za kisheria zifuatwe?

Kuhusu kura kupishana kwa 127,000 bado ni suala la kupeleka mahakamani ili lijadiliwe kisheria.
Kura za Urais hazihojiwi popote wao wanaruhusu uongelee za ubunge tu so hoja itafia hapo hapo.

Then police wapo kwenye video na wali detain hizo kura kma ushahidi maana ni mali ya NEC wasingeweza waachia CHADEMA.

Kingine kma hizo kura zilikua planted na CHADEMA je kwanini hawajawakamata kwa forgery? Au ina maana CHADEMA wana access na kura za NEC kabla hazijapigwa? Je kma CHADEMA tu wameweza pandikiza kura feki waichafue CCM ina maana kumbe mtu yeyote anaweza access hizo karatasi kirahisi sana? Huoni mnazidi kuonyesha uchaguzi ulivuokua compromised!!

Kazi ya waangalizi sio kukagua kura bali kuangalia process tu. Mfano walemavu wana vyokua handled, uchaguzi kufuata kanuni zilizopo, hayo ya kura bandia au halali sio kazi yao afterall wao wanachukua sample ya vituo. Kwa nchi nzima wameenda vituo 80 pekee kati ya vituo elfu 80!! Sidhani kama nahitaji kuelezea zaidi.
 
Hakuna sehemu nimesema Mbunge kazuia mapato ya jimbo.

Nimesema moja ya mikakati ya CCM katika jimbo hilo ni kuhakikisha kunakuwepo mapato halisi ambapo mpaka sasa mapato hayo hayaridhishi.
Kama hayaridhishi ni udhaifu wa halmashauri ya kinondoni iliyo chini ya CCM na udhaifu wa serikali ya mkoa chini ya Makonda au DC wa kinondoni period!!

Kuanza kurusha lawama kuwa Mbunge fulani alizorotesha mapato wakati hana mamlaka ya kutoa leseni za biashara au kuwaagiza TRA ni kupotosha umma.
 
Kura za Urais hazihojiwi popote wao wanaruhusu uongelee za ubunge tu so hoja itafia hapo hapo.

Then police wapo kwenye video na wali detain hizo kura kma ushahidi maana ni mali ya NEC wasingeweza waachia CHADEMA.

Kingine kma hizo kura zilikua planted na CHADEMA je kwanini hawajawakamata kwa forgery? Au ina maana CHADEMA wana access na kura za NEC kabla hazijapigwa? Je kma CHADEMA tu wameweza pandikiza kura feki waichafue CCM ina maana kumbe mtu yeyote anaweza access hizo karatasi kirahisi sana? Huoni mnazidi kuonyesha uchaguzi ulivuokua compromised!!

Kazi ya waangalizi sio kukagua kura bali kuangalia process tu. Mfano walemavu wana vyokua handled, uchaguzi kufuata kanuni zilizopo, hayo ya kura bandia au halali sio kazi yao afterall wao wanachukua sample ya vituo. Kwa nchi nzima wameenda vituo 80 pekee kati ya vituo elfu 80!! Sidhani kama nahitaji kuelezea zaidi.
"Irregularities" ipo kila chaguzi, hivyo hakuna uchaguzi wa asilimia 100 perfect.

Narudia kusema hivi, ikiwa Chadema wanadai kulikuwa na kura feki walipaswa kuzipeleka polisi ambao nao wangewasiliana na NEC.

Pili, kwa kuwa kulikuwepo na wawakilishi wa balozi za nje pale Kawe wao nao pia wangepewa hizo nakala ili watafute authentication yake ikiwemo hata kupeleka kwenye "international court".

Hivi wafahamu balozi za Ujerumani na Uingereza haziungi mkono kinachofanywa na balozi wa Marekani hapa nchini?

Lakini kupiga moto makaratasi hayo na kudai "tumekamata kura feki" hiyo ni ujinga.

Upinzani Tanzania haupo na nilikwishauondoa tangia uchaguzi wa 2015.

Mbowe, Zitto, Membe, Tundu Lissu na wengine kama kweli wana ushahidi wa wanachokiongea wapeleke madai mahakamani ili sheria ichukue mkondo wake.

Je, mmemtafuta Membe mbona yeye hajaongea lolote?

Vinginevyo, Tundu Lissu huenda akarudi Ubelgiji, Zitto Kabwe na Mbowe wakaendelea na maisha ya kawadia ambayo wana uwezo nayo.

Vijana walowatumia mitandaoni na kwingine ndo waathirika.

Kubalini matokeo, la mmeamua kuingia barabarani bila kibali basi Jumatatu mjidamke mlianzishe.
 
Kama hayaridhishi ni udhaifu wa halmashauri ya kinondoni iliyo chini ya CCM na udhaifu wa serikali ya mkoa chini ya Makonda au DC wa kinondoni period!!

Kuanza kurusha lawama kuwa Mbunge fulani alizorotesha mapato wakati hana mamlaka ya kutoa leseni za biashara au kuwaagiza TRA ni kupotosha umma.
Its is very technical issues ambazo ni CCM pekee wanafahamu namna za kuzishughulikia.

Lakini nafikiri, kulikuwa na ulazima wa kumtafuta mgombea wa CCM ili agombee jimbo hilo.

Na waliona waziwazi kuwa Gwajima anafaa na siyo kijana Furaha.
 
Haji mtu huko...kaeni 100% ccm..

Nani anataka kuja kuhalalisha upumbavu uliofanyika?

Mnadhani mnaweza fanya ujinga halafu mje mtoe vizawadi kwa baadhi ili kuhalalisha upumbavu?
Mkuu utasikia wanaendelea kutoka ufipani kuelekea lumumba kuunga juhudi. Husiusemee moyo wa mtu
 
Hii dunia ina unafiki kupita maelezo...yaani polisi anapelekewa mwizi wa kura feki na begi lake instead aliepeleka anashikwa yeye!

Na on top of that,Mambosasa anasema ni mabegi ya mkoani yana nguo tu wakati yamejaa kura caught on live camera!

Kila unachoongea hapa ni unafiki mtupu!
Mambosasa alifafanua uzuri tu alisema kulikuwana wapiga kura ambao walikuwa wanaishi sehemu zingine lakini walijiandikisha sehemu zingine.

Hivyo kuwepo kwa wapiga kura ambao walonekana wamebeba mabegi kwenye vitui vya kupigia kura hiyo ni ngumu kuilezeea maana mimi binafsi sikuona hiyo.

Mkuu na wengine, mnapoteza muda kwenye hili ingineni barabarani mdai haki yenu ya ushindi mlopokonywa.
 
Si kweli mkuu....

Gwajima hawezi mpita Halima kwa chochote....Halima ni mwanasiasa namba moja mwanamke Tanzania for a reason!

Hii election facade nchi nzima ni shame to this regime and itakaa kwenye historia milele na milele!
Ni kweli hata mimi nampenda huyu dada, ni mjenga hoja mzuri, mwenye kujiamini na asietetereka.

Ila kwenye Chadema amekwamishwa sana ndani ya miaka hii 10.

Mimi ningekuwa nipo upande wa CCM labda ningemfikiria.

Au kama nina "think tank" yangu ningemshirikisha.

Ila kwa mtindo mlokuja nao safari hii, naona ameondolewa kwa sababu ambazo wanazo wapiga kura wa Kawe.

Kuna kitu chaitwa "reasoning behind your decision or action" ukielewa hiki kitu haiwi shida kujenga hoja.

Halima Mdee kila aliposimama jukwaani hakuna hata sera moja alozungumzia zaidi ya kumnanga Gwajima kwasababu aliiga mtindo wa Tundu Lissu.

Lakini Gwajima kila aliposimama jukwaani alikuwa akiongea sera za CCM na angefanya nini endapo angechaguliwa kuwa mbunge wa CCM.

Yaitwa "power of reasoning"
 
Back
Top Bottom