maranatha yewa
Member
- Jul 24, 2017
- 11
- 15
Mhhh
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwanza vinatambuliwa vyama vyenye hiyo angalau 5% ya kura za ubunge, kwa mfano cdm na CCM kwa sasa. Kisha unatafutwa uwiano tena wa kura zao za ubunge kwa hivyo vyama vyenye sifa tu. Kwa mfano kura za ujumla za ubunge za CHADEMA ni x na za CCM ni y, kwa hiyo uwiano wa cdm utakuwa ni (x/(x+y))100% na wa ccm ni (y/(x+y))100%. Halafu huo uwiano utazidishwa na jumla ya viti maalumu vilipo kwa sasa kujua CHADEMA na CCM wanapata nafasi ngapi ngapi. Ni wazi CCM watanufaika zaidi.Ukiwa na 5% unapewa wabunge wangapi? Au mgawo unakuwa sawa Kati ya chama chenye 80% na chenye 5%??? Tunaomba elimu hii tafadhali.
Mijitu mingine hovyo. Kila saa unawaza ngono tu. Shame. Umeelaaniwa wewe.Karudi kitaaa si muda ataolewaa tuuu.... Maana. K yake tamu kama sura ake....
Una hamu sana Halima awepo bungeni?Halima Mdee kwa nafasi yake kama mwenyekiti wa Bawacha ndio mbunge wa viti maalumu namba moja kama Chadema itapata sifa ya kuwa na wabunge hao.
Ngoja niangalie jumla ya kura na uwiano wake nione kama Chadema ina qualify kutoa wabunge wa viti maalumu ( Wanawake)
Nitarejea.
Maendeleo hayana vyama!
Wanachukua jumla idadi ya kura zote halali za ubunge wanagawanya kwa kura zote ilizopata chama halafu wanazidisha kwa 113 ambayo ni idadi ya wabunge wa Viti maalum inayotakiwa kuwa bungeni.Ukiwa na 5% unapewa wabunge wangapi? Au mgawo unakuwa sawa Kati ya chama chenye 80% na chenye 5%??? Tunaomba elimu hii tafadhali.
Maccm hayanaga akili mkuu, hayajui hata nchi inaenda vipi. Sijui yamesomea shule gani na vyuo gani?. Au ndio wale wanaomaliza PHD hata kutamka sentence mbili za kingereza tabu, huku yamefundishwa kwa kingereza.Hiyo percent uliyoitaja ni ya urais waliyoipata, inayozingatiwa kwenye kupata nafasi za ubunge wa viti maalumu ni percent ya kura za ubunge chama kilizopata kwa nchi nzima, na inatakiwa iwe angalau 5% ndio chama kinakuwa na sifa ya kutoa wabunge wa viti maalumu.
Weye waamini kuwa Halima Mdee atarudi bungeni kwa tiketi ya viti maalum?
Mtu huyohuyo ambae ameondolewa kwenye kiti cha ubunge na Gwajima?
Sababu kubwa khasa itakuwa ni ipi?
Ruzuku inawahusu vyama vilivyo na uwakilishi bungeni tu, hata kama kuna chama kina mbuge mmoja kitapata mgao wake wa ruzuku. Uwiano wa ruzuku kwa kila chama chenye uwakilishi bungeni unazingatia uwiano wa idadi ya wabunge wa chama husika. Kwa hiyo ccm itapiga hela ya kutosha.Na kupata ruzuku!
Erythrocyte unaitwa hukuuu??!!Yule dada aliekuwa amejipa kazi ya kuhamasisha watu kuhusu mikutano mbali mbali ya Lisu na sometimes baadhi ya mikutano ya wabunge wa cdm siku mbili hizi simuoni humu jukwaani aidha kwa kuchangia nyuzi mbali mbali au kuleta uzi wake mwenyew kama alivyokuwa anafanya siku za nyuma. Nahisi yule ndio alikuwa halima mdee mwenyew!
Asante sana mkuu kwa elimu hii.Kwanza vinatambuliwa vyama vyenye hiyo angalau 5% ya kura za ubunge, kwa mfano cdm na ccm kwa sasa. Kisha unatafutwa uwiano tena wa kura zao za ubunge kwa hivyo vyama vyenye sifa tu. Kwa mfano kura za ujumla za ubunge za cdm ni x na za ccm ni y, kwa hiyo uwiano wa cdm utakuwa ni (x/(x+y))100% na wa ccm ni (y/(x+y))100%. Halafu huo uwiano utazidishwa na jumla ya viti maalumu vilipo kwa sasa kujua cdm na ccm wanapata nafasi ngapi ngapi. Ni wazi ccm watanufaika zaidi.
Asante Sana kwa ufafanuzi wako mkuu. Umenifuta ujinga ktk hili.Wanachukua jumla idadi ya kura zote halali za ubunge wanagawanya kwa kura zote ilizopata chama halafu wanazidisha kwa 113 ambayo ni idadi ya wabunge wa Viti maalum inayotakiwa kuwa bungeni.
Masikini wengi wanadhani kila mtu ni kapuku !Uje kabisa na estimate ya ruzuku ya chama, kwa sababu hiyo ndiyo muhimu zaidi kwa mwenyekiti wa chama wa maisha!
Mimi siyo mjingaErythrocyte unaitwa hukuuu??!!
Tunajua wewe siyo mjinga ila ni mbumbumbu!Mimi siyo mjinga
endelea kujifurahishaTunajua wewe siyo mjinga ila ni mbumbumbu!
Masikini wengi wanadhani kila mtu ni kapuku !
Hiyo itakuwa big mistake. Akigoma kwenda bungeni na uchaguzi ukarudiwa hawezi kushinda.Na ndiyo maana kamanda Khenan ambaye kapata ushindi jimboni, amesema yuko tayari kugoma kwenda bungeni endapo chama kitamtaka kufanya hivyo.