Mnyanyembe wa Mboka
JF-Expert Member
- Feb 10, 2017
- 2,348
- 3,038
Arusha kwa leo ukikata kona ni unakutana na gari za Halamashauri mara Kibondo mara kishapu mara Manyoni hapo bado ma V8 ya Wakurugenzi ambayo hayana maandishi yoyote.
.
Sheria hiyo ipo sasa?Lazima tutenganishe Halmashauri na serikali kuu. Na Halmashauri idhibitiwe na wananchi moja kwa moja...wananchi ndo waajiri wakurugenzi wa Halmashauri, na wawe na nguvu za kuwafukuza wakati wowote.
Hii Nchi bwana ni shidaKuna Gari 400 plus za Halmashauri zote Tanzania kuna Halimashaur unakuta ina gari 3, Mkrugenzi gari lake na watumishi wengine gari zao kwa ujumla Arusha kuna Gari 500 na zaidi za Hamashauri Tanzania nzima.
Sasa chukulia kwa mfano Hamashauri za Mkoa wa Lindi wakaamua kuungana na Mtwara wakachukua Yutong moja safi kabisa wakaja nayo Arusha je jua halitazama? Arusha wakifika wanaweza kodi Tax za kuwapeleka nkutanoni na kuwarudisha Hotelini, lakini kwa Taifa ambalo kuanzia Mkuu hadi Chini ni watu wa matumizi hili haliwezekani.
Mzigo unaishia kwa kuongeza Tozo kwa raia ili kuhudumia Haliamshauri kwa sababu ya matumizu ya anasa. Ukiwakuta juu ya majukwaa wanalia lilio cha Mamba kwa shida za wananchi.
Arusha kwa leo ukikata kona ni unakutana na gari za Halamashauri mara Kibondo mara kishapu mara Manyoni hapo bado ma V8 ya Wakurugenzi ambayo hayana maandishi yoyote.
Na hapo anaye fungua mkutano utasikia anawaambia waongeze juhudi kwenye kuhudumia raia, Huku nje ya ukumbi kukiwa na Magari 400 plus, na hapo hapo Vijijini kumejaa project zinazo aendeshwa kwa michango ya wananchi wanao changishwa kwa nguvu na wala sio kwa hiari yao.
Hawa ndio watawala tunangoja watufikishe uchumi sawa na Veitanam au Thailand au Malaysia.
Ukiwakuta Viongozi wajuu kama Raisu, Waziri Mkuu na Makamo wa Raisi wanavyo lia utajua wako Serious na kuinua hali za maisha ya wananchi kumbe ni hadaaa tupu. Hakuna kiongozi ndani ya CCM yuko intrested kuondoa umasikini.
Hata wabunge wakitaka kutembelea miradi nk Huwa wanakodi basi na shabiby ndio Huwa wanatumia sana bus zake..Sasa tunaanza kuelewa kwa nini marais wa Afrika walipandishwa basi moja kwenye mazishi ya Malkia Elizabeth.
Ndio inatakiwa kuwepoSheria hiyo ipo sasa?
Wafe tuu Ded ana ishu gani akifa Hadi iwe spesho?Juzi kwenye msiba wa Malikia Elizabeth viongozi wenu walipokodiwa mabasi na wao kujazana kwenye hayo mabasi ziliandikwa nyuzi lukuki humu kuonesha tulivyokasirishwa.
Lingine ikitokea ajali ndiyo fikiria Serikali itavyopata hasara kupoteza maDed wote kwa wakati mmoja
Nadhani Baraza la madiwani ndiyo huwa wanadhibiti halmashauriLazima tutenganishe Halmashauri na serikali kuu. Na Halmashauri idhibitiwe na wananchi moja kwa moja...wananchi ndo waajiri wakurugenzi wa Halmashauri, na wawe na nguvu za kuwafukuza wakati wowote.
Marais walipopandishwa kwenye mabasi kule UK nilimsikia mkurugenzi mmoja akisema yeye haweZi kupandishwa staff bus!Kuna Gari 400 plus za Halmashauri zote Tanzania kuna Halimashaur unakuta ina gari 3, Mkrugenzi gari lake na watumishi wengine gari zao kwa ujumla Arusha kuna Gari 500 na zaidi za Hamashauri Tanzania nzima.
Sasa chukulia kwa mfano Hamashauri za Mkoa wa Lindi wakaamua kuungana na Mtwara wakachukua Yutong moja safi kabisa wakaja nayo Arusha je jua halitazama? Arusha wakifika wanaweza kodi Tax za kuwapeleka nkutanoni na kuwarudisha Hotelini, lakini kwa Taifa ambalo kuanzia Mkuu hadi Chini ni watu wa matumizi hili haliwezekani.
Mzigo unaishia kwa kuongeza Tozo kwa raia ili kuhudumia Haliamshauri kwa sababu ya matumizu ya anasa. Ukiwakuta juu ya majukwaa wanalia lilio cha Mamba kwa shida za wananchi.
Arusha kwa leo ukikata kona ni unakutana na gari za Halamashauri mara Kibondo mara kishapu mara Manyoni hapo bado ma V8 ya Wakurugenzi ambayo hayana maandishi yoyote.
Na hapo anaye fungua mkutano utasikia anawaambia waongeze juhudi kwenye kuhudumia raia, Huku nje ya ukumbi kukiwa na Magari 400 plus, na hapo hapo Vijijini kumejaa project zinazo aendeshwa kwa michango ya wananchi wanao changishwa kwa nguvu na wala sio kwa hiari yao.
Hawa ndio watawala tunangoja watufikishe uchumi sawa na Veitanam au Thailand au Malaysia.
Ukiwakuta Viongozi wajuu kama Raisu, Waziri Mkuu na Makamo wa Raisi wanavyo lia utajua wako Serious na kuinua hali za maisha ya wananchi kumbe ni hadaaa tupu. Hakuna kiongozi ndani ya CCM yuko intrested kuondoa umasikini.
Hawajui kama kuna teleconferenceNa hapo anaye fungua mkutano utasikia anawaambia waongeze juhudi kwenye kuhudumia raia, Huku nje ya ukumbi kukiwa na Magari 400 plus, na hapo hapo Vijijini kumejaa project zinazo aendeshwa kwa michango ya wananchi wanao changishwa kwa nguvu na wala sio kwa hiari yao.
Ipo madiwani ndo wanatakiwa kudhibiti halmashauri...tatizo madiwani Wengi darasa la SabaSheria hiyo ipo sasa?
Hatujaamua tu...Sio Kwa nchi hii,wabunge TU hatuwafanyi kitu
Unataka kusema asilimia kubwa vichwa ni kwa ajili ya kufugia nywele tu mkuu?Marais walipopandishwa kwenye mabasi kule UK nilimsikia mkurugenzi mmoja akisema yeye haweZi kupandishwa staff bus!
NB: mtoa mada usiishie tu kutaja idadi ya magari weka pia be na gharama za uendeshaji. Mwisho weka idadi ya magari yaliyotelekezwa kwenye parking za halmashauri!
Nchi hii tatizo kubwa ni wengi akili hazijakaa mahala pake
Hata saloon ni uwekezaji kuliko kukaa sebuleni kwa shemeji na kutaka machafuko kisa nyumba ya shemeji ina ukuta unahisi kikinuka utakua salamaBasi kaa kwa kutulia, nilijua umewekeza kwenye uchimbaji wa gas, kumbe una salon ya kunyoa ndio unapata woga hivyo wa mabadiliko.
Kodi.zetu zinaliwa kindezi sanaKuna Gari 400 plus za Halmashauri zote Tanzania kuna Halimashaur unakuta ina gari 3, Mkrugenzi gari lake na watumishi wengine gari zao kwa ujumla Arusha kuna Gari 500 na zaidi za Hamashauri Tanzania nzima.
Sasa chukulia kwa mfano Hamashauri za Mkoa wa Lindi wakaamua kuungana na Mtwara wakachukua Yutong moja safi kabisa wakaja nayo Arusha je jua halitazama? Arusha wakifika wanaweza kodi Tax za kuwapeleka nkutanoni na kuwarudisha Hotelini, lakini kwa Taifa ambalo kuanzia Mkuu hadi Chini ni watu wa matumizi hili haliwezekani.
Mzigo unaishia kwa kuongeza Tozo kwa raia ili kuhudumia Haliamshauri kwa sababu ya matumizu ya anasa. Ukiwakuta juu ya majukwaa wanalia lilio cha Mamba kwa shida za wananchi.
Arusha kwa leo ukikata kona ni unakutana na gari za Halamashauri mara Kibondo mara kishapu mara Manyoni hapo bado ma V8 ya Wakurugenzi ambayo hayana maandishi yoyote.
Na hapo anaye fungua mkutano utasikia anawaambia waongeze juhudi kwenye kuhudumia raia, Huku nje ya ukumbi kukiwa na Magari 400 plus, na hapo hapo Vijijini kumejaa project zinazo aendeshwa kwa michango ya wananchi wanao changishwa kwa nguvu na wala sio kwa hiari yao.
Hawa ndio watawala tunangoja watufikishe uchumi sawa na Veitanam au Thailand au Malaysia.
Ukiwakuta Viongozi wajuu kama Raisu, Waziri Mkuu na Makamo wa Raisi wanavyo lia utajua wako Serious na kuinua hali za maisha ya wananchi kumbe ni hadaaa tupu. Hakuna kiongozi ndani ya CCM yuko intrested kuondoa umasikini.
Huyo unakuta ni HoD wa council hivyo anakula kilaini snMkuu umewekeza kiasi gani nchi hii? Kwa taarifa yako hicho ulichowekeza kitakuwa bora zaidi baada ya wimbi hilo. Labda useme ww ni mfaidika wa mfumo huu, hivyo unaogopa yakitokea mabadiliko ya kweli utaathirika.
Narudia tena, machafuko au serikali kupinduliwa ndio yataleta mabadiliko ya kweli. Hutaki jinyonge.Hata saloon ni uwekezaji kuliko kukaa sebuleni kwa shemeji na kutaka machafuko kisa nyumba ya shemeji ina ukuta unahisi kikinuka utakua salama
Kumbuka DED licha ya kuwa ni mteule wa Rais lakini pia ni mtaalamu, kwahiyo wakifa huoni tunapoteza wataalamu wengi kwa pamoja?Wafe tuu Ded ana ishu gani akifa Hadi iwe spesho?