Je,hatukuambiwa umeme wa gesi ya Mtwara ukikamilika tatizo la umeme litakuwa historia?

Je,hatukuambiwa umeme wa gesi ya Mtwara ukikamilika tatizo la umeme litakuwa historia?

Nakumbuka kuhusu gesi tuliahidiwa mengi makubwa zaidi ya hayo.
We acha tu mkuu. Binafsi niliamini kabisa mradi wa gesi ukikamilika shida ya umeme itakuwa historia. Cha ajabu tumeletewa habari nyingine as if hakujawahi kuwa na stori za umeme wa gesi.
 
Nakumbuka kila kiongozi mwandamizi wa serikali ya awamu ya 4 akiwa kwenye tv alikuwa anahubiri ukomo wa tatizo la umeme pale mradi wa umeme wa gesi ya Mtwara utakapokamilika.

Kulikuwa na uzinduzi mwingi tu sijui wa Kinyerezi one, sijui terminal two. Tulihakikishiwa mradi ukikamilika hakutakuwa tena na tatizo la umeme.

Hivi watanzania ndio kusema hatukumbuki kama tuliahidiwa hivyo? Na kama tunakumbuka kwa nini tupo kimya tu hata hatuhoji utadhani hatukuwahi kuahidiwa kitu kama hiki na serikali yetu?

Bila aibu tunaletewa mipango mingine mipya na kuahidiwa tatizo la umeme linaenda kuisha ilihali juzi tu tulipewa ahadi kama hiyo na haikutimia.

Natamani watanzania wawe na ujasiri wa kuwahoji viongozi wao vitu kama hivi. Haiwezekani tunaahidiwa kitu flani, gharama kubwa inatumika na pengine maisha ya watu yanapotea (refer vurugu za Mtwara kwenye kusafirisha gesi kuja Dar) lakini Serikali inakuja na mpango mwingine kana kwamba haijawahi kuwa na mpango kama huo kabla.
Wizara hiyo inahitaji mtu aliyesoma. Si Mswahili kama January Makamba. Ila kwa sababu ya NAPOTISM yuko hapo ki maslahi and knows nothing. Tuvumilie kukaa gizani as long as huyo jamaa yuko huko!
 
Hivi unawaamini hawa CCM,
Hiki chama kilishapoteza Dira kitambo tu.
Wamebakiza mipasho mingi tu,utendaji zero.
 
Kwa hiyo tulishindwa kuuliza kipi kimetokea hadi gesi imekuwa ya mabeberu ghafla?
Awamu niliyokwambia hapo juu ilikuwa ukihoji, mambo mawili hadi matatu yalikukuta;
1. Utapimwa mkojo ili upewe kesi ya dawa za kulevya
2. Ulete cheti cha kuzaliwa cha babu yako ili uthibitike siyo raia
3. Upotelee kusikojulikana
 
Hiyo ilikuwa kauli ya wanasiasa lakini hukuwahi kusikia mhandisi yoyote anaongea hivyo. Kauli za kisiasa ni kufurahisha lakini katika hili kama gas ingendelezwa kama ilivyokuwa imepangwa naamini tungekuwa tumetatua tatizo, shida Mwendazake alipiga U-turn kwenda kwenye umeme wa maji.
Nchi inasafari ndefu sana.
By the way kwani huo umeme ukikamilika?
 
Ccm waongo sana hiki chama ata kipewe miaka 100 hakuna tofauti kitaleta kwa maendeleo ya mtu
 
Nakumbuka kila kiongozi mwandamizi wa serikali ya awamu ya 4 akiwa kwenye tv alikuwa anahubiri ukomo wa tatizo la umeme pale mradi wa umeme wa gesi ya Mtwara utakapokamilika.

Kulikuwa na uzinduzi mwingi tu sijui wa Kinyerezi one, sijui terminal two. Tulihakikishiwa mradi ukikamilika hakutakuwa tena na tatizo la umeme.

Hivi watanzania ndio kusema hatukumbuki kama tuliahidiwa hivyo? Na kama tunakumbuka kwa nini tupo kimya tu hata hatuhoji utadhani hatukuwahi kuahidiwa kitu kama hiki na serikali yetu?

Bila aibu tunaletewa mipango mingine mipya na kuahidiwa tatizo la umeme linaenda kuisha ilihali juzi tu tulipewa ahadi kama hiyo na haikutimia.

Natamani watanzania wawe na ujasiri wa kuwahoji viongozi wao vitu kama hivi. Haiwezekani tunaahidiwa kitu flani, gharama kubwa inatumika na pengine maisha ya watu yanapotea (refer vurugu za Mtwara kwenye kusafirisha gesi kuja Dar) lakini Serikali inakuja na mpango mwingine kana kwamba haijawahi kuwa na mpango kama huo kabla.
Daaah
 
Nakumbuka kila kiongozi mwandamizi wa serikali ya awamu ya 4 akiwa kwenye tv alikuwa anahubiri ukomo wa tatizo la umeme pale mradi wa umeme wa gesi ya Mtwara utakapokamilika.

Kulikuwa na uzinduzi mwingi tu sijui wa Kinyerezi one, sijui terminal two. Tulihakikishiwa mradi ukikamilika hakutakuwa tena na tatizo la umeme.

Hivi watanzania ndio kusema hatukumbuki kama tuliahidiwa hivyo? Na kama tunakumbuka kwa nini tupo kimya tu hata hatuhoji utadhani hatukuwahi kuahidiwa kitu kama hiki na serikali yetu?

Bila aibu tunaletewa mipango mingine mipya na kuahidiwa tatizo la umeme linaenda kuisha ilihali juzi tu tulipewa ahadi kama hiyo na haikutimia.

Natamani watanzania wawe na ujasiri wa kuwahoji viongozi wao vitu kama hivi. Haiwezekani tunaahidiwa kitu flani, gharama kubwa inatumika na pengine maisha ya watu yanapotea (refer vurugu za Mtwara kwenye kusafirisha gesi kuja Dar) lakini Serikali inakuja na mpango mwingine kana kwamba haijawahi kuwa na mpango kama huo kabla.
Lakini huyo kiongozi wa mchongo si alituambia " akili za kuambiwa changanya na za kwako"? Au wewe popoma+++?
 
Tulibiwa enzi za Profesa Muhongo.
 
Nakumbuka kila kiongozi mwandamizi wa serikali ya awamu ya 4 akiwa kwenye tv alikuwa anahubiri ukomo wa tatizo la umeme pale mradi wa umeme wa gesi ya Mtwara utakapokamilika.

Kulikuwa na uzinduzi mwingi tu sijui wa Kinyerezi one, sijui terminal two. Tulihakikishiwa mradi ukikamilika hakutakuwa tena na tatizo la umeme.

Hivi watanzania ndio kusema hatukumbuki kama tuliahidiwa hivyo? Na kama tunakumbuka kwa nini tupo kimya tu hata hatuhoji utadhani hatukuwahi kuahidiwa kitu kama hiki na serikali yetu?

Bila aibu tunaletewa mipango mingine mipya na kuahidiwa tatizo la umeme linaenda kuisha ilihali juzi tu tulipewa ahadi kama hiyo na haikutimia.

Natamani watanzania wawe na ujasiri wa kuwahoji viongozi wao vitu kama hivi. Haiwezekani tunaahidiwa kitu flani, gharama kubwa inatumika na pengine maisha ya watu yanapotea (refer vurugu za Mtwara kwenye kusafirisha gesi kuja Dar) lakini Serikali inakuja na mpango mwingine kana kwamba haijawahi kuwa na mpango kama huo kabla.
Wanasiasa sio ndugu zako,ndugu zako ni familia yako,usijisumbue kuwaamini hao mamamluki walamba asali
 
Si tuliambiwa na 'jpm' kuwa gesi hatuna chetu mabeberu wamegawana !?
 
Back
Top Bottom