Je, hawa wanaomtaja taja Kafulila wanatumwa na nani?

Kwani anayetajwa tajwa ni Kafulila peke yake?
 
David mtu mfupi na ufupi wake
 
Kama alivyosema Rais wetu mpendwa hapo jana kuwa Uongozi unatoka kwa Mungu Mwenyewe. Mungu akisema ndio hakuna mwanadamu anayeweza kupinga. Mungu ndiye mtoa maarifa na njia.
 
Mimi simo Mkuu ila huyo john ndio mpiga debe wake humu jf 😂😂
 
Huyo kafulila ni fala tu, alishinda uchaguzi wa ubunge halafu akatangazwa aliyeshindwa akabaki kulialia tu, sasahivi kajiunga na majambazi yaliyompora ushindi, hana tofauti na msigwa kwasasa
 
Huyo kafulila ni fala tu, alishinda uchaguzi wa ubunge halafu akatangazwa aliyeshindwa akabaki kulialia tu, sasahivi kajiunga na majambazi yaliyompora ushindi, hana tofauti na msigwa kwasasa
Acha kumfananisha Kafulila na watu wa ajabu ajabu
 
Huyo kafulila ni fala tu, alishinda uchaguzi wa ubunge halafu akatangazwa aliyeshindwa akabaki kulialia tu, sasahivi kajiunga na majambazi yaliyompora ushindi, hana tofauti na msigwa kwasasa
Acha kumfananisha Kafulila na watu wa ajabu ajabu
 
Simuoni David popote alipo bora, ...narsist Tu
 
Kafulila katengeneza mwenyewe genge la kumtangaza hapa jf na kwingineko, usimlaumu mtu yeyote.
 
Hata wewe unamtaja Kafulila na wewe ndiye Kafulila mwenyewe.

NIMEKUSHITUKIA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…