Je, hawa wanaomtaja taja Kafulila wanatumwa na nani?

Je, hawa wanaomtaja taja Kafulila wanatumwa na nani?

Kafulila ni mzalendo wa kweli na kijana mchapakazi Taifa na Dunia wanajua Kafulila anachukia Rushwa hata Ufisadi,
Kafulila anatajwa sana hasa na wale masikini wa nchi
Masikini walishawahi Dunia ipi? toa recommendation ikakubalika
Hayo mambo ya kiccm kuwapaka mafuta masikini kwa mgogo wa chupa hatayataki

Tukichukua nchi hii hakuna masikini na umasikini
 
Sasa mtu ambaye Jana mke anapoteza mke kwa ujinga nani atamwamini
Wewe unamchagua mke wake au yeye Kafulila?

Hawa Wanawake wa siku hizi nani anaweza kuishi nao bila migogoro?
 
Mwenye kuweza kujibu huto tuswali twako(siyo hoja)ni huyohuyo Kafulila na aliowatuma wampigie debe.Kwani haujui anapopatikana ukamuulize?
Sioni kama Kafulila anahitaji kupigiwa debe kwakuwa record zake zinamuuza popote.
 
Masikini walishawahi Dunia ipi? toa recommendation ikakubalika
Hayo mambo ya kiccm kuwapaka mafuta masikini kwa mgogo wa chupa hatayataki

Tukichukua nchi hii hakuna masikini na umasikini
CHADEMA ndio mtagawa pesa kwa wananchi wote,Hongereni
 
Sasa kumbe uache kiheremswede chako cha kuuliza maswali ambayo tayari unaweza kujijibu.
Ndio maana nashauri hao free freelencers waache hiyo kazi kwakuwa Kafulila hajawahi kusema anahitaji nafasi yoyote tofauti na wale wenzake .
 
Ndio maana nashauri hao free freelencers waache hiyo kazi kwakuwa Kafulila hajawahi kusema anahitaji nafasi yoyote tofauti na wale wenzake .
Kakae naye kwa utulivu utamuelewa.Kama si kwa maneno,angalia muitikio kimatendo yake.
 
Hii michezo yenu ya kitoto labda mdanganye wasio na akili.

Mleta mada ni chawa mwandamizi unaleta mada unaweka bandiko kama swali kwamba kwanini Kafulila anatajwa sana kumbe unamuongelea kimkakati halafu unapewa support na ID za machawa anaowalipa kumsifia hapa .

Hebu mfanye re-organization hii mbinu yenu imeshafeli labda kwa wajinga.
Kumbe mkuu Matrix19 na wewe uneona huo mtego!! Jamaa bwege sana anadhani hapa ni Facebook wanaposifiana ujinga
No, Mimi nakushangaa wewe unalazimisha hoja zako hapa

Kafulila kweli ni material sana kwa Taifa najua hili hata wewe utakubaliana na Mimi,

Hoja yangu, Ni Je wenzake wata-react vipi baada ya yeye kuonekana akitajwa tajwa tena na watu asiowafahamu mitandaoni.

Take note, Mimi sio Kafulila

Na kuwa na adabu kwenye mijadala yako
Kafulila material gani? Kwa Taifa lipi? Kwanza hata ukigombea ubunge huko kwenu sweken Kazuramimba sijui Kasulu ni tia maji tia maji. Halafu unakuja kujinadi hapa na Uraisi? Wewe huyuhuyu uliyeitwa tumbili na Prof Muhongo? Wacha mzaha dogo
 
Kumbe mkuu Matrix19 na wewe uneona huo mtego!! Jamaa bwege sana anadhani hapa ni Facebook wanaposifiana ujinga
Huyo Kafulila yupo humu na hao machawa wake wapuuzi anaowalipa kumsifia wewe angalia mtiririko wa thread utajua tu , kile kiID chake ndio bado hakijafika hapa kuweka comment

Hawa wanafikiri kila mtu ni mjinga kama wao.
Kafulila material gani? Kwa Taifa lipi? Kwanza hata ukigombea ubunge huko kwenu sweken Kazuramimba sijui Kasulu ni tia maji tia maji. Halafu unakuja kujinadi hapa na Uraisi? Wewe huyuhuyu uliyeitwa tumbili na Prof Muhongo? Wacha mzaha dogo
 
Kumbe mkuu Matrix19 na wewe uneona huo mtego!! Jamaa bwege sana anadhani hapa ni Facebook wanaposifiana ujinga

Kafulila material gani? Kwa Taifa lipi? Kwanza hata ukigombea ubunge huko kwenu sweken Kazuramimba sijui Kasulu ni tia maji tia maji. Halafu unakuja kujinadi hapa na Uraisi? Wewe huyuhuyu uliyeitwa tumbili na Prof Muhongo? Wacha mzaha dogo
Nani kasema Kafulila anataka Urais?

Hiki ndicho kitu Mimi nimekataa,

Kuna sehemu yoyote Kafulila ameshawahi kutangaza anataka uRais?

Pamoja na kwamba anasifa nyingi za urais ila hajawahi kufanya hivyo.
 
Jibu hoja acha kujiliza Liza kama mtoto wa kike
Hakuna hoja wapi?

Kuna hoja yoyote kwanza kwenye bandiko lako hilo?

Unafikiri kila mtu humu ni wa kumkokota kama maksai?

Mimi najibishanaje hoja na multiple IDs zilizokuwa programmed na mtu mmoja ?

Wapuuzi kabisa nyie , mna bahati tu policy zinakataa name calling otherwise I was going to unmask you crooks.

And I won't settle with mediocres.
 
Pamoja na kwamba anasifa nyingi za urais ila hajawahi kufanya hivyo.
Una sifa zipi nyingi Kafulila? Wewe shukuru tu Samia kakuokota maana baada ya kukosa ubunge na mkeo kakimbia.

Ulikuwa jobless baada ya kukaa ofsini na kupigwa kiyoyozi na kupanda V8 nawe unajiona unaweza!!
 
Huyo Kafulila yupo humu na hao machawa wake wapuuzi anaowalipa kumsifia wewe angalia mtiririko wa thread utajua tu , kile kiID chake ndio bado hakijafika hapa kuweka comment

Hawa wanafikiri kila mtu ni mjinga kama wao.
Ila kweli wewe ni zezeta,

Tangu lini hapa Jf tukatafuta genuinety ya Wachangiaji,

Unaelewa kwanini tunaingia kwa Fake ID?

JF NI KWAAJILI YA HOJA NA WALA SIO MTOA HOJA.

Huna akili kabisa nimegundua,
 
Back
Top Bottom