Hivi we uvccm una hadhi ya kuchart na Mimi? Hawa mods vipi? Wanaruhusu hii kituCHADEMA ndio mtagawa pesa kwa wananchi wote,Hongereni
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi we uvccm una hadhi ya kuchart na Mimi? Hawa mods vipi? Wanaruhusu hii kituCHADEMA ndio mtagawa pesa kwa wananchi wote,Hongereni
Nenda akakuoe wewe Sasa kama MkeUnamuingelea Kafulila aliyekubali kuachia mkw achukuliwe na kiongozi halafu yeye atapewa uteuzi na akapewa?
Kwani wewe ameshakuacha?Nenda akakuoe wewe Sasa kama Mke
Mwanaume Kufuatafuata faragha za watu ni dalili mbayaKwani wewe ameshakuacha?
Michadema mingi sio rizkiMwanaume Kufuatafuata faragha za watu ni dalili mbaya
UVCCM ndio think tank ya Taifa hili,Hivi we uvccm una hadhi ya kuchart na Mimi? Hawa mods vipi? Wanaruhusu hii kitu
Sahihi kabisa, CHADEMA wanatia huruma sanaUVCCM ndio think tank ya Taifa hili,
Ndiyo upumbavu wenu huo kila kitu kuita faragha. Mambo yanaketwa public ni faragha hiyo. Wateja wanahamishwa vyumba kwenye hoteli ili kupisha watu wa enjoy huku mhusika akizuiliwa counter ni faragha hiyo?Mwanaume Kufuatafuata faragha za watu ni dalili mbaya
Aha ndo maana nchi imedumaa hii nasikia hawana hela kabisaUVCCM ndio think tank ya Taifa hili,
Wewe ni Kafulila au demu wa KafulilaWajinga wakiwa wengi wanaonekana wakweli lazima nikuzibiti na ujinga wako huo huo,
Lini na wapi Kafulila alisema anataka Urais?
Kama Kafulila ungekuwa smart Jesca Kishoa asingekukimbia.But Kafulila Yuko smart sana kama atataka Urais hiyo 2030 he can be the best candidate evever.
Nahisi kuna watu wa karibu naye wasiomtakia mema mgombea aliyetajwa kuwa na form moja tu.By Summary,
Hawa watu wanao mtaja-taja Cde David Kafulila wanatumwa na nani hasa na nia yao ni nini hasa nini kipo nyuma ya hili?
Je, huyu Cde David Kafulila ameshawahi kutangaza nia popote anataka nafasi yoyote ya kisiasa 2030 - JIBU NI HAPANA
Bila kujua au kwa kujua hawa watu wanamuingiza Cde David Kafulila kwenye migogoro isiyoisha na wanasiasa wasaka uRais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,
Hofu yangu ni juu ya hawa watu endapo wanafahamu vizuri nguvu ya hawa wasaka uRais wa nchi hii au huu ni mpango wa TISS?
Nikweli Cde David Kafulila ni miongoni mwa vijana Wazalendo wa Taifa hili Kwa rekodi zake, hili wote tunakubaliana nalo.
Nikweli Cde David Kafulila anauwezo mkubwa wa kisiasa na kiuongozi hasa kuthibiti Rushwa, Ufisadi, Uzembe na Matumizi mabaya ya mali za Umma hili hakuna mwenye hofu juu yake.
Tujiulize, Je, hawa free freelencers wanaomtaja taja Cde David Kafulila wanafahamu gharama za kumtaja taja wakati yeye hana nia hiyo?
Nikweli pengine wanatamani Cde David Kafulila awe kiongozi wao hapo baadae lakini wajue gharama ya mawazo yao inaweza ikamletea shida ndugu yao japo ni haki yao kikatiba.
Nikweli kila Mtanzania ana haki ya kuwa Kiongozi wa nafasi yoyote ile na Kila Mtanzania ana haki ya kutoa mawazo|maoni yake wakati wowote popote tatizo ni Je, wenzake hao watampokeaje kwenye game?
Muwe na Dominica njema.
cc:
johnthebaptist
Pascal Mayalla
FaizaFixy
Jabali la Siasa
Lucas Mwashambwa
ChoiceVariable
Hii ni reply yangu ya mwisho kwako.Nadhani wewe unashida na Kafulila personal
Nimejaribu sana kukueleza but huelewi,
Nimekwambia mambo matatu muhimu,
1. Kwa sasa Kafulila hana nia ya Urais 2030 kwani hajasema popote.
2. Kafulila hajatuma watu ndio maana nikasema wanamchonganisha na wenye nafasi hiyo ya Utia nia wakati yeye si miongoni mwao.
3. Kwakuwa huoni hoja na unazijibu basi wewe unatatizo kubwa kuliko hao free freelencers wa Kafulila.
Mbona kama ndoa ya Kafulila inakuuma mkuu Kuna nini?Kama Kafulila ungekuwa smart Jesca Kishoa asingekukimbia.
🤣🤣🤣Mtu akiwa na uwezo Kila mmoja anatamani aongoze idara flaniWameanza tena kumuhusisha na nafasi ya NW Mambo ya Nje.
Kafulila hahitaji promo kama LissuMbinu nyingine ya kujipigia promo.
Hii ni mijadala ya 2030Nahisi kuna watu wa karibu naye wasiomtakia mema mgombea aliyetajwa kuwa na form moja tu.
Na wewe kakutuma umzungumzie Kwa namna hii ya kiujanjaujanja!!?By Summary,
Hawa watu wanao mtaja-taja Cde David Kafulila wanatumwa na nani hasa na nia yao ni nini hasa nini kipo nyuma ya hili?
Je, huyu Cde David Kafulila ameshawahi kutangaza nia popote anataka nafasi yoyote ya kisiasa 2030 - JIBU NI HAPANA
Bila kujua au kwa kujua hawa watu wanamuingiza Cde David Kafulila kwenye migogoro isiyoisha na wanasiasa wasaka uRais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,
Hofu yangu ni juu ya hawa watu endapo wanafahamu vizuri nguvu ya hawa wasaka uRais wa nchi hii au huu ni mpango wa TISS?
Nikweli Cde David Kafulila ni miongoni mwa vijana Wazalendo wa Taifa hili Kwa rekodi zake, hili wote tunakubaliana nalo.
Nikweli Cde David Kafulila anauwezo mkubwa wa kisiasa na kiuongozi hasa kuthibiti Rushwa, Ufisadi, Uzembe na Matumizi mabaya ya mali za Umma hili hakuna mwenye hofu juu yake.
Tujiulize, Je, hawa free freelencers wanaomtaja taja Cde David Kafulila wanafahamu gharama za kumtaja taja wakati yeye hana nia hiyo?
Nikweli pengine wanatamani Cde David Kafulila awe kiongozi wao hapo baadae lakini wajue gharama ya mawazo yao inaweza ikamletea shida ndugu yao japo ni haki yao kikatiba.
Nikweli kila Mtanzania ana haki ya kuwa Kiongozi wa nafasi yoyote ile na Kila Mtanzania ana haki ya kutoa mawazo|maoni yake wakati wowote popote tatizo ni Je, wenzake hao watampokeaje kwenye game?
Muwe na Dominica njema.
cc:
johnthebaptist
Pascal Mayalla
FaizaFixy
Jabali la Siasa
Lucas Mwashambwa
ChoiceVariable