Je, hawa wanaomtaja taja Kafulila wanatumwa na nani?

Je, hawa wanaomtaja taja Kafulila wanatumwa na nani?

Una sifa zipi nyingi Kafulila? Wewe shukuru tu Samia kakuokota maana baada ya kukosa ubunge na mkeo kakimbia.

Ulikuwa jobless baada ya kukaa ofsini na kupigwa kiyoyozi na kupanda V8 nawe unajiona unaweza!!
Narudia tena Mimi sio Kafulila hata hivyo.
 
By Summary,

Hawa watu wanao mtaja-taja Cde David Kafulila wanatumwa na nani hasa na nia yao ni nini hasa nini kipo nyuma ya hili?

Je, huyu Cde David Kafulila ameshawahi kutangaza nia popote anataka nafasi yoyote ya kisiasa 2030 - JIBU NI HAPANA

Bila kujua au kwa kujua hawa watu wanamuingiza Cde David Kafulila kwenye migogoro isiyoisha na wanasiasa wasaka uRais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,

Hofu yangu ni juu ya hawa watu endapo wanafahamu vizuri nguvu ya hawa wasaka uRais wa nchi hii au huu ni mpango wa TISS?

Nikweli Cde David Kafulila ni miongoni mwa vijana Wazalendo wa Taifa hili Kwa rekodi zake, hili wote tunakubaliana nalo.

Nikweli Cde David Kafulila anauwezo mkubwa wa kisiasa na kiuongozi hasa kuthibiti Rushwa, Ufisadi, Uzembe na Matumizi mabaya ya mali za Umma hili hakuna mwenye hofu juu yake.

Tujiulize, Je, hawa free freelencers wanaomtaja taja Cde David Kafulila wanafahamu gharama za kumtaja taja wakati yeye hana nia hiyo?

Nikweli pengine wanatamani Cde David Kafulila awe kiongozi wao hapo baadae lakini wajue gharama ya mawazo yao inaweza ikamletea shida ndugu yao japo ni haki yao kikatiba.

Nikweli kila Mtanzania ana haki ya kuwa Kiongozi wa nafasi yoyote ile na Kila Mtanzania ana haki ya kutoa mawazo|maoni yake wakati wowote popote tatizo ni Je, wenzake hao watampokeaje kwenye game?


Muwe na Dominica njema.

cc:
johnthebaptist
Pascal Mayalla
FaizaFixy
Jabali la Siasa
Lucas Mwashambwa
ChoiceVariable
Hapo "wote tunakubaliana" ni wewe na nani mlikubaliana?
 
Ila kweli wewe ni zezeta,
Siwezi kuwa zezeta mimi mnayofanya nyie na boss wenu ndio uzezeta tena uliokubuhu.
Tangu lini hapa Jf tukatafuta genuinety ya Wachangiaji,

Unaelewa kwanini tunaingia kwa Fake ID?
Mimi nipo humu tangu enzi za Jambo forums through thick and thin we made it.
JF NI KWAAJILI YA HOJA NA WALA SIO MTOA HOJA.
Hakuna mahali nimediscredit au kutaka kublow cover ya mtu bali mchezo mnaofanya ndio utoto hakuna hoja zozote
Huna akili kabisa nimegundua,
Hoja gani iliyopo kwenye bandiko lako?

Hakuna hoja maana umeuliza swali kimkakati ila thread imejaa "sifa" kwa Kafulila

Hii inahitaji mtu awe na akili nyingi kujua motive ya bandiko sio swali bali ni kufanya mjadala wa kumtaja Kafulila indirectly.


Huyo Kafulila mnayemsifia kwanini ajifiche na afanye michezo ya kitoto.

Yeye ni kiongozi anakula kodi za wananchi yeye ndio tunamtaka aje kama wenzie sio kuwatuma nyie chawa wake halafu na yeye anakuja na mask.

Huku duniani tunakoelekea public figures handles zitakuwa zinaondolewa button ya "BLOCK" kwa sababu ukishakuwa kiongozi unatakiwa kusikiliza maoni haijalishi ni mazuri au mabaya ya watu wako.
 
Hapo "wote tunakubaliana" ni wewe na nani mlikubaliana?
Safi sana kuna mwalimu wangu mmoja alikuwa anasema "read between lines" sentensi hiyo na zilizofuata zinakufungua tu motive ya huu mjadala sio kuuliza swali kwamba Kafulila anatajwa.

Bali ni kuanzisha mada kumpamba halafu wafuatie wapambe kumpamba.
 
By Summary,

Hawa watu wanao mtaja-taja Cde David Kafulila wanatumwa na nani hasa na nia yao ni nini hasa nini kipo nyuma ya hili?

Je, huyu Cde David Kafulila ameshawahi kutangaza nia popote anataka nafasi yoyote ya kisiasa 2030 - JIBU NI HAPANA

Bila kujua au kwa kujua hawa watu wanamuingiza Cde David Kafulila kwenye migogoro isiyoisha na wanasiasa wasaka uRais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,

Hofu yangu ni juu ya hawa watu endapo wanafahamu vizuri nguvu ya hawa wasaka uRais wa nchi hii au huu ni mpango wa TISS?

Nikweli Cde David Kafulila ni miongoni mwa vijana Wazalendo wa Taifa hili Kwa rekodi zake, hili wote tunakubaliana nalo.

Nikweli Cde David Kafulila anauwezo mkubwa wa kisiasa na kiuongozi hasa kuthibiti Rushwa, Ufisadi, Uzembe na Matumizi mabaya ya mali za Umma hili hakuna mwenye hofu juu yake.

Tujiulize, Je, hawa free freelencers wanaomtaja taja Cde David Kafulila wanafahamu gharama za kumtaja taja wakati yeye hana nia hiyo?

Nikweli pengine wanatamani Cde David Kafulila awe kiongozi wao hapo baadae lakini wajue gharama ya mawazo yao inaweza ikamletea shida ndugu yao japo ni haki yao kikatiba.

Nikweli kila Mtanzania ana haki ya kuwa Kiongozi wa nafasi yoyote ile na Kila Mtanzania ana haki ya kutoa mawazo|maoni yake wakati wowote popote tatizo ni Je, wenzake hao watampokeaje kwenye game?


Muwe na Dominica njema.

cc:
johnthebaptist
Pascal Mayalla
FaizaFixy
Jabali la Siasa
Lucas Mwashambwa
ChoiceVariable
Kiongozi wewe member wa pale karibu na saint Peter HUJUI HII??

Jumatano nitakuwa DSM, tukutane break point Chief nikupe nyamanyama kuhusu KAFULILA 😅
 
Kama siyo Kafulila kwa nini unekomaa na hoja ya kijinga hivi?
Wajinga wakiwa wengi wanaonekana wakweli lazima nikuzibiti na ujinga wako huo huo,

Lini na wapi Kafulila alisema anataka Urais?
 
Sioni tatizo kutajwa,

Tatizo ni wewe kuanza kumpromote Kwa nafasi ya Urais Kwa kumuanzishia thread kabisa 🤔
 
Wajinga wakiwa wengi wanaonekana wakweli lazima nikuthibiti na ujinga wako huo huo,

Lini na wapi Kafulila alisema anataka Urais?

Jibu ZURI sana CM 1774858 KAFULILA AKA TUMBILI anapenda kujipa promo, ana watu wake wapo kwa ajili ya kumjenga, ndo maana thread zake haziishi.

Mwenyewe ana ID zisizopungua mbili humu.

Anajifanya anajua mambo na kuandika vitu ambayyo vinakuwq na mgongano.

Mfano mzuri ni yeye kusema mwekezaji/Serikali kununua mabasi ya mwendo kasi 150.

Msajili wa hazina anasema mabasi 100 Tena wanakopa NMB BANK, sasa Kamishna wa PPR na msajiri wa hazina nani mkweli anapaswa kuaminiwa??

Umeletab uzi mzuri sana, kifupi KAFULILA AKA TUMBILI siyo mtu wa kumwamini hata kidogo.

Ana ndoto pia za Urais wa Tanzania 20230 wakati inajulikana wazi yeye sio mtanzania, Uraia wake una shaka.
 
Jibu ZURI sana CM 1774858 KAFULILA AKA TUMBILI anapenda kujipa promo, ana watu wake wapo kwa ajili ya kumjenga, ndo maana thread zake haziishi.

Mwenyewe ana ID zisizopungua mbili humu.

Anajifanya anajua mambo na kuandika vitu ambayyo vinakuwq na mgongano.

Mfano mzuri ni yeye kusema mwekezaji/Serikali kununua mabasi ya mwendo kasi 150.

Msajili wa hazina anasema mabasi 100 Tena wanakopa NMB BANK, sasa Kamishna wa PPR na msajiri wa hazina nani mkweli anapaswa kuaminiwa??

Umeletab uzi mzuri sana, kifupi KAFULILA AKA TUMBILI siyo mtu wa kumwamini hata kidogo.

Ana ndoto pia za Urais wa Tanzania 20230 wakati inajulikana wazi yeye sio mtanzania, Uraia wake una shaka.
Hapa Sasa ndio nimeona rangi zenu kwa ukaribu,

Kumbe Kafulila sio Raia!!!
Kumbe Kafulila anataka Urais 2030,

Kumbe napambana na wapinzani wake? Bull shit.

Am sorry kwakuwa Sikujua nia yenu iliyojificha,

But Kafulila Yuko smart sana kama atataka Urais hiyo 2030 he can be the best candidate ever.
 
Sioni tatizo kutajwa,

Tatizo ni wewe kuanza kumpromote Kwa nafasi ya Urais Kwa kumuanzishia thread kabisa 🤔
Hebu Lete sehemu moja niliyompromote Kafulila kwenye nafasi hiyo ya uRais
 
Hapa Sasa ndio nimeona rangi zenu kwa ukaribu,

Kumbe Kafulila sio Raia!!!
Kumbe Kafulila anataka Urais 2030,

Kumbe napambana na wapinzani wake? Bull shit.

Am sorry kwakuwa Sikujua nia yenu iliyojificha,

But Kafulila Yuko smart sana kama atataka Urais hiyo 2030 he can be the best candidate ever.
Huna haja ya Matusi, wewe UVCCM
 
Siwezi kuwa zezeta mimi mnayofanya nyie na boss wenu ndio uzezeta tena uliokubuhu.

Mimi nipo humu tangu enzi za Jambo forums through thick and thin we made it.

Hakuna mahali nimediscredit au kutaka kublow cover ya mtu bali mchezo mnaofanya ndio utoto hakuna hoja zozote

Hoja gani iliyopo kwenye bandiko lako?

Hakuna hoja maana umeuliza swali kimkakati ila thread imejaa "sifa" kwa Kafulila

Hii inahitaji mtu awe na akili nyingi kujua motive ya bandiko sio swali bali ni kufanya mjadala wa kumtaja Kafulila indirectly.


Huyo Kafulila mnayemsifia kwanini ajifiche na afanye michezo ya kitoto.

Yeye ni kiongozi anakula kodi za wananchi yeye ndio tunamtaka aje kama wenzie sio kuwatuma nyie chawa wake halafu na yeye anakuja na mask.

Huku duniani tunakoelekea public figures handles zitakuwa zinaondolewa button ya "BLOCK" kwa sababu ukishakuwa kiongozi unatakiwa kusikiliza maoni haijalishi ni mazuri au mabaya ya watu wako.
Nadhani wewe unashida na Kafulila personal

Nimejaribu sana kukueleza but huelewi,

Nimekwambia mambo matatu muhimu,

1. Kwa sasa Kafulila hana nia ya Urais 2030 kwani hajasema popote.

2. Kafulila hajatuma watu ndio maana nikasema wanamchonganisha na wenye nafasi hiyo ya Utia nia wakati yeye si miongoni mwao.

3. Kwakuwa huoni hoja na unazijibu basi wewe unatatizo kubwa kuliko hao free freelencers wa Kafulila.
 
By Summary,

Hawa watu wanao mtaja-taja Cde David Kafulila wanatumwa na nani hasa na nia yao ni nini hasa nini kipo nyuma ya hili?

Je, huyu Cde David Kafulila ameshawahi kutangaza nia popote anataka nafasi yoyote ya kisiasa 2030 - JIBU NI HAPANA

Bila kujua au kwa kujua hawa watu wanamuingiza Cde David Kafulila kwenye migogoro isiyoisha na wanasiasa wasaka uRais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,

Hofu yangu ni juu ya hawa watu endapo wanafahamu vizuri nguvu ya hawa wasaka uRais wa nchi hii au huu ni mpango wa TISS?

Nikweli Cde David Kafulila ni miongoni mwa vijana Wazalendo wa Taifa hili Kwa rekodi zake, hili wote tunakubaliana nalo.

Nikweli Cde David Kafulila anauwezo mkubwa wa kisiasa na kiuongozi hasa kuthibiti Rushwa, Ufisadi, Uzembe na Matumizi mabaya ya mali za Umma hili hakuna mwenye hofu juu yake.

Tujiulize, Je, hawa free freelencers wanaomtaja taja Cde David Kafulila wanafahamu gharama za kumtaja taja wakati yeye hana nia hiyo?

Nikweli pengine wanatamani Cde David Kafulila awe kiongozi wao hapo baadae lakini wajue gharama ya mawazo yao inaweza ikamletea shida ndugu yao japo ni haki yao kikatiba.

Nikweli kila Mtanzania ana haki ya kuwa Kiongozi wa nafasi yoyote ile na Kila Mtanzania ana haki ya kutoa mawazo|maoni yake wakati wowote popote tatizo ni Je, wenzake hao watampokeaje kwenye game?


Muwe na Dominica njema.

cc:
johnthebaptist
Pascal Mayalla
FaizaFixy
Jabali la Siasa
Lucas Mwashambwa
ChoiceVariable
Unamuongelea Kafulila aliyekubali kuachia mke achukuliwe na kiongozi halafu yeye akaahidiwa atapewa uteuzi na akapewa?
 
Jibu ZURI sana CM 1774858 KAFULILA AKA TUMBILI anapenda kujipa promo, ana watu wake wapo kwa ajili ya kumjenga, ndo maana thread zake haziishi.

Mwenyewe ana ID zisizopungua mbili humu.

Anajifanya anajua mambo na kuandika vitu ambayyo vinakuwq na mgongano.

Mfano mzuri ni yeye kusema mwekezaji/Serikali kununua mabasi ya mwendo kasi 150.

Msajili wa hazina anasema mabasi 100 Tena wanakopa NMB BANK, sasa Kamishna wa PPR na msajiri wa hazina nani mkweli anapaswa kuaminiwa??

Umeletab uzi mzuri sana, kifupi KAFULILA AKA TUMBILI siyo mtu wa kumwamini hata kidogo.

Ana ndoto pia za Urais wa Tanzania 20230 wakati inajulikana wazi yeye sio mtanzania, Uraia wake una shaka.
Kumbe Kuna watu humu wanamtetea Mchechu kuweni makini
 
Unamuingelea Kafulila aliyekubali kuachia mkw achukuliwe na kiongozi halafu yeye atapewa uteuzi na akapewa?
kama wahindi " mungu PATA jivu, sisi PATA Mali" KAFULILA PATA cheo ....PATA MBUNYE 🤣🤣
Kaachia PAPUCHI kwa ajili ya cheo 🤣🤣😅🤣😅
 
Back
Top Bottom