Je, hawa wanaomtaja taja Kafulila wanatumwa na nani?

Je, hawa wanaomtaja taja Kafulila wanatumwa na nani?

By Summary,

Hawa watu wanao mtaja-taja Cde David Kafulila wanatumwa na nani hasa na nia yao ni nini hasa nini kipo nyuma ya hili?

Je, huyu Cde David Kafulila ameshawahi kutangaza nia popote anataka nafasi yoyote ya kisiasa 2030 - JIBU NI HAPANA

Bila kujua au kwa kujua hawa watu wanamuingiza Cde David Kafulila kwenye migogoro isiyoisha na wanasiasa wasaka uRais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,

Hofu yangu ni juu ya hawa watu endapo wanafahamu vizuri nguvu ya hawa wasaka uRais wa nchi hii au huu ni mpango wa TISS?

Nikweli Cde David Kafulila ni miongoni mwa vijana Wazalendo wa Taifa hili Kwa rekodi zake, hili wote tunakubaliana nalo.

Nikweli Cde David Kafulila anauwezo mkubwa wa kisiasa na kiuongozi hasa kuthibiti Rushwa, Ufisadi, Uzembe na Matumizi mabaya ya mali za Umma hili hakuna mwenye hofu juu yake.

Tujiulize, Je, hawa free freelencers wanaomtaja taja Cde David Kafulila wanafahamu gharama za kumtaja taja wakati yeye hana nia hiyo?

Nikweli pengine wanatamani Cde David Kafulila awe kiongozi wao hapo baadae lakini wajue gharama ya mawazo yao inaweza ikamletea shida ndugu yao japo ni haki yao kikatiba.

Nikweli kila Mtanzania ana haki ya kuwa Kiongozi wa nafasi yoyote ile na Kila Mtanzania ana haki ya kutoa mawazo|maoni yake wakati wowote popote tatizo ni Je, wenzake hao watampokeaje kwenye game?


Muwe na Dominica njema.

cc:
johnthebaptist
Pascal Mayalla
FaizaFixy
Jabali la Siasa
Lucas Mwashambwa
ChoiceVariable
Hakuna wa kumgusa Kafulila na hii ni mipango ya suti nyeusi
 
Hapana mkuu Mimi si Kafulila,
Fuatilia vizuri,

Mimi nipo kabla ya Kafulila
Kafulila ridhika na kidogo ulichopewa cha kuwa Commissioner wa PPP. Ukifanya vizuri waweza kupaishwa hadi kuwa KM.

Mtaka yote kwa pupa hukosa yote
 
Kafulila ridhika na kidogo ulichopewa cha kuwa Commissioner wa PPP. Ukifanya vizuri waweza kupaishwa hadi kuwa KM.

Mtaka yote kwa pupa hukosa yote
Nani Kafulila wewe takataka,

Nimeshakwambia Mimi sio Kafulila,

Halafu Kafulila anakosa gani kama watu wanamtaja taja wao wenyewe kwa masilahi yao?

Acha mauza uza,
 
Nani Kafulila wewe takataka,

Nimeshakwambia Mimi sio Kafulila,

Halafu Kafulila anakosa gani kama watu wanamtaja taja wao wenyewe kwa masilahi yao?

Acha mauza uza,
Basi kama siyo Kafulila wewe ni demu wa Kafulila.

Mwanaume wa kweli hawezi kumuandikia mwanaume mwenzie post kama hii.

Mbona unajiliza sana.

Waliosoma Cuba watanielewa
 
Basi kama siyo Kafulila wewe ni demu wa Kafulila.

Mwanaume wa kweli hawezi kumuandikia mwanaume mwenzie post kama hii.

Mbona unajiliza sana.

Waliosoma Cuba watanielewa
So stupid,

Acha kundandia wanaume kwa mbele,

Sasa Mimi wapi nimeandika tofauti hapo,

Kama unamchukia Kafulila hilo ni tatizo lako,

Stupidfull,
 
Hii michezo yenu ya kitoto labda mdanganye wasio na akili.

Mleta mada ni chawa mwandamizi unaleta mada unaweka bandiko kama swali kwamba kwanini Kafulila anatajwa sana kumbe unamuongelea kimkakati halafu unapewa support na ID za machawa anaowalipa kumsifia hapa .

Hebu mfanye re-organization hii mbinu yenu imeshafeli labda kwa wajinga.
 
By Summary,

Hawa watu wanao mtaja-taja Cde David Kafulila wanatumwa na nani hasa na nia yao ni nini hasa nini kipo nyuma ya hili?

Je, huyu Cde David Kafulila ameshawahi kutangaza nia popote anataka nafasi yoyote ya kisiasa 2030 - JIBU NI HAPANA

Bila kujua au kwa kujua hawa watu wanamuingiza Cde David Kafulila kwenye migogoro isiyoisha na wanasiasa wasaka uRais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,

Hofu yangu ni juu ya hawa watu endapo wanafahamu vizuri nguvu ya hawa wasaka uRais wa nchi hii au huu ni mpango wa TISS?

Nikweli Cde David Kafulila ni miongoni mwa vijana Wazalendo wa Taifa hili Kwa rekodi zake, hili wote tunakubaliana nalo.

Nikweli Cde David Kafulila anauwezo mkubwa wa kisiasa na kiuongozi hasa kuthibiti Rushwa, Ufisadi, Uzembe na Matumizi mabaya ya mali za Umma hili hakuna mwenye hofu juu yake.

Tujiulize, Je, hawa free freelencers wanaomtaja taja Cde David Kafulila wanafahamu gharama za kumtaja taja wakati yeye hana nia hiyo?

Nikweli pengine wanatamani Cde David Kafulila awe kiongozi wao hapo baadae lakini wajue gharama ya mawazo yao inaweza ikamletea shida ndugu yao japo ni haki yao kikatiba.

Nikweli kila Mtanzania ana haki ya kuwa Kiongozi wa nafasi yoyote ile na Kila Mtanzania ana haki ya kutoa mawazo|maoni yake wakati wowote popote tatizo ni Je, wenzake hao watampokeaje kwenye game?


Muwe na Dominica njema.

cc:
johnthebaptist
Pascal Mayalla
FaizaFixy
Jabali la Siasa
Lucas Mwashambwa
ChoiceVariable
Acheni Kafulila afanye kazi, Watanzania wa Leo sio wakupangwa
 
So stupid,

Acha kundandia wanaume kwa mbele,

Sasa Mimi wapi nimeandika tofauti hapo,

Kama unamchukia Kafulila hilo ni tatizo lako,

Stupidfull,
Ukiona mtu anatoa povu kiwango cha lami, tambua umepata kisawasawa. Ingekuwa uwongo usinge furusha hayo matusi.

Ukweli unabakia palepale au wewe ni Kafulila au demu wa Kafulila. Eti unadai watu wanamtaja taja?? Wapi huko wanamtaja?? Kama siyo kujifanyia self spinning
 
By Summary,

Hawa watu wanao mtaja-taja Cde David Kafulila wanatumwa na nani hasa na nia yao ni nini hasa nini kipo nyuma ya hili?

Je, huyu Cde David Kafulila ameshawahi kutangaza nia popote anataka nafasi yoyote ya kisiasa 2030 - JIBU NI HAPANA

Bila kujua au kwa kujua hawa watu wanamuingiza Cde David Kafulila kwenye migogoro isiyoisha na wanasiasa wasaka uRais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,

Hofu yangu ni juu ya hawa watu endapo wanafahamu vizuri nguvu ya hawa wasaka uRais wa nchi hii au huu ni mpango wa TISS?

Nikweli Cde David Kafulila ni miongoni mwa vijana Wazalendo wa Taifa hili Kwa rekodi zake, hili wote tunakubaliana nalo.

Nikweli Cde David Kafulila anauwezo mkubwa wa kisiasa na kiuongozi hasa kuthibiti Rushwa, Ufisadi, Uzembe na Matumizi mabaya ya mali za Umma hili hakuna mwenye hofu juu yake.

Tujiulize, Je, hawa free freelencers wanaomtaja taja Cde David Kafulila wanafahamu gharama za kumtaja taja wakati yeye hana nia hiyo?

Nikweli pengine wanatamani Cde David Kafulila awe kiongozi wao hapo baadae lakini wajue gharama ya mawazo yao inaweza ikamletea shida ndugu yao japo ni haki yao kikatiba.

Nikweli kila Mtanzania ana haki ya kuwa Kiongozi wa nafasi yoyote ile na Kila Mtanzania ana haki ya kutoa mawazo|maoni yake wakati wowote popote tatizo ni Je, wenzake hao watampokeaje kwenye game?


Muwe na Dominica njema.

cc:
johnthebaptist
Pascal Mayalla
FaizaFixy
Jabali la Siasa
Lucas Mwashambwa
ChoiceVariable
Mungu yupo kazini Tanzania inatafuta Rais Mzalendo
 
Ukiona mtu anatoa povu kiwango cha lami, tambua umepata kisawasawa. Ingekuwa uwongo usinge furusha hayo matusi.

Ukweli unabakia palepale au wewe ni Kafulila au demu wa Kafulila. Eti unadai watu wanamtaja taja?? Wapi huko wanamtaja?? Kama siyo kujifanyia self spinning
Kafulila ni mzalendo wa kweli na kijana mchapakazi Taifa na Dunia wanajua Kafulila anachukia Rushwa hata Ufisadi,
Kafulila anatajwa sana hasa na wale masikini wa nchi
 
By Summary,

Hawa watu wanao mtaja-taja Cde David Kafulila wanatumwa na nani hasa na nia yao ni nini hasa nini kipo nyuma ya hili?

Je, huyu Cde David Kafulila ameshawahi kutangaza nia popote anataka nafasi yoyote ya kisiasa 2030 - JIBU NI HAPANA

Bila kujua au kwa kujua hawa watu wanamuingiza Cde David Kafulila kwenye migogoro isiyoisha na wanasiasa wasaka uRais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,

Hofu yangu ni juu ya hawa watu endapo wanafahamu vizuri nguvu ya hawa wasaka uRais wa nchi hii au huu ni mpango wa TISS?

Nikweli Cde David Kafulila ni miongoni mwa vijana Wazalendo wa Taifa hili Kwa rekodi zake, hili wote tunakubaliana nalo.

Nikweli Cde David Kafulila anauwezo mkubwa wa kisiasa na kiuongozi hasa kuthibiti Rushwa, Ufisadi, Uzembe na Matumizi mabaya ya mali za Umma hili hakuna mwenye hofu juu yake.

Tujiulize, Je, hawa free freelencers wanaomtaja taja Cde David Kafulila wanafahamu gharama za kumtaja taja wakati yeye hana nia hiyo?

Nikweli pengine wanatamani Cde David Kafulila awe kiongozi wao hapo baadae lakini wajue gharama ya mawazo yao inaweza ikamletea shida ndugu yao japo ni haki yao kikatiba.

Nikweli kila Mtanzania ana haki ya kuwa Kiongozi wa nafasi yoyote ile na Kila Mtanzania ana haki ya kutoa mawazo|maoni yake wakati wowote popote tatizo ni Je, wenzake hao watampokeaje kwenye game?


Muwe na Dominica njema.

cc:
johnthebaptist
Pascal Mayalla
FaizaFixy
Jabali la Siasa
Lucas Mwashambwa
ChoiceVariable
Chadema oyee imewapika vijana na kuwaazima maccm
Juzi kati imewapa msigwa na pendo penrza

Ccm wafanye haraka wawape vyeo vinginevyo watajuta

Kafulila amelelewa na kukuzwa cdm na kuazimwa ccm

Nasikia mpago wa cdm ni ku- overhaul uongozi wote wa ccm kwa kupachika makada wao.

hongera cdm kwa akili hizi kubwa mpaka ccm original washtuke tayari kutakuwa na cdm A na cdm B
Lengo limetimia

Kada wa cdm awa raisi wa nchi kupitia ccm
 
Huenda ni Clones zake au yeye mwenyewe ndio anawatuma ila atakuwa amekosea sababu anayechagua Rais sio huku kitaa bali ni wale wanaonominate kwenye vyama vyama husika (Hususan kutokuwepo kwa Mgombea Huru)
 
Chadema oyee imewapika vijana na kuwaazima maccm
Juzi kati imewapa msigwa na pendo penrza

Ccm wafanye haraka wawape vyeo vinginevyo watajuta

Kafulila amelelewa na kukuzwa cdm na kuazimwa ccm

Nasikia mpago wa cdm ni ku- overhaul uongozi wote wa ccm kwa kupachika makada wao.

hongera cdm kwa akili hizi kubwa mpaka ccm original washtuke tayari kutakuwa na cdm A na cdm B
Lengo limetimia

Kada wa cdm awa raisi wa nchi kupitia ccm

🤣🤣🤣 CHADEMA mnapenda sana kujifariji,

Mbona hata Magu alitoka NCCR
Bashiru alitoka CUF
Polepole akatoka CHADEMA
Lakini vipi mziki wake.
 
Hii michezo yenu ya kitoto labda mdanganye wasio na akili.

Mleta mada ni chawa mwandamizi unaleta mada unaweka bandiko kama swali kwamba kwanini Kafulila anatajwa sana kumbe unamuongelea kimkakati halafu unapewa support na ID za machawa anaowalipa kumsifia hapa .

Hebu mfanye re-organization hii mbinu yenu imeshafeli labda kwa wajinga.
Nyie CHADEMA akili zenu hizi za kuvukia barabara zitawasumbua sana.

Kafulila hahitaji promo kwa kazi kubwa alizolifanyia Taifa hili,

Nimetoa tahadhari tu kwa chawa wake.
 
Ukiona mtu anatoa povu kiwango cha lami, tambua umepata kisawasawa. Ingekuwa uwongo usinge furusha hayo matusi.

Ukweli unabakia palepale au wewe ni Kafulila au demu wa Kafulila. Eti unadai watu wanamtaja taja?? Wapi huko wanamtaja?? Kama siyo kujifanyia self spinning
expand...
No, Mimi nakushangaa wewe unalazimisha hoja zako hapa

Kafulila kweli ni material sana kwa Taifa najua hili hata wewe utakubaliana na Mimi,

Hoja yangu, Ni Je wenzake wata-react vipi baada ya yeye kuonekana akitajwa tajwa tena na watu asiowafahamu mitandaoni.

Take note, Mimi sio Kafulila

Na kuwa na adabu kwenye mijadala yako
 
By Summary,

Hawa watu wanao mtaja-taja Cde David Kafulila wanatumwa na nani hasa na nia yao ni nini hasa nini kipo nyuma ya hili?

Je, huyu Cde David Kafulila ameshawahi kutangaza nia popote anataka nafasi yoyote ya kisiasa 2030 - JIBU NI HAPANA

Bila kujua au kwa kujua hawa watu wanamuingiza Cde David Kafulila kwenye migogoro isiyoisha na wanasiasa wasaka uRais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,

Hofu yangu ni juu ya hawa watu endapo wanafahamu vizuri nguvu ya hawa wasaka uRais wa nchi hii au huu ni mpango wa TISS?

Nikweli Cde David Kafulila ni miongoni mwa vijana Wazalendo wa Taifa hili Kwa rekodi zake, hili wote tunakubaliana nalo.

Nikweli Cde David Kafulila anauwezo mkubwa wa kisiasa na kiuongozi hasa kuthibiti Rushwa, Ufisadi, Uzembe na Matumizi mabaya ya mali za Umma hili hakuna mwenye hofu juu yake.

Tujiulize, Je, hawa free freelencers wanaomtaja taja Cde David Kafulila wanafahamu gharama za kumtaja taja wakati yeye hana nia hiyo?

Nikweli pengine wanatamani Cde David Kafulila awe kiongozi wao hapo baadae lakini wajue gharama ya mawazo yao inaweza ikamletea shida ndugu yao japo ni haki yao kikatiba.

Nikweli kila Mtanzania ana haki ya kuwa Kiongozi wa nafasi yoyote ile na Kila Mtanzania ana haki ya kutoa mawazo|maoni yake wakati wowote popote tatizo ni Je, wenzake hao watampokeaje kwenye game?


Muwe na Dominica njema.

cc:
johnthebaptist
Pascal Mayalla
FaizaFixy
Jabali la Siasa
Lucas Mwashambwa
ChoiceVariable
Hayo maswali yote mlipaswa kuulizana mkikutana mnapopanga kulishana sumu.
 
Nyie CHADEMA akili zenu hizi za kuvukia barabara zitawasumbua sana.

Kafulila hahitaji promo kwa kazi kubwa alizolifanyia Taifa hili,

Nimetoa tahadhari tu kwa chawa wake.
Peleka ujinga mbali huko.

Sio kila mtu humu ni mjinga hadi mfanye michezo yenu ya kitoto na tusijue.
 
Back
Top Bottom