Je, hawa wanaomtaja taja Kafulila wanatumwa na nani?

Mwanaume Kufuatafuata faragha za watu ni dalili mbaya
Ndiyo upumbavu wenu huo kila kitu kuita faragha. Mambo yanaketwa public ni faragha hiyo. Wateja wanahamishwa vyumba kwenye hoteli ili kupisha watu wa enjoy huku mhusika akizuiliwa counter ni faragha hiyo?
Unataka tabia hizo ziachwe halafu wenye hizo tabia ndiyo wapewe uongozi wa nchi? Ili wahongwe na kuiuza nchi?
Public positions zinanajisiwa ninyi mnaita faragha
 
Nahisi kuna watu wa karibu naye wasiomtakia mema mgombea aliyetajwa kuwa na form moja tu.
 
Wameanza tena kumuhusisha na nafasi ya NW Mambo ya Nje.
 
Hii ni reply yangu ya mwisho kwako.

Mwambieni boss wenu ndio aje afanye mijadala hapa bila hofu si anakubalika ? Na kodi za wananchi si anatumia basi aache kukaa na mask.
 
Na wewe kakutuma umzungumzie Kwa namna hii ya kiujanjaujanja!!?

Tumbili anajulikana Kwa Propaganda!! Nina wasiwasi pengine wewe ndo Kafulila!!

Kwanini unaamua kujitangaza hivyo hususani leo ambapo Kuna mbunge kaachia ngazi!?

Mbaya zaidi ni kwamba mnamchukulia poa sana Samia. Kwamba akisoma tu humu basi anachukua maamuzi. Mbona mnamfanya Rais wetu aonekane ni kiongozi CHEAP kiasi hicho?

Hebu jiheshimuni
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…