Mnatutia doa watanzania kwenye suala la uelewa.........ulichojibu sicho ulichoulizwaHistoria ina tabia ya kujirudia katika matukio kadhaa.Kilicho tokea Libya 2011 ni muendelezo wa kujirejea kwa historia.
Gadaffi alipindua serikali halali ya mfamle Idris wa I mwaka 1969,naye akapinduliwa 2011
Omary Bashir alipindua nchi,Naye alipinduliwa.
Thomas Sankara alipindua nchi,Naye alipinduliwa na Bless compaore,Compaore nae alipinduliwa.
Miltoni Obote alipindua nchi,Naye akaliwa kichwa na Idd Amin .mifano ni mingi sana.
Kaka hujanikuta MMU😁Kuna wana jf mna akili sana.
Kwahio tumekubaliana kwamba uingereza hakuna demokrasia?Mkuu ile ni Constitutional monarchy,sasa unataka mfalme au Malkia wachaguliwe kupitia kura kinyume na utaratibu na katiba yao ?
Na ujerumani napo walipo nusurika mapinduzi hapa juzi nawao kama wapi?Russia [emoji635] nao wenyewe kama Africa tuuuu
Isijekua wewe umeuzidi ujinga wanguIsijekuwa wewe ndio mjinga
Hao wanaochukua bunduki na kuenda sehemu za mikusanyiko ya watu na kuua watu hao wanaitwa Magaidi au Majambazi
Lakini ujinga wa Waafrika au Waarabu wa kuuwana wenyewe Kwa wenyewe kunaleta political problem na economical problem katika hiyo nchi usika Kwa muda mrefu rejea
IRAQ,
LIBYA
SOMALIA
CONGO DRC
RWANDA
SUDANI KUSINI
Ndio umeongea nini yaani maana sijakuelewamaamuz ya walibyia ni jibu tosha kuwa hizo huduma walibyia hawakuzipata bali ni siasa za wafuasi wa libyia ili kupata msaada kutoka mataifa ya kiarab na kubadili taswira ionekane ni vita kati ya west na arabs na sio civil wars , ujio wa ugaidi hapo libyia ukawaktisha tamaa waarab kushiriki maana wangekaribisha vita kwenye nchi zao
Ujerumani si wamenusurika mapinduzi mwaka janatuambie wap kumekuwepo na mapinduz kwa miaka hv karibun
Muhimu wote wanatumia silaha kuuana hili ndio hojatotal war ni tofaut na civil war
Kunawengine walipindua lakn wao hawakupinduliwa mfHistoria ina tabia ya kujirudia katika matukio kadhaa.Kilicho tokea Libya 2011 ni muendelezo wa kujirejea kwa historia.
Gadaffi alipindua serikali halali ya mfamle Idris wa I mwaka 1969,naye akapinduliwa 2011
Omary Bashir alipindua nchi,Naye alipinduliwa.
Thomas Sankara alipindua nchi,Naye alipinduliwa na Bless compaore,Compaore nae alipinduliwa.
Miltoni Obote alipindua nchi,Naye akaliwa kichwa na Idd Amin .mifano ni mingi sana.