Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 48,475
- 70,102
Hiyo ambayo haiweiz hata kupanga kodi, kupeleka au kuzuia majeshi kwenda vitani?Vipi na sirikali ya kifalme kule UK [emoji636]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hiyo ambayo haiweiz hata kupanga kodi, kupeleka au kuzuia majeshi kwenda vitani?Vipi na sirikali ya kifalme kule UK [emoji636]
Hivi familia za waingereza wengine mbona wao cake ya taifa hawaili ni kijifamilia kimoja kimejimilikisha nchi na makoloni yakeHiyo ambayo haiweiz hata kupanga kodi, kupeleka au kuzuia majeshi kwenda vitani?
Kabisa kabisaaaHapo Egpty sababu raisi aliechaguliwa kidemokrasia haendani nao kapinduliwa sasa hivi kuna dictator na hakuna uchaguzi na husikii kelele popote sababu ni dictator wao, hizi porojo za Demokrasia ni pale tu maslahi yao yakiguswa.
Ila inaweza kumuidhinisha waziri MKUU napia nisirikali ya kifalmeHiyo ambayo haiweiz hata kupanga kodi, kupeleka au kuzuia majeshi kwenda vitani?
Bajeti ya misaada ya Uingereza kwa mwaka ni dola bilioni 15, bajeti ya ufalme wao kwa mwaka ni dola million 100.Hivi familia za waingereza wengine mbona wao cake ya taifa hawaili ni kijifamilia kimoja kimejimilikisha nchi na makoloni yake
Kumuidhinisha waziri mkuu chukulia kama vile makamu wa Rais wa Marekani anavyomuidhinisha Rais mpya wa Marekani kila baada ya uchaguzi mkuu.Ila inaweza kumuidhinisha waziri MKUU napia nisirikali ya kifalme
Kwa nini wao tu wapokee hizo pesa familia za waingereza wengine ?Bajeti ya misaada ya Uingereza kwa mwaka ni dola bilioni 15, bajeti ya ufalme wao kwa mwaka ni dola million 100.
Labda kama vile Mwinyi anavyojengewa nyumba na kupewa benzi na serikaliKwa nini wao tu wapokee hizo pesa familia za waingereza wengine ?
Bila kusahau sasa tuna sheria za kuwalipa wenza wa wastaafu pesa ya umma na wakati huo huo watoto wa maskini Wana kaa chini kwenye shule za Elimu bure.Labda kama vile Mwinyi anavyojengewa nyumba na kupewa benzi na serikali
Hujajibu swali acha kuruka ruka kama bisi kijanaLabda kama vile Mwinyi anavyojengewa nyumba na kupewa benzi na serikali
Hamna hoja hapo hao wazee wastaafu wanajulikana waligombania hizo nafasi ama waliteuliwaBila kusahau sasa tuna sheria za kuwalipa wenza wa wastaafu pesa ya umma na wakati huo huo watoto wa maskini Wana kaa chini kwenye shule za Elimu bure.
Usinambie nichukulie anamuidhinishaje kiongozi wa kisiasa wakati hana mamlaka ya kisiasa kama mnavyoaminishwaKumuidhinisha waziri mkuu chukulia kama vile makamu wa Rais wa Marekani anavyomuidhinisha Rais mpya wa Marekani kila baada ya uchaguzi mkuu.
Mkuu ile ni Constitutional monarchy,sasa unataka mfalme au Malkia wachaguliwe kupitia kura kinyume na utaratibu na katiba yao ?Hamna hoja hapo hao wazee wastaafu wanajulikana waligombania hizo nafasi ama waliteuliwa
Familia ya kifalme inapigiwa kura nanai yakua pale inapokua ndio hoja yamsingi au wao pekee ndio wanastahili kule waingereza wengine wote?
Siku zake nae zinahesabika piaRwanda ilikuwa katika mkwamo wa kisiasa na kijamii,kwa jamii kuu mbili ndani ya taifa hilo kupigana wenyewe kwa wenyewe.
Pk alikuja katika kipindi sahihi,shida kubwa iliyupo Rwanda ni ukimbizi.Pia tabia na hurka ya viongozi wa Afrika kupenda madaraka inaitafuna Rwanda hivyo PK kwa sasa ni tishio kwa ustawi wa Rwanda na sio mkombozi tena.
Russia [emoji635] nao wenyewe kama Africa tuuuuHaya turegelee na ulaya napo ufaransa Russia nakwengineko vipi napo historia zinasemaje???
USHAANZA LAWAMA KAMA MWANAMKE WA KIZANZIBAR.......KWANI WALIOMUUA GADAFI WAFARANSA....Hujajibu hoja kwanza kabla ya kuleta hizi dana dana zako
Pia leta ushahidi wa hayo ulokua unayaongea
Tatu kama mnapata kila mnachotaka mnashida gani tena
Walivyokua wanaishi awali na sasa kipi kama ungekua wewe ndio ingekua sawa
Watu kwao mpaka paka amekua kama kuku yaani ukimuona paka yule unamuanzishia umkamate umle
Walichofanya ufaransa na shoga zake kule libya sio chakuungwa mkono ila sababu wanayopitia haya madhila ni waislam basi ndio maana mnaunga mkono sana
Ipo siku nae watamgeuka warusi hao hao.....upo sahii mkuuRussia [emoji635] nao wenyewe kama Africa tuuuu
Na waislamu wwabantu wa darfur wanaouliwa na WARAABU wa janjaweed unaunga mkono???Hujajibu hoja kwanza kabla ya kuleta hizi dana dana zako
Pia leta ushahidi wa hayo ulokua unayaongea
Tatu kama mnapata kila mnachotaka mnashida gani tena
Walivyokua wanaishi awali na sasa kipi kama ungekua wewe ndio ingekua sawa
Watu kwao mpaka paka amekua kama kuku yaani ukimuona paka yule unamuanzishia umkamate umle
Walichofanya ufaransa na shoga zake kule libya sio chakuungwa mkono ila sababu wanayopitia haya madhila ni waislam basi ndio maana mnaunga mkono sana
Huo Sasa si ndio ujinga wa Waafrika aliosema TrupKama unaamini huo ni upuuzi ...vita vya wenyewe kwa wenyewe hata America vimepigana miaka na miaka rudi kusoma historia.
Mara nyingi sababu kubwa ya kuuana Africa na waarabu ni political intervention hao wazungu ndio wameleta hizo taratibu zao za demokrasia ,sijui vyama vying ili kugawa watu .
America wamepigana sana kwa ushamba wao kasome American civil wara.
Vita kubwa kma Somalia , Congo ni ujinga wa mzungu kulazimisha utawala wake wa kijanga wa demokrasia kwa kupandikiza watawala wanaowataka..Huko mashariki ya kati ndio wameharibu kabisa .