Je, haya yalikuwa ya kweli kuhusu Rais Gaddafi na Libya?

Je, haya yalikuwa ya kweli kuhusu Rais Gaddafi na Libya?

Serikali zote za kifalme zipo hivyo na watu wametulia, issue ya Libya ni mapandikizi, Tripoli mji mkubwa wa Libya ulikua na maandamano makubwa sana kumkubali gadafi.

Pia Leo hii mtoto wa Gadaffi anataka kugombania uraisi wa Nchi ila anawekewa vikwazo vya Kila namna, hao wanaojiita Machampion wa Demokrasia wapo radhi Nchi iongozwe kijesgi ama kidikteta lakini hawataki uchaguzi wa haki na raia wachague wanayemtaka.

Kifupi huu Ugomvi hauhusiani na kama raia wanamtaka ama kutomtaka Gadaffi.
Kwanza Libya haikuwa serikali ya kifalme, ilikuwa ni Jamuhuri japo Gaddafi alijigeuza kama mfalme. Pia hata katika hizo nchi za ufalme kamili raia hawajutulia katika hizo serikali za Kifalme kama Saudi Arabia, ni nguvu kubwa tu inayotumika kuwanyamazisha.
 
Kama unaamini huo ni upuuzi ...vita vya wenyewe kwa wenyewe hata America vimepigana miaka na miaka rudi kusoma historia.

Mara nyingi sababu kubwa ya kuuana Africa na waarabu ni political intervention hao wazungu ndio wameleta hizo taratibu zao za demokrasia ,sijui vyama vying ili kugawa watu .

America wamepigana sana kwa ushamba wao kasome American civil wara.

Vita kubwa kma Somalia , Congo ni ujinga wa mzungu kulazimisha utawala wake wa kijanga wa demokrasia kwa kupandikiza watawala wanaowataka..Huko mashariki ya kati ndio wameharibu kabisa .
Kwamba wote hawana akili mpaka wachonganishwe na kwel wapigane?
 
Uchumi wa Libya ni GDP 40 billion usd. Population ya Libya ni 7 million.

Kipindi cha utawala wa Gaddafi tuliambiwa wananchi wa Libya walibudumia Mambo mention bure na serikali ya Gaddafi.

Miongoni mwa huduma za bure ni
a) Nyumba bure
b) Maji bure
c) Umeme bure
d) Shule bure hadi chuo Kikuyu
e) Kuoa bure
f) Posho bure ya dollar 300 kwa mwezi kila m wananchi

Je, hayo Mambo yalikuwa kweli au uzushi tu. Maana uchumi wa Libya sio mkubwa hadi watoe huduma zote hizo bure

Kipindi kile technology ilikuwa chini kwa hiyo ni rahisi kudanganywa

Wenye ulewa mkubwa kuhusu Libya ya Gaddafi tuelimisheni. Sitaki story za vijiweni
Haya, fanya editing maandiko yako.

Halafu tueleze bini jilichopo sasa hivi ambacho kinakufanya usidanganyike kilikuwa hakipo wakati wa Ghaddafi?
 
Hujajibu hoja kwanza kabla ya kuleta hizi dana dana zako
Pia leta ushahidi wa hayo ulokua unayaongea
Tatu kama mnapata kila mnachotaka mnashida gani tena
Walivyokua wanaishi awali na sasa kipi kama ungekua wewe ndio ingekua sawa
Watu kwao mpaka paka amekua kama kuku yaani ukimuona paka yule unamuanzishia umkamate umle
Walichofanya ufaransa na shoga zake kule libya sio chakuungwa mkono ila sababu wanayopitia haya madhila ni waislam basi ndio maana mnaunga mkono sana
Mbn comments zako zimekaa kama muathirika wa utumwa fulani hivi kuliko uislam wenyewe.
 
Gadaffi alilewa madaraka wala hakusoma alama za nyakati,akili zake aliona ziko juu ya walibya wote kitu ambacho kilidhihirisha udhaifu wake.Tatizo la hawa madikteta namna yao ya utawala hujenga chuki ya muda mrefu kwa watawaliwa matokeo yake ni kung'ang'ania madaraka wakihofia retaliation.
 
Kuwa na mitazamo tofauti ndio tatizo
Katika uhalisia kutofautiana mitazamo ndo ukomavu wa kifikra!

Serikali nyingi hasa za kiarabu na kiafrica huwa wana tabia ya kutengeneza adui bandia na kila wanapofanya udhaifu bas haraka sana huaminisha tabaka tawaliwa kwamba sababu ni flan mfano rahis wakati wa Magufuli Kuna namna anko magu alizingua kwenye mikataba tuliyoingia na mataifa mbali mbali akaivunja bila kufata utaratibu baadae ndege zilivokua zinakamatwa ili tulipe fidia tukaambiwa shida ni "ubeberu" "MABEBERU" "hujuma za MABEBERU"

Pia mataifa ya kiarabu unakuta Wana tawala za mda mrefu zinazofuata sheria za zamani zinazowabana raia, sheria kandamizi kwa wanawake na yenye Kila aina ya madhila lkn wananchi wanapotaka reformation watawala husingizia "marekani na washirika wake"
 
Tukiacha UFISADI na tukaweka UZARENDO
inawezekana kabisa

MAGUFURI alianzia kwenye UMEME akaweka elf27 kuunganisha umeme na iliwezakana na SHIRIKA lilikuwa limeanza kufanya kazi Kwa uweredi na alikuwa anasubiri bwawa lipone GHARAMA za umeme zingeshuka BEI zaidi

Walivyokuja MAFISADI wakapandisha mpk laki 3 na ushee then wakauleta MGAO wa KIHISTORIA

kam mwigulu umesikia huko kalamba 1.3 trn
Unadhani SERIKALI ingekuwa ya kizarendo ingeshindwa kuwajengea Nyumba wazee tu VIJIJINI wasiojiweza kajumba tu cha milioni 10 simple katika hayo matilioni walioiba huko SGR wangewajengekea wazee wangapi

Ndo maana nitakuambia vyote vinawezeka ikiwa UZARENDO
Na ww acha uongo magufuri hajaanzisha umeme wa 27,000 hiyo 27000 ni mradi wa umeme wa REA ulio buniwa na kikwete kwa ufadhiri wa serikali ya Denmark na mpaka magufuri anaingia madarakani zaidi ya vijiji 5000 vilikuwa vimeunganishwa na umeme kwa bei hiyo na vifaa vyote vya mradi huo vilikuwa vimesha lipwa acha kumpa sifa zisizo zake.

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Kwanza Libya haikuwa serikali ya kifalme, ilikuwa ni Jamuhuri japo Gaddafi alijigeuza kama mfalme. Pia hata katika hizo nchi za ufalme kamili raia hawajutulia katika hizo serikali za Kifalme kama Saudi Arabia, ni nguvu kubwa tu inayotumika kuwanyamazisha.
Vipi na sirikali ya kifalme kule UK [emoji636]
 
Gadaffi alilewa madaraka wala hakusoma alama za nyakati,akili zake aliona ziko juu ya walibya wote kitu ambacho kilidhihirisha udhaifu wake.Tatizo la hawa madikteta namna yao ya utawala hujenga chuki ya muda mrefu kwa watawaliwa matokeo yake ni kung'ang'ania madaraka wakihofia retaliation.
Kama kulewa madaraka hata ukoo wa mfalme Charles nao umelewa madaraka pia musisahau
 
Style ya maisha ya watoto wa viongozi huwa inachochea chuki kwa watawaliwa hata kama unawapa watawaliwa kila kitu. Sitaki kuongelea kama ni kweli serikali ya Gadafi ilitoa huduma zote hizo bure. Ila itoshe kusema tu air Libya ilikuwa inachana mawingu mda wowote/ siku yoyote ikiwa na watoto/mtoto wa Gadafi kwenda Ulaya( Italy na France) na mamilion ya dollars kwenda kucheza kamari na kufanya kila aina ya starehe. N.B ndege ya umma na rubani analipwa na serikali ya Libya
Propaganda..waandamanaji gani wanajua kupigana Vita kwa kutumia silaha nzito!?..haitoshi,rais wa ufaransa akatuma majasusi maalum kumuua Gaddafi, mwamba alikua anaelekea kukata mirija ya wazungu hasa ufaransa,wakaona wamuwahishe,lakini muhuni Putin Leo kaingia kati
 
Uchumi wa Libya ni GDP 40 billion usd. Population ya Libya ni 7 million.

Kipindi cha utawala wa Gaddafi tuliambiwa wananchi wa Libya walibudumia Mambo mention bure na serikali ya Gaddafi.

Miongoni mwa huduma za bure ni
a) Nyumba bure
b) Maji bure
c) Umeme bure
d) Shule bure hadi chuo Kikuyu
e) Kuoa bure
f) Posho bure ya dollar 300 kwa mwezi kila m wananchi

Je, hayo Mambo yalikuwa kweli au uzushi tu. Maana uchumi wa Libya sio mkubwa hadi watoe huduma zote hizo bure

Kipindi kile technology ilikuwa chini kwa hiyo ni rahisi kudanganywa

Wenye ulewa mkubwa kuhusu Libya ya Gaddafi tuelimisheni. Sitaki story za vijiweni
Ila vile walivyomfanya haikuwa poa kabisa.
Wangemkamata tu. Kile kitendo cha kumkamata, wakampiga, wakamlawiti na baadaye kumuingiza vijiti haikuwa poa kabisa.
Ila nimesoma mahala kuwa ushahidi upo tayari kuna watu watachukuliwa hatua kwa kitendo cha kumlawiti mateka na kumuua kitu amnacho ni kinyume na sheria za kimataifa kuhusiana na mateka wa kivita.
 
Kwanza Libya haikuwa serikali ya kifalme, ilikuwa ni Jamuhuri japo Gaddafi alijigeuza kama mfalme. Pia hata katika hizo nchi za ufalme kamili raia hawajutulia katika hizo serikali za Kifalme kama Saudi Arabia, ni nguvu kubwa tu inayotumika kuwanyamazisha.
Si kweli, Mimi nazifahamu vizuri Nchi za Gulf, karibia nusu ya ukoo wangu upo huko, they adore their leaders vibaya mno, sometime mpaka inaboa, cricism za viongozi wa Gulf siku zote zipo kwenye sera za kimataifa ila relationship baina ya raia na viongozi ipo vizuri.

Ukitaka kujua hilo angalia Arab spring wakati ule Egpty, Algeria, Tunisia, walimwagika mitaani, ila Nchi za Gulf maandamano kidogo na hayo kidogo lengo halikua kuwatoa viongozi madarakani Bali kudai mambo mengine.

Na ufalme, Sultan, Amir, fuhrer, prince etc hayo ni maneno tu, mfumo aliotumia Gadaffi ndo huo huo nchi nyengine za Gulf walitumia.
 
Ila vile walivyomfanya haikuwa poa kabisa.
Wangemkamata tu. Kile kitendo cha kumkamata, wakampiga, wakamlawiti na baadaye kumuingiza vijiti haikuwa poa kabisa.
Ila nimesoma mahala kuwa ushahidi upo tayari kuna watu watachukuliwa hatua kwa kitendo cha kumlawiti mateka na kumuua kitu amnacho ni kinyume na sheria za kimataifa kuhusiana na mateka wa kivita.
Wale walikua majasusi wa ufaransa, Gaddafi alikua na mafaili yao mengi ikiwemo kuwafadhili pesa za kampeni nk
 
Wazungu wote sio wanademokrasia kama wanavyo jihubiri

Wazungu ni wanafiq na maslahi binafsi pekee

Ukiwa Mfalme ukaenda na maslahi yao basi wataenda nawe vyema kabisa pitia jordan misri uae qatar bahrain nk

Ukiwa na demokrasia halaf ukawa huendani nao watakuita tu kama huna demokrasia ya kweli pitia iran Russia nk
Hapo Egpty sababu raisi aliechaguliwa kidemokrasia haendani nao kapinduliwa sasa hivi kuna dictator na hakuna uchaguzi na husikii kelele popote sababu ni dictator wao, hizi porojo za Demokrasia ni pale tu maslahi yao yakiguswa.
 
Wanasema aliwakosea kwa kupinga Petrodollar system na Central Bank kwa kupendekeza Gold backed Dinar iwe ndio pesa ya Afrika......Hii ilionwa kuwa Ni chalenji Kubwa kwao hasa kuzuia biashara yao ya Mafuta kuuzwa na kununuliwa kwa Dollar.... Yaani Currency isiyo na Deni kuireplace au kupindua Benk za magharibi katika ardhi ya Afrika.

Us Gov na mshirika wake France ( Jeshi ) wakaamua kuiharibu Libya kwa kigezo Cha ugaidi Usio na sura Wala jina.
#Propaganda Project.
 
Back
Top Bottom