Je, haya yalikuwa ya kweli kuhusu Rais Gaddafi na Libya?

Je, haya yalikuwa ya kweli kuhusu Rais Gaddafi na Libya?

Historia ina tabia ya kujirudia katika matukio kadhaa.Kilicho tokea Libya 2011 ni muendelezo wa kujirejea kwa historia.

Gadaffi alipindua serikali halali ya mfamle Idris wa I mwaka 1969,naye akapinduliwa 2011

Omary Bashir alipindua nchi,Naye alipinduliwa.

Thomas Sankara alipindua nchi,Naye alipinduliwa na Bless compaore,Compaore nae alipinduliwa.

Miltoni Obote alipindua nchi,Naye akaliwa kichwa na Idd Amin .mifano ni mingi sana.
Mnatutia doa watanzania kwenye suala la uelewa.........ulichojibu sicho ulichoulizwa
 
Mkuu ile ni Constitutional monarchy,sasa unataka mfalme au Malkia wachaguliwe kupitia kura kinyume na utaratibu na katiba yao ?
Kwahio tumekubaliana kwamba uingereza hakuna demokrasia?

Maana hawa hawa ndio wanaompigia kelele Khamenei wa iran kua hachaguliwi kwa kura

Sasa je malkia anachaguliwa kwa kura kama wanavyoshinikiza kwa wenzao?


Hoja yangu nikwamba kama wao wana katiba na utaratibu wao hata china iran korea nk wana utaratibu wao na katiba zao wanatakiwa waziheshimu pia
 
Isijekuwa wewe ndio mjinga

Hao wanaochukua bunduki na kuenda sehemu za mikusanyiko ya watu na kuua watu hao wanaitwa Magaidi au Majambazi

Lakini ujinga wa Waafrika au Waarabu wa kuuwana wenyewe Kwa wenyewe kunaleta political problem na economical problem katika hiyo nchi usika Kwa muda mrefu rejea

IRAQ,
LIBYA
SOMALIA
CONGO DRC
RWANDA
SUDANI KUSINI
Isijekua wewe umeuzidi ujinga wangu

Mtoa mada hajatoa maelekezo kama hayo unayosema wewe wewe umempa tu kama ziada

Ila hata kama umempa ziada basi bado hoja zako hazina mantiki

Kwamaana Myanmar sio waarabu wala waafrika ila wanauana muda mrefu sana tuuuu

Philippines napo kuna watu wanauana mpaka leo

Mexico pia kuna watu wanauana mpaka leo hiii

Hayo mataifa nlokutajia watu wanauana kwa bastola kila leo nahao ni wachache wapo wengine tele

Hao nlokutajia naomba unijuze ni waarabu wawapi ama waafrika wa sehemu gani?
 
maamuz ya walibyia ni jibu tosha kuwa hizo huduma walibyia hawakuzipata bali ni siasa za wafuasi wa libyia ili kupata msaada kutoka mataifa ya kiarab na kubadili taswira ionekane ni vita kati ya west na arabs na sio civil wars , ujio wa ugaidi hapo libyia ukawaktisha tamaa waarab kushiriki maana wangekaribisha vita kwenye nchi zao
Ndio umeongea nini yaani maana sijakuelewa
 
Historia ina tabia ya kujirudia katika matukio kadhaa.Kilicho tokea Libya 2011 ni muendelezo wa kujirejea kwa historia.

Gadaffi alipindua serikali halali ya mfamle Idris wa I mwaka 1969,naye akapinduliwa 2011

Omary Bashir alipindua nchi,Naye alipinduliwa.

Thomas Sankara alipindua nchi,Naye alipinduliwa na Bless compaore,Compaore nae alipinduliwa.

Miltoni Obote alipindua nchi,Naye akaliwa kichwa na Idd Amin .mifano ni mingi sana.
Kunawengine walipindua lakn wao hawakupinduliwa mf
Meles Zenawi
Jerry Lawlings
Fidel Castro
 
Back
Top Bottom