Shida one man show badala ya mfumoPamoja na madhaifu yake meeeengi....
Lakini alileta nidhamu na uwajibikaji.
Pia wezi na mafisadi walimuogopa kwasababu alizijua njia zao kwakua aliishi kwenye mfumo tangu wakati wa BM.
Alikua na uchungu na rasilimali za taifa pia alikua alikua na maono yake kwa taifa.
Aliwapenda wanyonge na nakupenda masikini aonewe.
Alisimamia kile alicho kiamini hata kama alikua anaumiza wengine, lakini alisisitiza msimamo wake.
Nchi yetu imejengwa kwenye msingi huu, ndio maana ina mwenge, na taifa linatumia mabilioni kufanya ibada za mwenge. Tunaamini mwenge unaleta amani na tumaini. Ila mwaka 1978 hatukuupeleka mwenge frontline tulipeleka vijana wetu wakafeMoja ya chanzo cha umasikini ni kuamini huu upuuzi wa ushirikina.
Kasema kanda ya ziwa, wewe mambo ya wasukuma umeyatoa wapi? Kanda ya ziwa kuna wasukuma peke yao?Wasukuma bwana, mnapenda kujionesha ni wababe [emoji23][emoji23][emoji23]
Hizi imani za kijinga ni moja ya sababu kubwa watu wengi wa Tanzania bado wanaogelea kwenye lindi la umasikini.
Unajuaje sijasoma?
Samahani (sorry) kama umesoma humo ndani Kuna utilio mwingi ....Unajuaje sijasoma?
Tanirodi au sioNilipokuwa nafanya kazi TANROADS kuna uzembe fulani ulifanyika ofisini. Mkurugenzi wa idara pamoja na mimi tulipigiwa simu twende ofisini kwake. Yule m'baba hakuwa wa kawaida aisee
Mum Mumumo TataTanirodi au sio
Tunafundishwa hapa hapa JFLazima uwe mchawi ili umjue mchawi mwenzio.
Magufuli alikuwa ni mtawala anayeogopwa sana. Ukiitwa ofisini kwake unapatwa na ubaridi yabisi hadi kwenye mifupa.
Watu wote tulimuogopa sana. Nchi nzima hakuna aliyeweza kumnyooshea kidole.
Wataalam wa mambo yasiyoonekana wanasema ili uweze kuwa na kaliba ile ni lazima uwe na hirizi ya Simba. Je, Rais wetu alikuwa na hiyo hirizi?
ChinjachinjaHivi ni nani kati yenu asiemuogopa mwehu mrusha mawe?
DuhAlikuwa na hirizi ya fisi ndio maana alikuwa na tamaa sana na aliwaibia watu pesa zao kuanzia yale maduka ya kubadilisha pesa mpaka bank
Magu alikuwa kiboko ya wapumbavu, wajinga, wazembe, wezi na mataahira yote aina ya Rostam.Ukiona mtu anajitangaza tangaza sana kwamba yeye ni mtu wa Mungu, huku akiwa hajali utu wa mtu, wala maisha ya watu, anaongea uwongo hadi madhabahuni, huyo mtu lazima awe mchawi.
Yeye niliyemjibu ni msukuma. Ndio nimetolea hapoKasema kanda ya ziwa, wewe mambo ya wasukuma umeyatoa wapi? Kanda ya ziwa kuna wasukuma peke yao?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Acha bwana!Wengine walitumia mikia ya wanyama kabla ya kuanza kuhutubia waliipunga hewani wakasema Nyayo harambee... wote kimya mnapigwa baridii hakuna mwenye wazi la kumpinga hata mmoja.
Well saidPamoja na madhaifu yake meeeengi....
Lakini alileta nidhamu na uwajibikaji.
Pia wezi na mafisadi walimuogopa kwasababu alizijua njia zao kwakua aliishi kwenye mfumo tangu wakati wa BM.
Alikua na uchungu na rasilimali za taifa pia alikua alikua na maono yake kwa taifa.
Aliwapenda wanyonge na nakupenda masikini aonewe.
Alisimamia kile alicho kiamini hata kama alikua anaumiza wengine, lakini alisisitiza msimamo wake.
Uliona nadhani masiku ya kusimikwa mfalme wa sasa wa uingereza namna matambiko yalivokuwa yanafanyika.Huwezi ukawa mtawala usiwe mshirikina,thus tangu kuumbwa kwa dunia hakuna mtawala yeyeto Duniani aliyefaulu kuingia mbinguni.
Huwezi tenganisha utawala na kafara ya damu za watu Kama shukrani kwa shetani ili kulinda utawala.
Sahihi kabisaSijui kuhusu swala la yeye kuvaa hirizi ila katika nchi hizi za KiAfrica ni ngumu sana kiongozi kwenye nyadhifa yoyote ya maana kujitanganisha na ushirikina.
Kanuni ni moja tu, wewe uliyepo kwenye hiyo nyadhifa usipokuwa mtu wa ndumba basi wanaokuzunguka watazitumia dhidi yako, kwasababu hapo ulipo hata wenzako wanapataka vilevile.
Maofisini mambo sio lelemama, na wanaotaka kuaminisha watu hapa kuwa mambo ni simple basi ni either wanaficha au ni waropokaji ambao hawajawahi kuwepo kwenye nyadhifa.