Je, Hayati Magufuli alikuwa na hirizi ya simba?

Shida one man show badala ya mfumo
 
Moja ya chanzo cha umasikini ni kuamini huu upuuzi wa ushirikina.
Nchi yetu imejengwa kwenye msingi huu, ndio maana ina mwenge, na taifa linatumia mabilioni kufanya ibada za mwenge. Tunaamini mwenge unaleta amani na tumaini. Ila mwaka 1978 hatukuupeleka mwenge frontline tulipeleka vijana wetu wakafe
 


Alikuwa na hirizi ya fisi ndio maana alikuwa na tamaa sana na aliwaibia watu pesa zao kuanzia yale maduka ya kubadilisha pesa mpaka bank
 
Ukiona mtu anajitangaza tangaza sana kwamba yeye ni mtu wa Mungu, huku akiwa hajali utu wa mtu, wala maisha ya watu, anaongea uwongo hadi madhabahuni, huyo mtu lazima awe mchawi.
Magu alikuwa kiboko ya wapumbavu, wajinga, wazembe, wezi na mataahira yote aina ya Rostam.

Hungeweza kuona bandari inauzwa kwa wajomba kisha kina Rostam wanatokea kutetea katika awamu yake
 
Wengine walitumia mikia ya wanyama kabla ya kuanza kuhutubia waliipunga hewani wakasema Nyayo harambee... wote kimya mnapigwa baridii hakuna mwenye wazi la kumpinga hata mmoja.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Acha bwana!
 
Well said
 
Huwezi ukawa mtawala usiwe mshirikina,thus tangu kuumbwa kwa dunia hakuna mtawala yeyeto Duniani aliyefaulu kuingia mbinguni.
Huwezi tenganisha utawala na kafara ya damu za watu Kama shukrani kwa shetani ili kulinda utawala.
Uliona nadhani masiku ya kusimikwa mfalme wa sasa wa uingereza namna matambiko yalivokuwa yanafanyika.
Huku kwetu yakifanyika mnasema ushirikina kwa wazungu mnasema Ni jadi yao.
 
Sahihi kabisa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…