Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tatizo kumbe ni "uzembe Fulani" Wala siyo mbaba wa watuNilipokuwa nafanya kazi TANROADS kuna uzembe fulani ulifanyika ofisini. Mkurugenzi wa idara pamoja na mimi tulipigiwa simu twende ofisini kwake. Yule m'baba hakuwa wa kawaida aisee
Pengine alipenda 'mbaba' wa watu akifika amchekee chekee mdada wa TANROADSTatizo kumbe ni "uzembe Fulani" Wala siyo mbaba wa watu
Kwa hii KATIBA tuliyo nayo inampa mamlaka makubwa sana Rais wetu na AKITOKA MUNGU ANAFUATIA RAISI WA NCHI.......Magufuli alikuwa ni mtawala anayeogopwa sana. Ukiitwa ofisini kwake unapatwa na ubaridi yabisi hadi kwenye mifupa.
Watu wote tulimuogopa sana. Nchi nzima hakuna aliyeweza kumnyooshea kidole.
Wataalam wa mambo yasiyo onekana wanasema ili uweze kuwa na kaliba ile ni lazima uwe na hirizi ya Simba. Je rais wetu alikuwa na hiyo hirizi?
Watumishi wa uma wengi wana karba ya uzembe, ubadhirifu, rushwa na wizi. Hivi vitu ndivyo vilikuwa maadui wa Magu.Magufuli alikuwa ni mtawala anayeogopwa sana. Ukiitwa ofisini kwake unapatwa na ubaridi yabisi hadi kwenye mifupa.
Watu wote tulimuogopa sana. Nchi nzima hakuna aliyeweza kumnyooshea kidole.
Wataalam wa mambo yasiyo onekana wanasema ili uweze kuwa na kaliba ile ni lazima uwe na hirizi ya Simba. Je rais wetu alikuwa na hiyo hirizi?
Tembea ujionee Kwa watu wa lake zone tunaelewa ilizi ya Simba ๐ฆ Kuna mwalimu mmoja alikua nayo aliogopeka mpaka na WALIMU wenzake....Moja ya chanzo cha umasikini ni kuamini huu upuuzi wa ushirikina.
Kumbe mlikuwa wazembe, kwa hilo sioni kosa la Magufuli, kwa hili kwangu alikuwa jasiri muongoza njia, leo tunatolewa sadaka na Tanganyika yetu kwasababu ya uzembe wa kutosoma mikataba.Nilipokuwa nafanya kazi TANROADS kuna uzembe fulani ulifanyika ofisini. Mkurugenzi wa idara pamoja na mimi tulipigiwa simu twende ofisini kwake. Yule m'baba hakuwa wa kawaida aisee
Kwakua mlishajiaminisha kua huyu mwalimu sijui ana hirizi ya Simba hivyo inabidi tumuogope,kwani usipomuogopa atabadilika na kua Simba kisha atawala?Tembea ujionee Kwa watu wa lake zone tunaelewa ilizi ya Simba ๐ฆ Kuna mwalimu mmoja alikua nayo aliogopeka mpaka na WALIMU wenzake....
Hata mkiwa mna mjadili na akitokea inakua NANI AMFUNGE PAKA KENGELE ๐๐๐
Ushirikina upo mkuu japo CIVILIZATION ZA WAZUNGU NA SERIKALI HAIAMINI UCHAWI.....
Cc. Kiranga
Upigaji Bandarini itakua ni historia,tafuta kibarua kwingine usije ukachelewa.Kumbe mlikuwa wazembe, kwa hilo sioni kosa la Magufuli, kwa hili kwangu alikuwa jasiri muongoza njia, leo tunatolewa sadaka na Tanganyika yetu kwasababu ya uzembe wa kutosoma mikataba.
Wazee wengi wa kisukuma wa kizamani huendesha familia zao kikoloni so haishangazi kuona tabia Ile alio kua nayo ๐๐Nilipokuwa nafanya kazi TANROADS kuna uzembe fulani ulifanyika ofisini. Mkurugenzi wa idara pamoja na mimi tulipigiwa simu twende ofisini kwake. Yule m'baba hakuwa wa kawaida aisee
Huwezi tenganisha utawala na ushirikina Africa
Bare in mind ushirikina is real ukitaka evedence nakuwekea hapa ๐Kwakua mlishajiaminisha kua huyu mwalimu sijui ana hirizi ya Simba hivyo inabidi tumuogope,kwani usipomuogopa atabadilika na kua Simba kisha atawala?
Weka hiyo evidence yako hapa.Bare in mind ushirikina is real ukitaka evedence nakuwekea hapa ๐
SawaWeka hiyo evidence yako hapa.
hiyo ni asili ya mtu na msimamo wa mtu. ni kweli najua kuna watu huwa wanakula hiyo hirizi, ila kuna wengine kama mimi, nimeumbwa hivyo, kutawala. hata nikienda kwa mkubwa namna gani huwa nikifika tu namtawala, naona kabisa ananiogopa, nina kautisho fulani hivi na sina hirizi ya simba wala uchafu wowote.Magufuli alikuwa ni mtawala anayeogopwa sana. Ukiitwa ofisini kwake unapatwa na ubaridi yabisi hadi kwenye mifupa.
Watu wote tulimuogopa sana. Nchi nzima hakuna aliyeweza kumnyooshea kidole.
Wataalam wa mambo yasiyo onekana wanasema ili uweze kuwa na kaliba ile ni lazima uwe na hirizi ya Simba. Je rais wetu alikuwa na hiyo hirizi?