Huyu mama hata wanawake wenzie wanavyomsifia unaona kabisa ya usoni tu.Kwani unadhani maza watu wanamkubali au wanataka madaraka pekee?
Ndiyo wakati Wasukuma wameingia kwa pupa kwenye sekta nyeti kuliko wakati wowote ule.Magufuli alikuwa tofauti na hao wote...Magufuli alipenda sana lakini pia alichukia sana.
Magufuli alikuwa mkali sana lakini pia alipenda utani sana.
Alikuwa na misimamo isiyotetereka..kwake yeye rafiki ni yule aliyependa kufanya kazi na kutanguliza mbele maslahi ya nchi..kinyume na hapo hata ungekuwa mtoto wake angekutengua tu kiuno tena bila unafiki, waziwazi.
Aliamini katika kuweza na kujiamini..alikuwa mtu mwenye uthubutu bila kujali watu wanasemaje au watamuonaje lakini ukijichanganya ukaingia kwenye kumi na nane zake anakutandika haswa..hapa anakuwa totally animal.
Sent from my SM-A225F using JamiiForums mobile app
Lipi hilo?Magufuli alikuwa mcha mungu siyo like jinamizi la kuua ovyo ovyo na kufoka foka bila pango
wanamfurahisha lakini hawapo pamoja naye, ni hawa akina Lucas Mwashambwa na Johnthebatist n.kHuyu mama hata wanawake wenzie wanavyomsifia unaona kabisa ya usoni tu.
Wanawake wenzie wanakuambia mama samia hoyee.. wakati nyumbani maji hayatoki, sukari hamna, umeme hakuna, vyakula havishikiki si vitunguu wala nyanya. Na hapa muathirika wa kwanza ni mwanamke mwenyewe.
Sent from my SM-A225F using JamiiForums mobile app
HaahaaMkapa aliku gangstar flan hv wakati machawa ni watu mchele hawawezi ku hang na G
Kanda ya Ziwa hàwana Ukabila kama ile jamii ya akina Mbowe,Lema,Mnyika nk KANDA ya ziwa wanamchagua mtu kwà sifa zake na si kwà kabila lake niko Chato kwenye kumbukizi ya Shujaa MAGUFULI RIP MagufuliMagu ni ajili ya kura za kanda ya ziwa maana kifo chake ni cha ghafla sn mkuu, pia ukabila ujue lile ni kabila kubwa sn lazima uendelee kulibebabeba, 2015 angekuwa Membe kura za kanda ya ziwa zote zingeenda kwa Lowasa na kusingekuwa na namna ya kumshinda Lowasa hata kuiba ingekuwa ni aibu lakini kupitia Magu upepo uligeuka sn, Makonda na Dotto wapo pale kusaka kura za kanda ya Ziwa wala maza hawakubali hata kidogo. Asante
Ikulu ilijaa kabila mojaKanda ya Ziwa hàwana Ukabila kama ile jamii ya akina Mbowe,Lema,Mnyika nk KANDA ya ziwa wanamchagua mtu kwà sifa zake na si kwà kabila lake niko Chato kwenye kumbukizi ya Shujaa MAGUFULI RIP Magufuli
Sgang acha uongo tumeshuhudia miaka mitano iliyopitaKanda ya Ziwa hàwana Ukabila kama ile jamii ya akina Mbowe,Lema,Mnyika nk KANDA ya ziwa wanamchagua mtu kwà sifa zake na si kwà kabila lake niko Chato kwenye kumbukizi ya Shujaa MAGUFULI RIP Magufuli
Ameshasahaulika !Ndio maana tunawashauri viongozi wa Nchi yetu wajikite kutimiza malengo na uzalendo kwa Taifa lao waachane na vipaumbele vya vyama vyao.
Chawa huwa wanakuzunguka na kukupigia makofi pale tu unapokuwa Madarakani.
Ukiondoka wanakutupa wanahamia kwa mwingine mwenye uwezo wa kuwapa vyeo, fursa na favor mbali mbali.
Hayati Benajamin Mkapa Rais wa Awamu ya Tatu sioni watu wakikumbuka siku yake ya kuaga dunia.
Ndio kusema yeye hakuwa na kundi la chawa wake?
Je, tarehe yake ya maombolezo ni lini?
Hata Chama nacho kinapotezea mtu muhimu kwao?
HahaaaAmeshasahaulika !
Kinachofanya mtu akumbukwe ni legacy yake sio habari ya Chawa wala kunguni ! 🙏
Hujui maana ya miradi tukufundishe? Mkapa hakuwa na miradi? Kikwete hakuwa nayo? Nyerere hakuwa nayo?Unakumbukwa kupitia miradi yako
Mlala kwangu mimi alikuwa raisi bora kabisa ambaye aliijeshimisha ikulu na nchi kwa ujumla.hakuwa na uchawa wala hata akina Mondi walikuwa hawagusi ikulu.yeye alipigiwa kampeni JKN tu basi.uchawa umeanza awamu ya tano na hii ya sita ila ya tano pamoja na kuwa na chawa ilikuwa haitabiliki.umaweza kuwa chawa na ukatumbuliwa.Ndio maana tunawashauri viongozi wa Nchi yetu wajikite kutimiza malengo na uzalendo kwa Taifa lao waachane na vipaumbele vya vyama vyao.
Chawa huwa wanakuzunguka na kukupigia makofi pale tu unapokuwa Madarakani. Ukiondoka wanakutupa wanahamia kwa mwingine mwenye uwezo wa kuwapa vyeo, fursa na favor mbali mbali.
Hayati Benjamin Mkapa Rais wa Awamu ya Tatu sioni watu wakikumbuka siku yake ya kuaga dunia. Ndio kusema yeye hakuwa na kundi la chawa wake?
Je, tarehe yake ya maombolezo ni lini? Hata Chama nacho kinapotezea mtu muhimu kwao?
Ndoa ujue watz ni wanafiki hasa hawa wa kijani mpaka wanakera sana wananchi.mama kajaza machawa subiri muda ukifika atajua chawa si watuYaani aisee.....people ziko kimaslahi sana.
Jamaa aliwapa favour sana watu wakateuliwa ubalozi, ukurugenzi, uwaziri, ubunge, umakamu n.k lakini woote wamemtupa
jamaa kwenye kampeni akawaita wapinzani malofa hahahahaha yule jamaa bhana alikuwa mbabe mbabe kama magunadhani watu hawamjui mkapa vizuri.
Yule baba hakuwahi kuoeleka na hakupenda watu wa kujipendekeza.
Alikuwa mtu seruous sana
Hahahaaa.......wajifunze waache kujali Machawa badala yake maslahi ya Taifa tu.Ndoa ujue watz ni wanafiki hasa hawa wa kijani mpaka wanakera sana wananchi.mama kajaza machawa subiri muda ukifika atajua chawa si watu