Je, hi Taarifa kuwa Mtume Mwamposa 'Kaondolewa' Kawe na sasa anahamia Mbezi Beach Kona Baa ni za kweli?

Je, hi Taarifa kuwa Mtume Mwamposa 'Kaondolewa' Kawe na sasa anahamia Mbezi Beach Kona Baa ni za kweli?

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
"Mtume Mwamposa amepewa hadi Jamamosi ( 8 Oktoba, 2022 ) awe ameshaondoka Tanganyika Packers Kawe na sasa atahamia rasmi Mbezi Beach Kona Baa njia ya zamani ya kwenda Goba ambako amenunua Eneo Kubwa sana kwa Juu kwa thamani ya Shilingi Bilioni 3.5 za Kitanzania" amesema Mkazi Jirani na Eneo husika.

Je, kuna mwana JamiiForums yoyote mwenye Taarifa sahihi juu ya hii kwani nilimbishia Mhusika aliyenipa Taarifa hii kutokana na kuwa na PhD ya Ubishi, ila akanihakikishia kuwa Mtume Mwamposa anahamia hapo rasmi.
 
"Mtume Mwamposa amepewa hadi Jamamosi ( 8 Oktoba, 2022 ) awe ameshaondoka Tanganyika Packers Kawe na sasa atahamia rasmi Mbezi Beach Kona Baa njia ya zamani ya kwenda Goba ambako amenunua Eneo Kubwa sana kwa Juu kwa thamani ya Shilingi Bilioni 3.5 za Kitanzania" amesema Mkazi Jirani na Eneo husika.

Je, kuna mwana JamiiForums yoyote mwenye Taarifa sahihi juu ya hii kwani nilimbishia Mhusika aliyenipa Taarifa hii kutokana na kuwa na PhD ya Ubishi, ila akanihakikishia kuwa Mtume Mwamposa anahamia hapo rasmi.
Pale Tanganyika packers Serikali imelichukuwa eneo lake inaanzisha mradi wa Nyumba za Bei nafuu
 
Pale Tanganyika packers Serikali imelichukuwa eneo lake inaanzisha mradi wa Nyumba za Bei nafuu
Inasikitisha waalimu wa shule za misingi/sekondary wanaishi kama enzi za uwindaji, leo hii badala ya kuwaboreshea mazingira wanaenda kutumia hela miradi ambayo haina tija kwa nchi
 
"Mtume Mwamposa amepewa hadi Jamamosi ( 8 Oktoba, 2022 ) awe ameshaondoka Tanganyika Packers Kawe na sasa atahamia rasmi Mbezi Beach Kona Baa njia ya zamani ya kwenda Goba ambako amenunua Eneo Kubwa sana kwa Juu kwa thamani ya Shilingi Bilioni 3.5 za Kitanzania" amesema Mkazi Jirani na Eneo husika.

Je, kuna mwana JamiiForums yoyote mwenye Taarifa sahihi juu ya hii kwani nilimbishia Mhusika aliyenipa Taarifa hii kutokana na kuwa na PhD ya Ubishi, ila akanihakikishia kuwa Mtume Mwamposa anahamia hapo rasmi.
Nakubishia mpaka utakapoweka picha
 
Inasikitisha waalimu wa shule za misingi/sekondary wanaishi kama enzi za uwindaji, leo hii badala ya kuwaboreshea mazingira wanaenda kutumia hela miradi ambayo haina tija kwa nchi
Walimu wa Tanzania Awana umoja! Madudu wanayofanyiwa na Chama Chao na Serikali Akuna Mwalimu wa Kenya au South Africa angekubali. Angalia ata Benki yao Mwalimu Bank aina faida Kwa Walimu wa Tanzania😭.Haki yako aiombwi, Haki yako unaidai na kuipambania Freedom is not Free.Tatizo CWT ni tawi la CCM so pole yao
 
Tulia Hapa Hapa Ukweli Utajulikana
Wakanyaga Mafuta Na Maji JF Wapo
Ndiyo nawasubiria waje ama Wakane au Wanithibitishie kwani aliyenipa Taarifa hii ni Mkazi Jirani kabisa na hilo Eneo Kubwa alilonunua Mtume Tajiri Mwamposa kwa Shilingi Bilioni 3.5 huku 99% ya Waumini wake ( GENTAMYCINE simo ) wakiwa Wametukuka kwa Njaa Kali, Akili Haba na Umasikini wa Kutisha.
 
Pale Tanganyika packers Serikali imelichukuwa eneo lake inaanzisha mradi wa Nyumba za Bei nafuu
Taratibu naanza Kumuamini Mtoa Taarifa kwani nae aliniambia isiyoposhana sana na hii yako.
 
Kama unakumbukumbu ziara ya mama samia miezi kadhaa nyuma hapo kawe alitoa maagizo kuhusu matumizi ya eneo la iliyokua Tanganyika packers
 
Back
Top Bottom