Serikali ya Rais Samia Suluhu imeboresha makazi ya walimu imejenga nyumba za walimu elfu 42 na bado utekelezaji unaendelea mama amewakumbuka walimu na wale waliokua na mishahara midogo wameongewa acha makasilikoWaalimu wana makazi ya ovyo sana tena sana. Nenda hata nyumba za waalimu wa vyuo ni magofu, madarasa ya vyuo utadhani vibanda umiza