Hii serikali ya Mzanzibari haiwezi kumvumilia Mwaiposa sababu ya udini"Mtume Mwamposa amepewa hadi Jamamosi ( 8 Oktoba, 2022 ) awe ameshaondoka Tanganyika Packers Kawe na sasa atahamia rasmi Mbezi Beach Kona Baa njia ya zamani ya kwenda Goba ambako amenunua Eneo Kubwa sana kwa Juu kwa thamani ya Shilingi Bilioni 3.5 za Kitanzania" amesema Mkazi Jirani na Eneo husika.
Je, kuna mwana JamiiForums yoyote mwenye Taarifa sahihi juu ya hii kwani nilimbishia Mhusika aliyenipa Taarifa hii kutokana na kuwa na PhD ya Ubishi, ila akanihakikishia kuwa Mtume Mwamposa anahamia hapo rasmi.
Inatija kwa "wanaokula nchi"Hawa hawafiki hata asilimia 10!!Inasikitisha waalimu wa shule za misingi/sekondary wanaishi kama enzi za uwindaji, leo hii badala ya kuwaboreshea mazingira wanaenda kutumia hela miradi ambayo haina tija kwa nchi
Kwani wewe umesahau kuwa Gwajima aliondolewa Tanganyika packers kipindi cha JK baada ya Gwajima kuharibu upepo ?Hii serikali ya Mzanzibari haiwezi kumvumilia Mwaiposa sababu ya udini
Wanakuja pale ni watu wa dini zote, hivyo linatumika kwa manufaa ya umma. Angeanza na kurudisha maeneo ya wazi yaliyoporwa na CCMKwani wewe umesahau kuwa Gwajima aliondolewa Tanganyika packers kipindi cha JK baada ya Gwajima kuharibu upepo ?
Ila lile ni eneo la umma si vyema kulitumia kwa mambo ya dini.
Samia ni kiongozi bora sana, hana bifu na mtu, maeneo wazi yote anayaboresha kwa maendeleo na ustawi wa Watanzania.
Wanakuja pale ni watu wa dini zote, hivyo linatumika kwa manufaa ya umma. Angeanza na kurudisha maeneo ya wazi yaliyoporwa na CCM
Mtume kuna muujiza, Nini kimetokea?
Kama ningekuwa na uwezo wa kushauri serekali ingejenga pale soko kubwa la kimataifa ili kuondolea kariakoo mzigo mkubwaPale Tanganyika packers Serikali imelichukuwa eneo lake inaanzisha mradi wa Nyumba za Bei nafuu
Mi ningeshauri ingejengwa park nyingine ya michezo kama ya Jk park ili kuboresha michezo na kupunguza msongamano pale jkKama ningekuwa na uwezo wa kushauri serekali ingejenga pale soko kubwa la kimataifa ili kuondolea kariakoo mzigo mkubwa
Mji utapumua kuelekea juu (angani), kuna eneo kubwa tuDar yote inajaa nyumba. Hamna sehemu ya kupumulia mji?
Possibly maana kuna mradi wa NHC. Na watu wamesha book apartments hata kabla haujaanza."Mtume Mwamposa amepewa hadi Jamamosi ( 8 Oktoba, 2022 ) awe ameshaondoka Tanganyika Packers Kawe na sasa atahamia rasmi Mbezi Beach Kona Baa njia ya zamani ya kwenda Goba ambako amenunua Eneo Kubwa sana kwa Juu kwa thamani ya Shilingi Bilioni 3.5 za Kitanzania" amesema Mkazi Jirani na Eneo husika.
Je, kuna mwana JamiiForums yoyote mwenye Taarifa sahihi juu ya hii kwani nilimbishia Mhusika aliyenipa Taarifa hii kutokana na kuwa na PhD ya Ubishi, ila akanihakikishia kuwa Mtume Mwamposa anahamia hapo rasmi.
Kadri unavyoenda juu ndivyo hewa inazidi kupunguaMji utapumua kuelekea juu (angani), kuna eneo kubwa tu
Juu ni unlimited mjomba, kwangua anga (ghorofa) zinazofika huko kwenye hewa zilizopungua ni ngapi kwani kama sio hakuna kabisa?Kadri unavyoenda juu ndivyo hewa inazidi kupungua
Ungepungukiwa nini kama ungeweka hapa hicho alichosema Mhe SSH?Kama unakumbukumbu ziara ya mama samia miezi kadhaa nyuma hapo kawe alitoa maagizo kuhusu matumizi ya eneo la iliyokua Tanganyika packers
Huo ni uongo bwana, hakunaa, ni uongooWalimu wa Tanzania Awana umoja! Madudu wanayofanyiwa na Chama Chao na Serikali Akuna Mwalimu wa Kenya au South Africa angekubali. Angalia ata Benki yao Mwalimu Bank aina faida Kwa Walimu wa Tanzaniaš.Haki yako aiombwi, Haki yako unaidai na kuipambania Freedom is not Free.Tatizo CWT ni tawi la CCM so pole yao
Makazi ya Bei nafuu kwa wananchi siyo Jambo muhimu!!?..hao walimu wachangamkie hayo makazi,serikali haipo kwa ajili ya walimu peke yakeInasikitisha waalimu wa shule za misingi/sekondary wanaishi kama enzi za uwindaji, leo hii badala ya kuwaboreshea mazingira wanaenda kutumia hela miradi ambayo haina tija kwa nchi