Serikali ya Rais Samia Suluhu imeboresha makazi ya walimu imejenga nyumba za walimu elfu 42 na bado utekelezaji unaendelea mama amewakumbuka walimu na wale waliokua na mishahara midogo wameongewa acha makasiliko
Acheni uongo na ujanjaujanja. Mnajuwa fika kuwa huyo Mwamposa hajawahi hata ponya mjusi, itakuwa binadamu. Viini macho na uzugaji mwingi huku akiwaibia wenye shida kuliko yeye!