hizo evidence na nondo zimeandaliwa na blacks au mabeberuUkiendelea kubisha tena nakuja na Evidence ambazo ndo zitakufanya ujione ww ni mweupe sana kichwani yani ukinibishia hapa sasa ndo nitakuja na nondo izo ambazo zitakufanya uache ubishi na uwe unapenda kuelimishwa...
hizo evidence na nondo zimeandaliwa na blacks au mabeberu
hizo evidence na nondo zimeandaliwa na blacks au mabeberu
Historia ya Afrika imeandikwa na wazungu kwa matakwa na maslahi yao. Nadhani ni wakati mwafaka kwa Waafrika kuandika historia yetu wenyewe kwa maslahi yetu. Hata mfumo wo wa elimu (kuwaandaa watu kuajiriwa) ndio imetuharibu mpaka leo. Inatakiwa tuandao vijana kujiajiri na kuwa wabunifu.Katika pitapita zangu mtandaoni nimewahi kukutana na watu wengi wakilalamika kuhusu kufichwa kwa historia halisi ya Afrika na kufundishwa historia ya wakati wa ukoloni jambo hili nililipenda sana hasa kutokana kuwa mimi ni mtu nayependa kufukunya mambo mbalimbali, nilivyotafakari nikaona hii mada nikiileta jukwaa la historia JamiiForums basi naweza pata watu wa kunisapoti katika mjadala wangu.
1. Ugunduzi wa sarafu ya Kilwa huko Australia
Wengi tunaliskia bara hili la Australia mahali lilipo nidhani ni Mashariki mwa Afrika wanahistoria waliweza kugundua hii sarafu huko. Mnapo May 11 2019 gazeti la The Guardian liliweza kuandika hii habari na kujaribu kuelezea ni namna gan hili suala linaweza badilisha historia ya Afrika katika ile habari wanajaribu kusema kuwa huenda sarafu hiyo aidha ilipelekwa huko na Wareno waliofika Pwani ya Afrika Mashariki miaka hiyo.
Ndugu zangu mimi si msomi wa historia ila hapa lengo langu ni kuanzisha mada kwa wanahistoria na wengine wote hivo naomba mchango wenu katika mada hii ili tuweze kuelimishana zaidi kuhusu Afrika yetu
Hii ndio link ya taarifa kuhusu sarafu ya kilwa
Upo vizuri bro, salute kwako,Walioziandaa ni hao hao mnao waita mabeberu wazungu na ndo hao hao waliotumia pesa zao kufanya tafiti izo kuhusu Watu weusi...Isichukulie poa Afrika wewe...
Historia ya Afrika imeandikwa na wazungu kwa matakwa na maslahi yao. Nadhani ni wakati mwafaka kwa Waafrika kuandika historia yetu wenyewe kwa maslahi yetu. Hata mfumo wo wa elimu (kuwaandaa watu kuajiriwa) ndio imetuharibu mpaka leo. Inatakiwa tuandao vijana kujiajiri na kuwa wabunifu.
Upo vizuri bro, salute kwako,
Namuombea mimi msamaha, lol
Wa kwanza ni Viking wapili ni Wachina na wa tatu ni wa Afrika na wa nne ndo uyo Christopher Columbas ni mtu wa nne ila kwakuwa ni mzungu ndo wakatulete creimisha uwongo na uzandiki tuu