Ngosha Mashine
JF-Expert Member
- Sep 21, 2017
- 665
- 1,360
Nimekutana na mdada mmoja Mbeya town anashawishi watu kujiunga na mfumo wa (FIC) Financial Intelligence Centre
Hii unaweka hela inakuwa inaongezeka kila siku kwa kubet kinyume, nimeshituka kidogo nimewaza kina kynda na qnet walivyoliza watu
Sasa sijui serikali inajua kinachoendelea maana wabongo wengi uelewa mdogo isije ikawa ni yale yale tovuti yao hii www.fic.gov.za
Hii unaweka hela inakuwa inaongezeka kila siku kwa kubet kinyume, nimeshituka kidogo nimewaza kina kynda na qnet walivyoliza watu
Sasa sijui serikali inajua kinachoendelea maana wabongo wengi uelewa mdogo isije ikawa ni yale yale tovuti yao hii www.fic.gov.za