Huyo SweetyCandy alitaka tupinge mwaka 2021?!Nimependa hii.
Lakini sikuelewa anayehojiwa kuwa na "akili" ni nani.
Mimi naona ni huyo aliye"saini 2022", ndiye asiyekuwa na akili. Huyo anaye"pinga 2023", ndiye mwenye akili haswa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyo SweetyCandy alitaka tupinge mwaka 2021?!Nimependa hii.
Lakini sikuelewa anayehojiwa kuwa na "akili" ni nani.
Mimi naona ni huyo aliye"saini 2022", ndiye asiyekuwa na akili. Huyo anaye"pinga 2023", ndiye mwenye akili haswa.
YesHuo mkataba kuuita mkataba wa bandari ni kuupotosha umma. Bandari ni robo tu ya mkataba. Huo uitwe mkataba wa kuuza Tanganyika.
Wakati tunapinga mkataba kwenye gas yetu ya Mtwara, kejeli zilikuwa kama hizi hizi toka kwa chawa wa Kikwete. Leo hii tunaambiwa gas sio yetu na wala hakuna zile faida tuliokuwa tunaambiwa. Hivyo hizi kejeli zenu sio mpya kabisa.Wanao pinga mkataba wa bandari wengi hawana sababu za msingi ni ushabiki tu huenda na ubaguzi na udini ila hoja hazina msingi.
Hakuna anayekutana ila hilo swali la hicho kibonzo chenu halina maana, maana alipaswa kumuuliza ni wapi haelewi, ni kwenye IGA au HGA. Sasa yeye anamuuliza mkataba badala ya makubaliano. Mikataba ni siri nchi hii.Acha kutukana mkuu leta hoja plz.
Na..... wengi we know nothing.... bali kuunga mkono tu.Ni kweli....wengi we know nothing ...ushabiki tu🤣
🤣🤣🤭Tabu tupuNa..... wengi we know nothing.... bali kuunga mkono tu.
Nilimsikia Msigwa akifafanua jana kwa waandishi wa habari ile yule mwandishi wa mwisho alipojaribu kumweleza vifungu vyenye utata kwenye mktaba au makubaliano hayo, yeye akapinga na kuwa mkali sana kiasi kuwa yule mwandishi aliamua kutoluiza swali lake kabisa. Halafu kuna waandishi waliokuwa wanatamka kuwa wameelewa maelezo yake bila kujua mktaba au makubalinao yenyewe ni nini.
Ndo ivo mkuuUtahira Kama upo kwenye kundi la hivyo...
Hakuna thamani ya pesa inayoweza kununua msimamo wangu juu ya maslahi ya Tanzania na wananchi wake.Na wewe unaepinga umeingiziwa sh ngapi?!!
Hata bila ya kujua kuna uhujumu huo unaopangwa dhidi ya nchi yetu.Huyo SweetyCandy alitaka tupinge mwaka 2021?!
Haya mkuu, ili mtu awe mzalendo basi lazima afikiri na kupita kwa njia zenu tu mzipendazo.......kinyume na hapo si mzalendo. Hapo ndo penye tatizoHakuna thamani ya pesa inayoweza kununua msimamo wangu juu ya maslahi ya Tanzania na wananchi wake.
Sitashangaa kama huelewi nilichoandika hapa..
Ninakukumbuka sana, kwa tuliyobadilishana hivi karibuni, humu humu JF. Kwa hiyo siwezi kushangaa kwa swali hilo.
Ni waroho sana na wahujumu wakubwa. Hawaridhiki na walivyokwishaiba.Hata bila ya kujua kuna uhujumu huo unaopangwa dhidi ya nchi yetu.
Wameifanya kuwa siri kubwa hadi mwisho, baada ya kumaliza kila kitu ndipo wanatuletea, tena kwa ujanja ujanja.
Njia hii ya kufanya mambo gizani ndio ushahidi mkubwa wa hila wanazofanya.
Sijazungumzia sifa zozote zinazomfanya mtu kuwa "mzalendo" mahali popote; lakini hilo halikukuzuia wewe kuleta jambo ambalo halijazungumziwa kabisa!Haya mkuu, ili mtu awe mzalendo basi lazima afikiri na kupita kwa njia zenu tu mzipendazo.......kinyume na hapo si mzalendo. Hapo ndo penye tatizo
Huyu mtu hajapigiwa kura na mtu yeyote, pamoja na kwamba uchaguzi uliowaweka madarakani ulikuwa wa hovyo; na mbaya zaidi, huyo aliyekuwa anamsaidia alikuwa na msimamo ambao yeye kaugeuza kabisa na kufanya kinyume chake!Ni waroho sana na wahujumu wakubwa. Hawaridhiki na walivyokwishaiba.
Isingekuwa kanuni ya kwamba IGA lazima iwe ratified, tusingejua kitu.
Ukitaka ujue mazeri ni msanii...subiri uone list ya mashirika ya umma ambayo Mhazina Mchechu atampelekea yafutwe/yauzwe. Ni hatari..
Ungesema baadhi kusema wengi si sawaNi kweli....wengi we know nothing ...ushabiki tu[emoji1787]
Hoja ya ubaguzi wa udini imeletwa na wanao unga mkono na ni Hoja dhaifu sana kujificha nyuma yakeWanao pinga mkataba wa bandari wengi hawana sababu za msingi ni ushabiki tu huenda na ubaguzi na udini ila hoja hazina msingi.