Je, hii 'Media Blackout' ya leo juu ya tukio zima la uchukuaji fomu wa Tundu Lissu ndiko kumuenzi vyema Mwanahabari Hayati Rais Mkapa?

Je, hii 'Media Blackout' ya leo juu ya tukio zima la uchukuaji fomu wa Tundu Lissu ndiko kumuenzi vyema Mwanahabari Hayati Rais Mkapa?

Kilichofanyika Leo kwa waandishi was habari na vyombo vyao no aibu kubwa sana kwa Tasnia ya habari na nchi yetu.Ushauri wangu wapinzani has a chadema tafuteni namna ya kucover habari zenu has a kwa kutumia social media na watu wenu mliowaamini kufikisha habari kwa jamii.waandishi was habari walishatekwa na watawala zamani.pia tumieni majukwaa kuwaeleza wananchi juu ya hujuma hii kubwa, msikae kimya
 
Yaani hao Chadema miaka nenda rudi wanapokea ruzuku hawajaweza kujipanga kitaarifa? Iliwazuia nini kuwa na online TV hata kuwa na TV station? Chama Changu nimeshanunua Channel 10 na Radio Uhuru angalao hata ikikosekana Habari huko vyombo nguli vya Habari lakini sisi tutarusha. Hapa sina cha kuwaonea huruma kabisa. Walitakiwa wajue media ni powerful tool na kwa demokrasia yetu media private haijakaa sawa. Nawaambia muda michache huu jitahidini muwe na kitu Chenu.
 
Nichukieni mtakavyonichukia GENTAMYCINE ila pamoja na kwamba nakipenda Chama changu Tawala ambacho ndicho Kimeshika Dola ya Kiserikali cha CCM, ila kama 'Mwanataaluma' kitendo kilichofanyika leo hasa cha 'Media Blackout' dhidi ya Tukio zima la Uchukuaji Fomu wa Tundu Lissu wa CHADEMA na ambayo nayasikia yameendelea huko katika Newsrooms ni 'Upumbavu' mtupu

Sijaona sababu yoyote ile ya Vyombo Vikubwa vya Habari nchini Kupigiwa Simu na hata Waandishi wake 'Kutishwa' hasa kama wakipeleka Hewani ( kama haya Madai ni ya kweli kwani sijayathibitisha bado ) Habari za hili Tukio zima, lakini kinachonisikitisha tu ni kwamba Serikali yangu ya CCM imefanya mengi na makubwa kwa miaka hii Mitano sasa iweje leo hii imuogope Tundu Lissu hivi?

Najua kuwa Tundu Lissu ( Mtani wangu huyu kutoka Mkoani Singida nae ana Changamoto zake ) ila binafsi nilidhani njia pekee ya 'Kummaliza' Kisiasa ni Sisi wana CCM na Serikali yetu Kumuonyesha kwa Vitendo 'Maendeleo' tuliyoyafanya na siyo 'Kumuogopa' hivi hadi kumfanyia 'Mizengwe' ili Tukio zima la leo lisiwe Masikioni mwa Watu ( Watanzania ) tukidhani kuwa labda ndiyo tutamuweza.

Wala haiitaji 'Akili' kubwa kujua ya kwamba kadri Mamlaka husika iliyo chini ya Chama changu Tawala cha CCM kinavyopambana kutaka 'Kumzima' Kisiasa na Kiumaarufu hivi Tundu Lissu kwa 'Kuwatishia' Wanahabari na Vyombo vyao basi ijue ya kwamba ndiyo inasaidia mno Kumuongezea 'Umaarufu' wako na hapa kuna 'Athari' nyingi tu kwa upande wa Kura CCM yangu itazipata.

Halafu Wiki iliyoisha tulikuwa tunamsifu na kumpamba kweli kweli Nguli wa Habari nchini na Mwandamizi kabisa Rais wa Awamu ya Tatu Hayati Benjamin William Mkapa kwamba alipenda 'Demokrasia' na hakuwa na 'Mabavu' dhidi ya Wapinzani. Je, huu 'Upumbavu' uliofanywa leo wa 'Kuvitishia' Vyomba vya Habari Vikubwa nchini 'Visiripoti' Tukio la Lissu ndiyo Kumuenzi Mkapa?

CCM yangu naipenda, Rais na Mwenyekiti wangu Dkt. Magufuli namkubali sana hata Mwenyezi Mungu anajua ila huu 'Upuuzi' mkubwa sijaupenda.
Ilikuwaje ukawa ccm na bado ukawa na akili nyingi kiasi hiki? Waulize wenzio kina Bashiru,Polepole na Kabudi. Yaani walipoingia tu ccm wakakumbana na sharti la kuacha akili mlangoni. Sasa hivi wakifungiwa chumbani Polepole na Msukuma au Bashiru na Lusinde ukiwa nje ya chumba huwezi kutofautisha yupi ni yupi labda uwatofautishe kwa sauti zao na sio maudhui ya wanachoongea.
 
Baada ya Kujazwa 'Hofu' na Wanafiki pamoja na 'Wapumbavu' hao waliomzunguka ili Wao waendelee 'Kujineemesha' huku Yeye 'akichukiwa' mno.
Now you know! Ukaribu wa Mwenyekiti na Bashite umetokana na hiyo dhana,kwamba ataangamiza wote wanaompinga. Ikafika mahali akavitumia hadi vikosi vilivyo chini ya Ikuli kutekeleza hiyo dhana,nakwa mkutadha huu Bashite alijineemesha Sana kiuchumi kwa kile kilichoitwa kazi maalumu kuzurula Marekani,Ufaransa etc. KUNA MTU ALIDAI BASHITE ALIWAHI KUWEKA LOUD SPEAKER SEA CLIFF HOTEL ILI KUWATHIBITISHIA ALIOKUWA ANAPANGA NAO MAMBO MAOVU KUWA ANA BARAKA ZA BABA YAKE WAKUFIKIA
 
'Shahawa' zilizotumika tu Kukuleta duniani hivi huenda zingetumika Kwingineko zingekuwa na Manufaa na Tija na siyo kwa huu 'Upumbavu' wako.
Halafu anajiita "kuku dume" kwa mujibu wa username yake. Ngoko( kuku) ngosha(dume) Nimemtukana kimoyo moyo tusi baya Sana kisukuma.
 
Licha ya media kuzuiwa chadema ilishindwa Nini kuanzisha online media, page zao na kutoa habari, maana jinsi wanavobanwa na ccm kuachwa wanapigwa gape, atleast wangerusha tukio kwenye account za CDM kusubiria huruma tu watasanda, CCM imechokwa ni vile inajipa promo
Kwani sheria za uchaguzi zinasemaje kuhusu media???tuanzie hapo
 
Dah... where's KWANZA TV? [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Back
Top Bottom