Yeye mwenyewe mama D katukanwa piaKwa UTOPOLO alioumwaga hapa, hastahili kupata hata robo ya heshima uliyompa!
.Yeye mwenyewe mama D katukanwa pia
Ila yeye ana safi tu [emoji23][emoji23][emoji23]
Ova
Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app
Aende hukohuko kwao wanapofanya faragha nje ya maadiliNenda wewe upewe vizuri maana inaonekana unajuwa kupewa vizuri
Aende hukohuko kwao wanapofanya faragha nje ya maadili
Wasiokua na ubongo ni pamoja na nyie mlioshindwa kila kitu na mkashindwa hata kutimiza vile vitisho vya kuingia barabarani halafu mkakimbia nchi
.Wasiokua na ubongo ni pamoja na nyie mlioshindwa kila kitu na mkashindwa hata kutimiza vile vitisho vya kuingia barabarani halafu mkakimbia nchi
Kitu ambacho hamjui au hamtaki kujua nyumbu kama ninyi ni kuwa kila kitu kina utaratibu na channels za kufuatwa. Spika HAAPISHI wabunge from the blue.Nimekaa na kutafakari juu ya siasa za Tanzania. Maana ni kama zimekosa muelekeo kabisa
Je, ina maana Spika Ndugai na bunge lake waliapisha wabunge ambao hawajapata baraka ya chama chao kuwa wabunge wa viti maalumu?
Kwa nini Spika alijigamba kuwa anawatambua hawa wakina mama wa Chadema ili hali akijua ni kinyume na katiba ya JMT?
Spika alijisahau kuwa katiba ya JMT imetamka wazi kuwa mbunge akikoma kuwa mwanachama anakosa sifa ya kuwa mbunge?
Je kwa ubabe aliouonyesha na kudai atawalinda kwa udi na uvumba,haoni kama wamemuumbua.
My opinion,kiongozi ni mtu kwenye dhamana katika jamii,kama anatakiwa kusimamia haki basi anatakiwa asiwe na double standard. Maana wamama waliofutwa ubunge Chadema leo wanaweza kuwa wamemtia mtu nishai.
Maccm ruksa kutukanaMods, fungieni na huyu, au kwakuwa no ccm?
Alishatoa utetezi wake.Nimekaa na kutafakari juu ya siasa za Tanzania. Maana ni kama zimekosa muelekeo kabisa
Je, ina maana Spika Ndugai na bunge lake waliapisha wabunge ambao hawajapata baraka ya chama chao kuwa wabunge wa viti maalumu?
Kwa nini Spika alijigamba kuwa anawatambua hawa wakina mama wa Chadema ili hali akijua ni kinyume na katiba ya JMT?
Spika alijisahau kuwa katiba ya JMT imetamka wazi kuwa mbunge akikoma kuwa mwanachama anakosa sifa ya kuwa mbunge?
Je kwa ubabe aliouonyesha na kudai atawalinda kwa udi na uvumba,haoni kama wamemuumbua.
My opinion,kiongozi ni mtu kwenye dhamana katika jamii,kama anatakiwa kusimamia haki basi anatakiwa asiwe na double standard. Maana wamama waliofutwa ubunge Chadema leo wanaweza kuwa wamemtia mtu nishai.
Umesahau Spika wa Tanzania is above the law?Nimekaa na kutafakari juu ya siasa za Tanzania. Maana ni kama zimekosa muelekeo kabisa
Je, ina maana Spika Ndugai na bunge lake waliapisha wabunge ambao hawajapata baraka ya chama chao kuwa wabunge wa viti maalumu?
Kwa nini Spika alijigamba kuwa anawatambua hawa wakina mama wa Chadema ili hali akijua ni kinyume na katiba ya JMT?
Spika alijisahau kuwa katiba ya JMT imetamka wazi kuwa mbunge akikoma kuwa mwanachama anakosa sifa ya kuwa mbunge?
Je kwa ubabe aliouonyesha na kudai atawalinda kwa udi na uvumba,haoni kama wamemuumbua.
My opinion,kiongozi ni mtu kwenye dhamana katika jamii,kama anatakiwa kusimamia haki basi anatakiwa asiwe na double standard. Maana wamama waliofutwa ubunge Chadema leo wanaweza kuwa wamemtia mtu nishai.
mama D
KIAPO CHA CCM
1. Binadamu wote ni ndugu zangu na Afrika ni moja.
2.Nitatumikia nchi yangu na watu wake wote.
3.Nitajitolea nafsi yangu kuondoa umasikini, ujinga, maradhi na dhuruma.
4.Rushwa ni adui wa haki, sitapokea wala kutoa rushwa.
5.Cheo ni dhamana, sutatumia cheo changu wala cha mtu mwingine kwa faida yangu.
6.Nitajielimisha kwa kadri ya uwezo wangu na kutumia elimu yangu kwa faida ya wote.
7. Nitashirikiana na wenzangu wote kujenga nchi yetu.
8.Nitasema ukweli daima fitina kwangu ni mwiko.
9.Nitakuwa mwanachama mwaminifu wa CCM na raia mwema wa Tanzania na Afrika.
Ee mwenyezi Mungu nisaidie
Hivi nani wa kuwakimbia nyie?Wanatukimbia hawa vilaza wa ufipa
Labda unazungumzia spika wengine lakini si huyu...Kitu ambacho hamjui au hamtaki kujua nyumbu kama ninyi ni kuwa kila kitu kina utaratibu na channels za kufuatwa. Spika HAAPISHI wabunge from the blue.
Uchawi haujui kustaafu,anaweza akapatiwa busha si lakawaida,uchawi hauna mipaka.Umesahau Spika wa Tanzania is above the law?
Hashitakiwi hata akishastaafu, ndio sheria iliopitishwa ,hata kama alikwenda kinyume alipokuwa akitekeleza majukumu yake kama Spika.
Chadema hawajapeleka barua ya kuwafukuza hao covid 19 kwa spika kwa vile mchakato wa kufukuzwa kwao haujakamilika, baada ya kusikilizwa rufaa yao Baraza kuu na Baraza likaidhinisha kufukuzwa kwao ndipo Spika atajulishwa rasmi.Alishatoa utetezi wake.
Yeye aliletewa majina na NEC na wajibu wake ni kuwaapisha.
Tunachotakiwa kujua ni kuwa kama kweli CDM hawakupeleka majina NEC na kama kweli barua ya kuwavua uanachama wameshamfikishia supika.
Kama barua ya kuwavua uanachama imemfikia supika hapo kesi inabadilika lakini mpaka leo hatujaona hata nakala ya barua toka CDM kwenda kwa supika.
Hii ngoma bado mbichi na mjue kuna diplomasia inatembea chichini (taifa ni muhimu kuliko Chama au Mtu),mliyoayaona ACT msishangae yakaibukia CDM.