Je, hii ni aibu kwa spika Job Ndugai?

Je, hii ni aibu kwa spika Job Ndugai?

Yeye mwenyewe mama D katukanwa pia
Ila yeye ana safi tu [emoji23][emoji23][emoji23]

Ova

Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app
.
FB_IMG_1604027510826.jpg


Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
 
Walishindwa ukuta hadi serkali za mitaa
Wasiokua na ubongo ni pamoja na nyie mlioshindwa kila kitu na mkashindwa hata kutimiza vile vitisho vya kuingia barabarani halafu mkakimbia nchi
 
Nimekaa na kutafakari juu ya siasa za Tanzania. Maana ni kama zimekosa muelekeo kabisa

Je, ina maana Spika Ndugai na bunge lake waliapisha wabunge ambao hawajapata baraka ya chama chao kuwa wabunge wa viti maalumu?

Kwa nini Spika alijigamba kuwa anawatambua hawa wakina mama wa Chadema ili hali akijua ni kinyume na katiba ya JMT?

Spika alijisahau kuwa katiba ya JMT imetamka wazi kuwa mbunge akikoma kuwa mwanachama anakosa sifa ya kuwa mbunge?

Je kwa ubabe aliouonyesha na kudai atawalinda kwa udi na uvumba,haoni kama wamemuumbua.

My opinion,kiongozi ni mtu kwenye dhamana katika jamii,kama anatakiwa kusimamia haki basi anatakiwa asiwe na double standard. Maana wamama waliofutwa ubunge Chadema leo wanaweza kuwa wamemtia mtu nishai.
Kitu ambacho hamjui au hamtaki kujua nyumbu kama ninyi ni kuwa kila kitu kina utaratibu na channels za kufuatwa. Spika HAAPISHI wabunge from the blue.
 
Nimekaa na kutafakari juu ya siasa za Tanzania. Maana ni kama zimekosa muelekeo kabisa

Je, ina maana Spika Ndugai na bunge lake waliapisha wabunge ambao hawajapata baraka ya chama chao kuwa wabunge wa viti maalumu?

Kwa nini Spika alijigamba kuwa anawatambua hawa wakina mama wa Chadema ili hali akijua ni kinyume na katiba ya JMT?

Spika alijisahau kuwa katiba ya JMT imetamka wazi kuwa mbunge akikoma kuwa mwanachama anakosa sifa ya kuwa mbunge?

Je kwa ubabe aliouonyesha na kudai atawalinda kwa udi na uvumba,haoni kama wamemuumbua.

My opinion,kiongozi ni mtu kwenye dhamana katika jamii,kama anatakiwa kusimamia haki basi anatakiwa asiwe na double standard. Maana wamama waliofutwa ubunge Chadema leo wanaweza kuwa wamemtia mtu nishai.
Alishatoa utetezi wake.
Yeye aliletewa majina na NEC na wajibu wake ni kuwaapisha.
Tunachotakiwa kujua ni kuwa kama kweli CDM hawakupeleka majina NEC na kama kweli barua ya kuwavua uanachama wameshamfikishia supika.
Kama barua ya kuwavua uanachama imemfikia supika hapo kesi inabadilika lakini mpaka leo hatujaona hata nakala ya barua toka CDM kwenda kwa supika.
Hii ngoma bado mbichi na mjue kuna diplomasia inatembea chichini (taifa ni muhimu kuliko Chama au Mtu),mliyoayaona ACT msishangae yakaibukia CDM.
 
Nimekaa na kutafakari juu ya siasa za Tanzania. Maana ni kama zimekosa muelekeo kabisa

Je, ina maana Spika Ndugai na bunge lake waliapisha wabunge ambao hawajapata baraka ya chama chao kuwa wabunge wa viti maalumu?

Kwa nini Spika alijigamba kuwa anawatambua hawa wakina mama wa Chadema ili hali akijua ni kinyume na katiba ya JMT?

Spika alijisahau kuwa katiba ya JMT imetamka wazi kuwa mbunge akikoma kuwa mwanachama anakosa sifa ya kuwa mbunge?

Je kwa ubabe aliouonyesha na kudai atawalinda kwa udi na uvumba,haoni kama wamemuumbua.

My opinion,kiongozi ni mtu kwenye dhamana katika jamii,kama anatakiwa kusimamia haki basi anatakiwa asiwe na double standard. Maana wamama waliofutwa ubunge Chadema leo wanaweza kuwa wamemtia mtu nishai.
Umesahau Spika wa Tanzania is above the law?
Hashitakiwi hata akishastaafu, ndio sheria iliopitishwa ,hata kama alikwenda kinyume alipokuwa akitekeleza majukumu yake kama Spika.
 

KIAPO CHA CCM​

1. Binadamu wote ni ndugu zangu na Afrika ni moja.
2.Nitatumikia nchi yangu na watu wake wote.
3.Nitajitolea nafsi yangu kuondoa umasikini, ujinga, maradhi na dhuruma.
4.Rushwa ni adui wa haki, sitapokea wala kutoa rushwa.
5.Cheo ni dhamana, sutatumia cheo changu wala cha mtu mwingine kwa faida yangu.
6.Nitajielimisha kwa kadri ya uwezo wangu na kutumia elimu yangu kwa faida ya wote.
7. Nitashirikiana na wenzangu wote kujenga nchi yetu.
8.Nitasema ukweli daima fitina kwangu ni mwiko.
9.Nitakuwa mwanachama mwaminifu wa CCM na raia mwema wa Tanzania na Afrika.

Ee mwenyezi Mungu nisaidie
mama D
Jiulize kati ya ahadi hizo za mwanaccm, ni ahadi ngapi zinatekwlezwa na mwanaccm wa Leo?
 
Walikimbiza sana ......kutoshitakiwa kwa speaker kulikuwa kuna maana .....kama hili pia wewe pitisha, sigina katiba hakuna wa kukugusa !!!
 
Nimeyaandikia mabunge yote chini ya common wealth wameniahidi kumtenga na kutompa ushirikiano... Bado hatua nyingine zinafata!!! Ubabe wakitoto
 
Sidhani kama kuna bunge la kisanii kama hili, ni aibu mno kwa spika kuwa kiongozi wa bunge ambalo yeye binafsi ameajibika kulivuruga kwa kiwango kikubwa. ndugai ni mfano bora wa kuepukwa na ma-spika wote wajao.
 
Wanatukimbia hawa vilaza wa ufipa
Hivi nani wa kuwakimbia nyie?
Kwanza nyie elimu inaonekana zero!
Ndio maana kujenga hoja hakuna anaeweza sijui mlijichagua vilaza watupu!
Anyway, nafikiri ni chama chenyewe kimeishiwa
 
Kitu ambacho hamjui au hamtaki kujua nyumbu kama ninyi ni kuwa kila kitu kina utaratibu na channels za kufuatwa. Spika HAAPISHI wabunge from the blue.
Labda unazungumzia spika wengine lakini si huyu...
 
Kw huo uwezo duni wa kufikiri na kutafakari, inaonekana wazi kuwa kinachokuendesha ni MAYALA/njaa
 
Umesahau Spika wa Tanzania is above the law?
Hashitakiwi hata akishastaafu, ndio sheria iliopitishwa ,hata kama alikwenda kinyume alipokuwa akitekeleza majukumu yake kama Spika.
Uchawi haujui kustaafu,anaweza akapatiwa busha si lakawaida,uchawi hauna mipaka.
 
Alishatoa utetezi wake.
Yeye aliletewa majina na NEC na wajibu wake ni kuwaapisha.
Tunachotakiwa kujua ni kuwa kama kweli CDM hawakupeleka majina NEC na kama kweli barua ya kuwavua uanachama wameshamfikishia supika.
Kama barua ya kuwavua uanachama imemfikia supika hapo kesi inabadilika lakini mpaka leo hatujaona hata nakala ya barua toka CDM kwenda kwa supika.
Hii ngoma bado mbichi na mjue kuna diplomasia inatembea chichini (taifa ni muhimu kuliko Chama au Mtu),mliyoayaona ACT msishangae yakaibukia CDM.
Chadema hawajapeleka barua ya kuwafukuza hao covid 19 kwa spika kwa vile mchakato wa kufukuzwa kwao haujakamilika, baada ya kusikilizwa rufaa yao Baraza kuu na Baraza likaidhinisha kufukuzwa kwao ndipo Spika atajulishwa rasmi.

Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom