Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣 Nimecheka kifala duh watu mna manenooNi baba yako mzazi ongea nae akuna unacho kilisi hapo wazee kuna sehemu wanabugi wanapo pewa choo kikubwa akili inaama
Naam Sijui umejuaje!!! Kwamba akishauriwa kitu lazima taarifa zifike huko, lakini yote kwa yote nimeamua kuwaacha waishi kwa amani maana kubaki unashauri mara kwa mara ni kero kwa mzee pia@ kwa upande wangu natambua kwamba hatma ya maisha yangu ipo mikononi mwangu, kwa hiyo Sina budi kupambana kwa hali na mali lakini vilevile kumwomba mwenyezi Mungu nisijetenda haya ya mzee ya kuishi eneo la ukweni.Dogo nakushauri achana na huyo dingi umeshachelewa, stage aliyofikia ukimsema au kutaka kumshauri lolote ataenda kusema kwa mkewe utaonekana mbaya mwisho wa siku mtatengenezwa wote wawili