Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimekaa paleeeYanga ikikamilika haoa kwa mkapa mamelodi hachomoki, waombee kina aucho, yao yao na pacome wawe wodi ya mwaisela la sivyo wataipata pata.
Hawa wote wageni ushindi wao haoa ni sare, wakipata sare wakafanye sherehe kwao huko.
Chombo cha habari kuwasikiliza washabiki wanasemaje na kuripoti kulingana na washabiki wanavyosema, huko ndiyo kutokuwa na upande.We jamaa inavyoonekana ni hata hujui misingi ya vyombo vya habari.
Vyombo vya habari havitakiwi kuwa na upande ndiyo maana chombo cha habari chenye kuonesha mapenzi fulani kwa upande fulani waziwazi basi huanza kupoteza mvuto.
Nini maana ya serikali kuzi support timu zote mbili katika hatua zilizofikia.
Hauangalii Azam tv the way wanaziterm simba na yanga na namna wanavyozielezea kuelekea mechi zao.
Kilichofanywa na EATV Sio professionalism
Manlodi Samdauni chama kubwaSalaam wakuu.
Hivi sasa tunaona serikali na wadau mbalimbali wakitoa support kwa timu za mpira za simba na yanga kuelekea michezo yao ya robo fainali klabu bingwa barani afrika.
Inatokea media yenye waandishi wa mchongo na kupost maneno yenye ukakasi yasiyo na chembe ya kutia moyo timu za nyumbani licha ya hali halisi.
Hii sio sawa kwa media kubwa kama EAST AFRICA RADIO/TV KUPUBLISH UJINGA HUU.
Haijakaa kitaalamuView attachment 2940741
Siku hazigandi smart..Hao Mamelodi tutawanyonyoa