Je, hii ni sawa kwa media kutoa maoni ya kukandamiza timu za nyumbani?

Yanga ikikamilika haoa kwa mkapa mamelodi hachomoki, waombee kina aucho, yao yao na pacome wawe wodi ya mwaisela la sivyo wataipata pata.
Hawa wote wageni ushindi wao haoa ni sare, wakipata sare wakafanye sherehe kwao huko.
Nimekaa paleee
 
Hawajakandamiza ila ni uhalisia hapo ni sawa na Kipofu anaenda kupigana na Mike Tyson kwahiyo jibu la atakaekandwa ni nani linajulikana
 
Chombo cha habari kuwasikiliza washabiki wanasemaje na kuripoti kulingana na washabiki wanavyosema, huko ndiyo kutokuwa na upande.

Chombo cha habari kikianza kusimamia washabiki washangilie upande fulani, kwa vigezo vya siasa, uzalendo, amri kutoka juu, na ujinga mwingine kama huo, hapo kimechagua upande.

Huelewi nini hapo?

Kwa nini unataka kuufunga ushabiki wa michezo kisiasa kwa Simba na Yanga tu?

Kwani Mtanzania hawezi kuipenda Mamelodi Sundowns au Manchester United, timu isiyo ya Tanzania ambayo kaikubali kwa kuangakia uchezaji wa mpira tu, bila kujali siasa za timu ni ya kutoka nchi gani?
 
Manlodi Samdauni chama kubwa

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…