Je, hili ni box la vidonge vya ARV?

Bado kijana only 25yrs mzee
 
K
Kwahiyo hii in PrEPS,na sio PEPS,
Kama ndivyo,kuna vyangudoa kibao has a Nairobi wanakunywa Preps kabla hawajaenda viwanja ili kujikinga,maana hii in pre exposure tofauti na PEPs ambazo in post exposure
 
Nenda kapime. Kama ukionekana umeathirika nitafute kwa msaada zaidi. Unaweza kupona kabisa na kuendelea na maisha yako ya kila siku kama kawaida. Huna haja ya kuwa na hofu wala kuficha. Dawa ipo. Huna haja ya kutumia ARVs
 
Mnaoenda kupima kunakitu mnakitafuta na mtakipata
Usiwaogopeshe. Acha watu wapime wajue afya yao ikoje.
Kwa sasa ukimwi si tishio tena. Tishio ni ugonjwa wa kutoamini vya kwetu isipokuwa vya Mzungu
Tiba ipo. Tiba asili inayoponya kabisa ukimwi na kansa.
 
Mimi nipo kulichunguza kwa makini ili box la dawa ili siku nikikutana nalo nijue box la dawa gani
 
Denda nilikula ila oil sikupima
Mkuu kwanza pole sana kwa kilichotekea

Usiogope kuna jamaa mmoja member wa hii forum anaitwa idrissi yeye aliwahi kudate na msichana kama huyo na alikua anatumia ARVs lakini hawakuwahi kufanya mapenzi siku moja alinyonywa uume mpaka akafika kileleni kwani siku hiyo demu alikua yuko kwa siku zake hivyo wakati wamelala usiku jamaa katika kuamka kwenda chooni kama Mungu akasema aangalie pochi ya mwanamke akakuta hivyo vidonge alijiuliza sana akawa ana mashaka ikabidi agoogle akagundua ARVs basi akamwamsha na demu akawa amekiri ni kweli ameathirika.

Basi yule jamaa akaweka uzi humu watu wakamshauri kwa namna mbalimbali nili-pm akaelewa akaenda kupima mara ya kwanza kujua kama alikua ana maambukizi au la akajikuta yuko safi baada ya miezi 4 akapima akajikuta yuko poa safi kabisa lakini kabla ya miezi 4 alikua katika wakati mgumu sana.

Nakuhakikishia mkuu kama hujapima oil,ujazama chumvini na hujapiga deep kiss uko safe kabisa na hata kama ungekula kama ungekuwa umetumia mipira basi uko salama,,,

Virusi vya ukimwi kwenye mate havikai mkuu hivyo ni ngumu kupata labda kuwe na michubuko.

Mwisho:nenda kapime leo ukikutwa una ngoma basi ujue hiyo ya mda kama uko salama kaa kwa miezi 3 ukapime tena ujiridhishe.
 
Kumekuwa na kawaida ya vijana wengi kufanya kondomu kama kifaa cha mwisho na mwishowe hupata maambukizi.

Atakula denda na kunyonya ndimi,atanyonya uchi na kutia vidole huko kote kama alikua na michubuko basi tayari ameshapata maambukizi mwisho wa siku anakuja kuvaa kondomu tayari ameshanasa na haitamsaidia kwa chochote.

Pia tuepuke kufanya rough sex mapenzi ya kukomoana yaani mpaka unapata michubuko ukidhani unamkomoa mwanamke ni ujinga unakuta kijana anapiga goli hata 3+ mfululizo hajui kuwa ukifanya sana kule kunakuwa kukavu na michubuko lazima itatokea tu.

Tuache kujifanya wajuzi na watundu hasa kwa watubambao hatujui afya zao na ndo maana ni rahisi kwa kahaba kukosa ukimwi kuliko watu wa kawaida..maana kahaba ukifika unavaa kondomu no romance unaweka unaachia mzigo unasepa ila sisi wa kawaida utataka ulambe mpaka naniliu.

Tutakwisha
 
Cha kuongezea kama anatumia dawa vizuri bila kupitisha mda na ametumia mfululizo uwezekano wa kukuambukiza ni mdogo mno
 
Asante mkuu kwa ushauri umenipa nguvu na kunitia moyo..........chochote nitakachokutana nacho nitaleta hapa kama ushuhuda.......
Ni miezi miwili sasa inaenda tangu huo mkasa unitokee
 
Kuna viumbe wana roho mbaya.
Yani anajijua hali yake,hata kumu alert mwenzie hawezi!!
 
Tena ini baya kuliko HIV AIDS
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…