Je, hili ni box la vidonge vya ARV?

Je, hili ni box la vidonge vya ARV?

Unatakiwa umuombe Mungu huku unajikinga sio unamuomba Mungu huku unafanya mistake za makusudi.

Sijaelewa dhumuni lako, unamaanisha watu wasipime ila watumie condom? Sawa hayo ni mawazo yako.

Mawazo yangu ni kuhamasisha watu kupima pindi waanzapo mahusiano mapya.

Laiti huyu angepima basi angejua binti ni mgonjwa kabla hawajafanya romance zao.

Unatumia kinga na mtu, huku mnashikana maute....mnapeana denda...huoni kama mmoja ni infected risk inakua kubwa?

Ndiyo maambukizi uonekana siku 28 toka ukutane na mtu alie na virusi lakini atleast unakua umechukua taadhari kuliko yule asiepima kabisa.
Kwanza Tengua kaulj yako kwamba angejua binte ni Mgonjwa....Umimwi sio ugonjwa bali ukimwi ni upungufu wa kibga mwilini ivyo huesabika kama ni tatizo la upingufu wa kinga mwilini na inavyoonyesha hata wewe mwenyewe Tayari huna HIV unatumia ARVs
 
Kwanza Tengua kaulj yako kwamba angejua binte ni Mgonjwa....Umimwi sio ugonjwa bali ukimwi ni upungufu wa kibga mwilini ivyo huesabika kama ni tatizo la upingufu wa kinga mwilini na inavyoonyesha hata wewe mwenyewe Tayari huna HIV unatumia ARVs
Umepanick sana mpaka unakosea kuandika, tulia Mkuu sio ugomvi.
 
Unatakiwa umuombe Mungu huku unajikinga sio unamuomba Mungu huku unafanya mistake za makusudi.

Sijaelewa dhumuni lako, unamaanisha watu wasipime ila watumie condom? Sawa hayo ni mawazo yako.

Mawazo yangu ni kuhamasisha watu kupima pindi waanzapo mahusiano mapya.

Laiti huyu angepima basi angejua binti ni mgonjwa kabla hawajafanya romance zao.

Unatumia kinga na mtu, huku mnashikana maute....mnapeana denda...huoni kama mmoja ni infected risk inakua kubwa?

Ndiyo maambukizi uonekana siku 28 toka ukutane na mtu alie na virusi lakini atleast unakua umechukua taadhari kuliko yule asiepima kabisa.
Pia virusi vya ukimwi huishi katika Damu so mnapofanya ROMANCE ya kubadilishana maete ni mpaka pale mtakapokua na michubuko mdomoni ipelekee kubadilishana Damu ndipo mtaweza kuambukizana UKIMWI
 
Miezi kama miwili hivi iliyopita kuna mwanamke nilikutana naye. Sikusex naye zaidi ya romance (Nashukuru Mungu). Siku mbili zilizopita nimesikia kuwa ni muathirika na anakunywa dawa na rafiki zake wamekuta hiko kibox chini wanadai ni cha ARV's.

Juzi baada ya kupata hizo taarifa amezidi kuniganda! Naomba kuhakikisha je ni kweli?


View attachment 830687
Huyu mwanamke kama atakuwa anatumia hii combination ya dawa mbili pekee basi atakuwa na homa ya ini(hepatitis) .

Maana tiba yake inatumia combination 2 ya dawa za ARVS ambazo ni Tenofovir na emitricitabine kama kibox kinavyoonekana.

Pia hii dawa ndio ile ilitangazwa siku za hivi karibuni huko mkoani Mbeya kama kinga ya ukimwi,..... Kuna uzi wake hapa jukwaani
 
Pia virusi vya ukimwi huishi katika Damu so mnapofanya ROMANCE ya kubadilishana maete ni mpaka pale mtakapokua na michubuko mdomoni ipelekee kubadilishana Damu ndipo mtaweza kuambukizana UKIMWI
Nayajua hayo yote Mkuu.
 
Huyu mwanamke kama atakuwa anatumia hii combination ya dawa mbili pekee basi atakuwa na homa ya ini(hepatitis) .

Maana tiba yake inatumia combination 2 ya dawa za ARVS ambazo ni Tenofovir na emitricitabine kama kibox kinavyoonekana.

Pia hii dawa ndio ile ilitangazwa siku za hivi karibuni huko mkoani Mbeya kama kinga ya ukimwi,..... Kuna uzi wake hapa jukwaani
And of course ni mbeya.........
 
Huyu mwanamke kama atakuwa anatumia hii combination ya dawa mbili pekee basi atakuwa na homa ya ini(hepatitis) .

Maana tiba yake inatumia combination 2 ya dawa za ARVS ambazo ni Tenofovir na emitricitabine kama kibox kinavyoonekana.

Pia hii dawa ndio ile ilitangazwa siku za hivi karibuni huko mkoani Mbeya kama kinga ya ukimwi,..... Kuna uzi wake hapa jukwaani
Nisaidie link ya huo uzi tafadhari
 
Nimependa zaidi aya yako ya mwisho........sitaweza kumshitaki ila nitamuachia alama katika maisha yake hatokaa kuisahau
Nakazia maana ,Unajikuta kakumalizaaa ,uchumi utayumba tuu, alafu mwisho Moton uko unachomwa kama kawaida kwa dhambi za Uongo ,n.k.


Hapa utaambiwa samehe 7*70 ... Saba mara sabin =490 ..... Toka umezaliwa mpaka hapo ulipo,Hujasamehe mara 490???


Mkuu huyu alikua mchepuko au umeoa?? Au ndo kijana bado??
 


Nini maana ya kupima halafu utumie kinga tena? Huwezi shindana na uncertainity wewe.

Idealy mtu ukiwa negative Condom inawekwa pembeni nimekuuliza swali what if spouse wako amekua infected jana yake au akawa infected kesho yake baada ya kupima kwa mara ya pili na mkajiridhisha kuwa sasa mko fresh?

Huwezi pigana na adui ambaye haonekeni we cha msingi ni kumuomba Mungu mkeka wako usitiki.
Umeongea point mkuu
 
Naungana naww , Aende kupima tu kwanza ..usikute ni Hepatatis tu .

Lkn shauku Ni moja, Km ni Hepatatis kwann hakuwa muwazi kwake??...
Kwani jamaa alimuuliza mkuu??,,na pia unajua sio rahisi mtu kuweka wazi ugonjwa alionao!!
 
Naungana naww , Aende kupima tu kwanza ..usikute ni Hepatatis tu .

Lkn shauku Ni moja, Km ni Hepatatis kwann hakuwa muwazi kwake??...
Sasa tatizo la ini wewe mpenziwe linakuusu nini huyo jamaa ni boya kwanj aliwai kumwambia demu tukapime akakataa si waende wakapime pamoja
 
Mnapima hivyo hivyo mara mbili kwa week, ila wewe mzee yote hayo ya nini jitulize tu.
Ukimwi kwa wazee kama #aspirin,sio tishio sana,MTU yuko above 50,maanake akiupata Leo,atavuta mpaka miaka 20,sasa miaka 70,so inatosha kabisa kuishi?
 
Back
Top Bottom