Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kupenda.. hututoi kwa kipenda... ingekuwa hivyo tungewapa dada zenu...maana nao ni wanawakeMmmmh!! Kwani unalazimishwa kutoa jamani? Si unatoa kwa mapenzi yako, why ulalamike na kuona kuwa unachunwa?
Hahaha hiyo kukomoa me siielewi pia, watatujibu wenyewe. Ukiona anakomoa si usimpe tu jamani. Ila ndo wanaogopa kunyimwa papuchi eti, ndo maana wanatoa kishingo upande. Ila mbona wapo wanaume wanakula papuchi Kwa raha zao na hawakomolewi? Hawajui kuchagua sijui ndo na ubahiliHuko kuomba hela kwa kukomoa ni kupi?? Kama nimeomba laki5 ukanipa, next nikapanda kidogo bado ukanipa, tatizo liko wapi?
Ndio hapo mie ninapochoka mwili, roho na maini.
Maana hakuna anaeshikiwa bunduki ili atoe, kama hauna kwanini ujitutumue? Si useme tu 'sina'
Kutoa ni hiari bwana, inamana kila mwanaume anaekula papuchi anatoa hela? Hebu wasituchoshe bwana, mapenzi ni ya wawili.Hahaha hiyo kukomoa me siielewi pia, watatujibu wenyewe. Ukiona anakomoa si usimpe tu jamani. Ila ndo wanaogopa kunyimwa papuchi eti, ndo maana wanatoa kishingo upande. Ila mbona wapo wanaume wanakula papuchi Kwa raha zao na hawakomolewi? Hawajui kuchagua sijui ndo na ubahili
Kumbe kugegedwa ni compensation ya hela ulopewa? Mbona na nyie basi mnaombaga papuchi siku ya kwanza hata hela hujampqa mwenzio? Kila mahusiano yana misingi yake, kama mmeweka misingi ya kulipizana hela kwa papuchi, basi mjipange. Afu papuchi ina price kweli, sioni kama kuna hela ya kulinganishwa nayo tehTatizo mnahesabu sana huko kuchuna yaani unaweza ukadhani umechuna bila wewe kugegedwa....
Ukiona unachunwa si muache tu jamani etiKutoa ni hiari bwana, inamana kila mwanaume anaekula papuchi anatoa hela? Hebu wasituchoshe bwana, mapenzi ni ya wawili.
Kama uliingia kwa gia ya kumwaga hela basi zisikate, we endelea tu kuzitoa si unazo? Sasa ukilalama haitosaidia kitu.
Umesema yote mama, these creatures are sooo selfish.Kumbe kugegedwa ni compensation ya hela ulopewa? Mbona na nyie basi mnaombaga papuchi siku ya kwanza hata hela hujampqa mwenzio? Kila mahusiano yana misingi yake, kama mmeweka misingi ya kulipizana hela kwa papuchi, basi mjipange. Afu papuchi ina price kweli, sioni kama kuna hela ya kulinganishwa nayo teh
Papuchi jamaniii... na hiyo ndo mnatumiaga kutuchunia..Ukiona unachunwa si muache tu jamani eti
POWER OF ATTRACTION. ..that's it!Habari zenu wana JF?
Kuna usemi kuwa "wanawake hupenda kuolewa na baba zao" na "wanaume hupenda kuoa mama zao"
Dont get it wrong, ila ni kuwa binti huwa karibu sana na baba yake hivyo kupelekea kupenda kuwa na mume kama baba yake, halikadhalika kijana kuwa karibu na mama yake hupelekea atamani kuwa na mke kama mama yake (kwa sifa).
Sasa wapendwa wana JF naomba niwaulize, je kwa wanaume wewe ungetamani mke mwenye sifa za mama yako na kwa wanawake wenzangu, je ungetamani mume mwenye sifa kama za baba yako?
Niwatakie jioni njema.
Ni kweli, hakuna binadamu alie mkamilifu.Namkubali mamangu kwa baadhi ya mambo ikiwa pamoja na roho nzuri, uvumilivu na moyo wa kusaidia. Anakosa baadhi ya mambo muhimu. Nimeoa, mke wangu anaweza akawa smart zaidi ya mke wangu, ingawa mapungufu madogo madogo yapo pia.
Nikue Mara ngap na umri huu babu Mimi siwalaumu vijana kupenda waliowazid age maana hata ulaya wapo pia ni maamuz Tu u unaweza kuwa kipato kizur but jimama ukamatamani kuwa Nalo au Jibaba kama Baba yako hahaHaya chacha!! Wory not, ukikua utajua tu.
Basi mtutangazie tu kwamba mnauza..!!Basi toeni tu pesa maana hamna namna.