So hizi timu zinaanzishwa purposely au ni bahati mbaya tu zinatokeq??Misimu michache nyuma pale England kuna timu ilikua inaitwa Wigan, yenyewe ligi nzima ilikuwa inadili na Man City tu. Hata baada ya City kununuliwa bado iliendelea kumtembezea mabanzi. 2013 kudhihirisha anavyomuweza akamgonga palepale Wembley Wigan akawa bingwa wa FA CUP na akashuka daraja msimu huo huo.
Wakamiaji wapo dunia nzima.
Waoneshe usajili wao na kadi za uanachama.Je Azam ni Simba b)
Hizi kauli zina ukweli ndani yake?
"Nilipokuwa nacheza Azam tulikuwa tunajiandaa sana kwenye mechi ya Yanga SC Kuliko ya Simba " - Amri Kiemba, Mchambuzi
"Kuna timu nilikuwa nikiifunga (SIMBA) viongozi wa timu wanakasirika" - Prince Dude, Mchezaji wa klabu ya Yanga SC kipindi bado yupo Azam FC.
"Azam wanaumia sana wakifungwa na Yanga, wakifungwa na Simba hawaumii, Ricardo Momo, Mchambuzi.
"Azam wanajituma sana wakicheza na Yanga kuliko wakicheza na Simba" - Edo Kumwembe, Mchambuzi.
#FutbalPlanetUpdatesView attachment 3108370
Hawa bado wapo kwa wazazi au kwa Dada zao walikoolewaHebu tunzeni nguvu za kuwatafutia ugali watoto...msije pata depression...
Mzee bakhresa hajarudisha kadi ya simba, alikua muweka hazina simba,akagharamia safari ya ulayaWaoneshe usajili wao na kadi za uanachama.
Mzee bakhresa hajarudisha kadi ya simba, alikua muweka hazina simba,akagharamia safari ya ulaya
Hajarudisha,mimi nipo masijala unyamaniUnahisi au unajua kadi yake alipoiweka?
Kwa hiyo hapo masijala mnaendesha na hisia za watu?🤔Hajarudisha,mimi nipo masijala unyamani
Watu jamani 🤣🤣🤣Hajarudisha,mimi nipo masijala unyamani
Ugali wa watoto hautafutwi bali unasongwa kwenye sufuria.Hebu tunzeni nguvu za kuwatafutia ugali watoto...msije pata depression...