Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndiyo, kama Singida tu na Yanga hamna tofauti sanaJe Azam ni Simba b)
Sasa wewe ulijuaje?Zina run secretly
Na bado,mwaka huu wazaramo wanasema ng'wadu kwa ng'wadu,tutaanza kusikia yale malalamiko ya kwenda ikulu[emoji23][emoji23]Hali inatisha Mzee
Aisee! Kumbe Ricardo Momo na Edo Kumwembe wamewahi kuichezea Azam, halafu hawasemi?Je hiziKauli za wachezaji wa Azam dhidi ya mechi za Simba na Yanga Zina ukweli?
"Azam wanaumia sana wakifungwa na Yanga, wakifungwa na Simba hawaumii, Ricardo Momo
"Azam wanajituma sana wakicheza na Yanga kuliko wakicheza na Simba" - Edo Kumwembe
Hakuna kitu irrelevant hapo..Edited..... even though....it's irrelevant to the Post
Singida ni puppet wa yanga hata ukibisha haisaidiiYanga ni independent team...Haina puppet
Ni aina nyingine ya match fixing, na tutawa P.didy wote nje ndani *****Hizi kauli zina ukweli ndani yake?
"Nilipokuwa nacheza Azam tulikuwa tunajiandaa sana kwenye mechi ya Yanga SC Kuliko ya Simba " - Amri Kiemba, Mchambuzi
"Kuna timu nilikuwa nikiifunga (SIMBA) viongozi wa timu wanakasirika" - Prince Dude, Mchezaji wa klabu ya Yanga SC kipindi bado yupo Azam FC.
"Azam wanaumia sana wakifungwa na Yanga, wakifungwa na Simba hawaumii, Ricardo Momo, Mchambuzi.
"Azam wanajituma sana wakicheza na Yanga kuliko wakicheza na Simba" - Edo Kumwembe, Mchambuzi.
#FutbalPlanetUpdatesView attachment 3108370