Je, hizi kauli za wachezaji wa Azam dhidi ya mechi za Simba na Yanga zina ukweli?

Je, hizi kauli za wachezaji wa Azam dhidi ya mechi za Simba na Yanga zina ukweli?

Ni aina nyingine ya match fixing, na tutawa P.didy wote nje ndani *****
MTAMPIDIDI NANI WAKATI KUPIDIDIWA NDO MICHEZO YENU UNAKUMBUKA BAADA YA KABWILI KUPIDIDIWA AKASEMA SIYO PEKE YAKE HADI MASHABIKI WANAPIDIDIWA JUZI KATI TU MWANAYANGA MWENZENU DAIMOND PLATNAMZ KAPIDIDIWA
 
YANGA UMEANZA KUISHABIKIA MWAKA JANA ALIPOSAJILIWA MAYELE NDIO MAANA HATA HAUJUI KUWA YANGA IMESHAWAHI KULA CHUMA 6 MWEHU WEWE USIEJUA MPIRA
Hata umri wang ni mkubwa zaidi yako
 
USHAHIDI NI MWIGULU NCHEMBA AMBAYE ANAIMILIKI SINGIDA BLACK STARS NA HAPO HAPO NI MWANACHAMA NA MJUMBE WA BODI YA WADHAMINI WA YANGA.
Nani alikudanganya Kwamba ye ni mmiliki
 
Hizi kauli zina ukweli ndani yake?

"Nilipokuwa nacheza Azam tulikuwa tunajiandaa sana kwenye mechi ya Yanga SC Kuliko ya Simba " - Amri Kiemba, Mchambuzi

"Kuna timu nilikuwa nikiifunga (SIMBA) viongozi wa timu wanakasirika" - Prince Dude, Mchezaji wa klabu ya Yanga SC kipindi bado yupo Azam FC.

"Azam wanaumia sana wakifungwa na Yanga, wakifungwa na Simba hawaumii, Ricardo Momo, Mchambuzi.

"Azam wanajituma sana wakicheza na Yanga kuliko wakicheza na Simba" - Edo Kumwembe, Mchambuzi.

#FutbalPlanetUpdatesView attachment 3108370
Kwa hali hii basi Dube alikuwa sahihi kuondoka kwenye hiyo timu. Na tangu ameondoka, sikumbuki kama hiyo timu iliwahi kushinda mechi yoyote ile dhidi ya hao ndugu zao.
 
MTAMPIDIDI NANI WAKATI KUPIDIDIWA NDO MICHEZO YENU UNAKUMBUKA BAADA YA KABWILI KUPIDIDIWA AKASEMA SIYO PEKE YAKE HADI MASHABIKI WANAPIDIDIWA JUZI KATI TU MWANAYANGA MWENZENU DAIMOND PLATNAMZ KAPIDIDIWA
😆😂😂😄😄😃😃😃 Ila wabongo hamchelewi na jambo
 
Screenshot_20240928-093703.jpg
 
Back
Top Bottom