Je, hizi kauli za wachezaji wa Azam dhidi ya mechi za Simba na Yanga zina ukweli?

Je, hizi kauli za wachezaji wa Azam dhidi ya mechi za Simba na Yanga zina ukweli?

Ambatanisha na ushahidi wa mechi 10 kati ya Simba vs Azam na Yanga vs Azam.

Walau tuchambue kwa data sio hizi singeki zako Labani og . Mbona ban yako imekuwa fupi sana. Kuna msamaha wa Moderator
 
Kuanzia Jan 2025 nashauri JF iwe na jukwaa jipya la kusema ukweli tu, ili tufanane na wazungu japo kitu kimoja! Kama unajua mtu kasema ukweli usipinge hata kama inakuuma!

Naanza ukweli mmoja leo kama hivi, Azam kukamia Yanga na kuumiza wachezaji wa Yanga ni ukweli, hata Mayele alisema, na wengine wengi na hata ukiangalia mechi hizo zinaonesha!! Ukipinga hili wewe utakuwa na undugu na PDiddy na huna tofauti na wazee wa kibongo wenye utamaduni huo, vijana tusiwafuate.
 
Kuanzia Jan 2025 nashauri JF iwe na jukwaa jipya la kusema ukweli tu, ili tufanane na wazungu japo kitu kimoja! Kama unajua mtu kasema ukweli usipinge hata kama inakuuma!

Naanza ukweli mmoja leo kama hivi, Azam kukamia Yanga na kuumiza wachezaji wa Yanga ni ukweli, hata Mayele alisema, na wengine wengi na hata ukiangalia mechi hizo zinaonesha!! Ukipinga hili wewe utakuwa na undugu na PDiddy na huna tofauti na wazee wa kibongo wenye utamaduni huo, vijana tusiwafuate.
Chaajabu ... makolo wanapinga
 
Define AZAM.
Azam is the branch of Simba.
Which deals to get simba sports club three point in nbc Premier league.
 
Back
Top Bottom