Je, hizi kauli za wachezaji wa Azam dhidi ya mechi za Simba na Yanga zina ukweli?

Je hiziKauli za wachezaji wa Azam dhidi ya mechi za Simba na Yanga Zina ukweli?

"Azam wanaumia sana wakifungwa na Yanga, wakifungwa na Simba hawaumii, Ricardo Momo

"Azam wanajituma sana wakicheza na Yanga kuliko wakicheza na Simba" - Edo Kumwembe
Aisee! Kumbe Ricardo Momo na Edo Kumwembe wamewahi kuichezea Azam, halafu hawasemi?
 
Na bado,mwaka huu wazaramo wanasema ng'wadu kwa ng'wadu,tutaanza kusikia yale malalamiko ya kwenda ikulu
Yaaah mkuu nafasi ya pili Simba wamepa mpinzani .....singida fountain
 
Ni aina nyingine ya match fixing, na tutawa P.didy wote nje ndani *****
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…