Daaah kidogo unanipa picha kuna mtu nliwahi msikia anasema yy mwanzo baada ya kufanya vipimo regence akawa na wadudu Mia 8, akapewa dawa, baada ya miezi 6 kurudi wadudu wakawa mia 4, dokta akamwambia hapo aendeleze tuu kunywa dawa na kujichunga wadudu wenyewe wataondoka mwilini.... Je ndo hivyo ndg auMajibu ya vipimo vya hepatitis kuna utalaam wake jinsi ya kuyainterpret.
Yeah ni kweli 100% mitishamba inaua figo though siyo yote.
Picha?Huu mmea wa mzalia nyuma nakutana nao sana kwa watu tofauti tofauti linapozungumziwa swala la homa ya ini.
Napata picha juu ya huu mti wa mzalia nyuma.
Usingaike sana na hizo dawa za kienyeji utaua figo.
Yeah ni kweli 100% mitishamba inaua figo though siyo yote.
Uongo mtupu.Nnavyojua kwa haraka haraka japo uhakika snao make sjawahi mshuhudia mtu ameathirika nalo kuna aina flani hivi ya Aloevera inapatikana sna porini yenyewe inakuwa syo ya kijani ile ndo imesemekana kua inaua figo
Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
Andika sasa hivi mkuu maana hali ni mbaya
Ni kweli wanafanya kuogopesha watu ili wauze madawa mfano mi kuna watu wengi tu nimewasaidia bure kwenye inshu ya homoni kutokuwa balance hosptalin kila wakipewa dawa inapoa kwa muda lkn inarudi na dawa yake ni ya miti shamba na wamepona mazima sasa shangaa unaambiwa maneno kibao ya kuogofyaUongo mtupu.
Matapeli yanayouza dawa za hospitali yanatengeneza uongo ili dawa za mimea zionekane hazifai.
Figo zinaharibiwa na machanjo pamoja na madawa ya hospitali.
Huwezi kuharibiwa figo kwa kunywa mchaichai...
Wapumbavu wakubwa hawa.
Hahahahahahahahaha naona umeweka na tangazo lako la biashara hapo hapooNi kweli wanafanya kuogopesha watu ili wauze madawa mfano mi kuna watu wengi tu nimewasaidia bure kwenye inshu ya homoni kutokuwa balance hosptalin kila wakipewa dawa inapoa kwa muda lkn inarudi na dawa yake ni ya miti shamba na wamepona mazima sasa shangaa unaambiwa maneno kibao ya kuogofya
Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
Mkuu sifanyi biashara yoyote na kama unafatilia humu mada nyingi nim share dawa humu bila kificho ndo maana hata hii mada hapo juu dawa nmeweka hapo bila kificho. Sko kama unavyofkiria wewe hapo bali naongea uhalisia ulivyo mi najua dawa nyingi lkn sfanyi biashara kwa afya ya mtu.Hahahahahahahahaha naona umeweka na tangazo lako la biashara hapo hapoo
Asantee kwa kutoa elimu ya bureDawa yake ni kama ifuatavyo hapa
1:unga wa majani ya phylanthus(maarufu kama mzalia nyuma ) vijiko 12 v
2: unga wa manjano iwe mpya vijiko 8
3:unga wa mizizi ya aloevera vijiko 8
4:unga wa matawi ya masongwe vijiko 8
Changanya vyote kwa pamoja vizuri mpaka upate mchanganyiko mzuri
Matumizi ni kijiko kidogo unaweka kwenye maji ya moto sana unakoroga vizuri unaacha ipoe kunywa kutwa mara 3 ndani ya sku 120 kutegemea ukubwa wa tatzo Mungu atakusaidia utapona
Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
Usijal Mzee mwenzanguu, pamojaaMkuu sifanyi biashara yoyote na kama unafatilia humu mada nyingi nim share dawa humu bila kificho ndo maana hata hii mada hapo juu dawa nmeweka hapo bila kificho. Sko kama unavyofkiria wewe hapo bali naongea uhalisia ulivyo mi najua dawa nyingi lkn sfanyi biashara kwa afya ya mtu.
Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
Kwa haya maelezo yako ninaimani hii dawa yako ni ya hakika kabisa, nilikuwa nasubiri maelekezo yako, shukran sn mkuu, tunasubiri mrejesho wa mwenye tatizo.Kuhusu vyakula wakati unatumia dawa sansana ni kuacha kula vyakula na kunywa vinavyozalishwa viwandani kama soda hzo
Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
Mzalia nyuma upoje ? Hata picha tu itafaa.Huu mmea wa mzalia nyuma nakutana nao sana kwa watu tofauti tofauti linapozungumziwa swala la homa ya ini.
Napata picha juu ya huu mti wa mzalia nyuma.
Masongwe ni mmea gani ? Picha yake tafadhaliDawa yake ni kama ifuatavyo hapa
1:unga wa majani ya phylanthus(maarufu kama mzalia nyuma ) vijiko 12 v
2: unga wa manjano iwe mpya vijiko 8
3:unga wa mizizi ya aloevera vijiko 8
4:unga wa matawi ya masongwe vijiko 8
Changanya vyote kwa pamoja vizuri mpaka upate mchanganyiko mzuri
Matumizi ni kijiko kidogo unaweka kwenye maji ya moto sana unakoroga vizuri unaacha ipoe kunywa kutwa mara 3 ndani ya sku 120 kutegemea ukubwa wa tatzo Mungu atakusaidia utapona
Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
Hiyo mimea uliyoitaja ni dawa ya homa ya ini inapatikana wapi mkuu, na vp kuhusu huo mmea wa mzalia nyuma umesema kutibu hepatitis B ni moja ya maajabu yake je maajabu mengine ni yapi mkuu.Ndio ni kweli unamaajabu yake mengi tu hilo likiwa moja wapo mkuu
Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
Kama upo Dar nenda ujaribu pale kariakoo sokoni (shimoni) ulizia maduka ya kisuna zipo kila aina ya dawa za kisuna mkuu tena kwa bei elekezi kabisa.Changamoto ni kwenye kuupata tu.
Ngoja tumbane kutafuta hizo package mkuu
Kapicha tafadhali.Kwenye makazi na sehem za njiani hasa zile za watembea kwa miguu kwa pembeni yake inaota sana
Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
Kuna wapuuzi wengi humu JF wanaeneza huo upumbavu wao, wakati watu tunatumia hizi dawa za mitishamba miaka nenda rudi na tunapona 100%.Muongo mkubwa wewe!
Tangu lini dawa za mimea zikaua figo?
Kwendeni na makemikali yenu huko.
Mitishamba ni salama kwa asilimia zote na inafanya kazi kwa ubora usiotia mashaka.
Mkuu naomba uweke hapa hiyo dawa ya homoni imbalance utanisaidia sn.Ni kweli wanafanya kuogopesha watu ili wauze madawa mfano mi kuna watu wengi tu nimewasaidia bure kwenye inshu ya homoni kutokuwa balance hosptalin kila wakipewa dawa inapoa kwa muda lkn inarudi na dawa yake ni ya miti shamba na wamepona mazima sasa shangaa unaambiwa maneno kibao ya kuogofya
Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app