Je, homa ya ini inatibika kwa mitishamba?

Je, homa ya ini inatibika kwa mitishamba?

Majibu ya vipimo vya hepatitis kuna utalaam wake jinsi ya kuyainterpret.

Yeah ni kweli 100% mitishamba inaua figo though siyo yote.
Daaah kidogo unanipa picha kuna mtu nliwahi msikia anasema yy mwanzo baada ya kufanya vipimo regence akawa na wadudu Mia 8, akapewa dawa, baada ya miezi 6 kurudi wadudu wakawa mia 4, dokta akamwambia hapo aendeleze tuu kunywa dawa na kujichunga wadudu wenyewe wataondoka mwilini.... Je ndo hivyo ndg au
 
Nnavyojua kwa haraka haraka japo uhakika snao make sjawahi mshuhudia mtu ameathirika nalo kuna aina flani hivi ya Aloevera inapatikana sna porini yenyewe inakuwa syo ya kijani ile ndo imesemekana kua inaua figo

Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
Uongo mtupu.

Matapeli yanayouza dawa za hospitali yanatengeneza uongo ili dawa za mimea zionekane hazifai.

Figo zinaharibiwa na machanjo pamoja na madawa ya hospitali.

Huwezi kuharibiwa figo kwa kunywa mchaichai...

Wapumbavu wakubwa hawa.
 
Uongo mtupu.

Matapeli yanayouza dawa za hospitali yanatengeneza uongo ili dawa za mimea zionekane hazifai.

Figo zinaharibiwa na machanjo pamoja na madawa ya hospitali.

Huwezi kuharibiwa figo kwa kunywa mchaichai...

Wapumbavu wakubwa hawa.
Ni kweli wanafanya kuogopesha watu ili wauze madawa mfano mi kuna watu wengi tu nimewasaidia bure kwenye inshu ya homoni kutokuwa balance hosptalin kila wakipewa dawa inapoa kwa muda lkn inarudi na dawa yake ni ya miti shamba na wamepona mazima sasa shangaa unaambiwa maneno kibao ya kuogofya

Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
 
Ni kweli wanafanya kuogopesha watu ili wauze madawa mfano mi kuna watu wengi tu nimewasaidia bure kwenye inshu ya homoni kutokuwa balance hosptalin kila wakipewa dawa inapoa kwa muda lkn inarudi na dawa yake ni ya miti shamba na wamepona mazima sasa shangaa unaambiwa maneno kibao ya kuogofya

Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
Hahahahahahahahaha naona umeweka na tangazo lako la biashara hapo hapoo
 
Hahahahahahahahaha naona umeweka na tangazo lako la biashara hapo hapoo
Mkuu sifanyi biashara yoyote na kama unafatilia humu mada nyingi nim share dawa humu bila kificho ndo maana hata hii mada hapo juu dawa nmeweka hapo bila kificho. Sko kama unavyofkiria wewe hapo bali naongea uhalisia ulivyo mi najua dawa nyingi lkn sfanyi biashara kwa afya ya mtu.

Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
 
Dawa yake ni kama ifuatavyo hapa
1:unga wa majani ya phylanthus(maarufu kama mzalia nyuma ) vijiko 12 v
2: unga wa manjano iwe mpya vijiko 8
3:unga wa mizizi ya aloevera vijiko 8
4:unga wa matawi ya masongwe vijiko 8
Changanya vyote kwa pamoja vizuri mpaka upate mchanganyiko mzuri
Matumizi ni kijiko kidogo unaweka kwenye maji ya moto sana unakoroga vizuri unaacha ipoe kunywa kutwa mara 3 ndani ya sku 120 kutegemea ukubwa wa tatzo Mungu atakusaidia utapona


Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
Asantee kwa kutoa elimu ya bure
 
Mkuu sifanyi biashara yoyote na kama unafatilia humu mada nyingi nim share dawa humu bila kificho ndo maana hata hii mada hapo juu dawa nmeweka hapo bila kificho. Sko kama unavyofkiria wewe hapo bali naongea uhalisia ulivyo mi najua dawa nyingi lkn sfanyi biashara kwa afya ya mtu.

Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
Usijal Mzee mwenzanguu, pamojaa
 
Kuhusu vyakula wakati unatumia dawa sansana ni kuacha kula vyakula na kunywa vinavyozalishwa viwandani kama soda hzo

Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
Kwa haya maelezo yako ninaimani hii dawa yako ni ya hakika kabisa, nilikuwa nasubiri maelekezo yako, shukran sn mkuu, tunasubiri mrejesho wa mwenye tatizo.
 
Dawa yake ni kama ifuatavyo hapa
1:unga wa majani ya phylanthus(maarufu kama mzalia nyuma ) vijiko 12 v
2: unga wa manjano iwe mpya vijiko 8
3:unga wa mizizi ya aloevera vijiko 8
4:unga wa matawi ya masongwe vijiko 8
Changanya vyote kwa pamoja vizuri mpaka upate mchanganyiko mzuri
Matumizi ni kijiko kidogo unaweka kwenye maji ya moto sana unakoroga vizuri unaacha ipoe kunywa kutwa mara 3 ndani ya sku 120 kutegemea ukubwa wa tatzo Mungu atakusaidia utapona


Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
Masongwe ni mmea gani ? Picha yake tafadhali
 
Ndio ni kweli unamaajabu yake mengi tu hilo likiwa moja wapo mkuu

Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
Hiyo mimea uliyoitaja ni dawa ya homa ya ini inapatikana wapi mkuu, na vp kuhusu huo mmea wa mzalia nyuma umesema kutibu hepatitis B ni moja ya maajabu yake je maajabu mengine ni yapi mkuu.

Natanguliza shukran [emoji120]
 
Changamoto ni kwenye kuupata tu.

Ngoja tumbane kutafuta hizo package mkuu
Kama upo Dar nenda ujaribu pale kariakoo sokoni (shimoni) ulizia maduka ya kisuna zipo kila aina ya dawa za kisuna mkuu tena kwa bei elekezi kabisa.
 
Muongo mkubwa wewe!

Tangu lini dawa za mimea zikaua figo?

Kwendeni na makemikali yenu huko.

Mitishamba ni salama kwa asilimia zote na inafanya kazi kwa ubora usiotia mashaka.
Kuna wapuuzi wengi humu JF wanaeneza huo upumbavu wao, wakati watu tunatumia hizi dawa za mitishamba miaka nenda rudi na tunapona 100%.
 
Kuna dawa ya mtu asiyeona?
Macho yamekosa nguvu kabisa kwa sababu ya pressure ya macho. Umri ni miaka 69.
Natanguliza shukran. .
 
Ni kweli wanafanya kuogopesha watu ili wauze madawa mfano mi kuna watu wengi tu nimewasaidia bure kwenye inshu ya homoni kutokuwa balance hosptalin kila wakipewa dawa inapoa kwa muda lkn inarudi na dawa yake ni ya miti shamba na wamepona mazima sasa shangaa unaambiwa maneno kibao ya kuogofya

Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
Mkuu naomba uweke hapa hiyo dawa ya homoni imbalance utanisaidia sn.
 
Back
Top Bottom