Dawa yake ni kama ifuatavyo hapa
1:unga wa majani ya phylanthus(maarufu kama mzalia nyuma ) vijiko 12 v
2: unga wa manjano iwe mpya vijiko 8
3:unga wa mizizi ya aloevera vijiko 8
4:unga wa matawi ya masongwe vijiko 8
Changanya vyote kwa pamoja vizuri mpaka upate mchanganyiko mzuri
Matumizi ni kijiko kidogo unaweka kwenye maji ya moto sana unakoroga vizuri unaacha ipoe kunywa kutwa mara 3 ndani ya sku 120 kutegemea ukubwa wa tatzo Mungu atakusaidia utapona
Sent from my Infinix PR652B using
JamiiForums mobile app