Yeah afanye hivyoMkuu naomba uweke hapa hiyo dawa ya homoni imbalance utanisaidia sn.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yeah afanye hivyoMkuu naomba uweke hapa hiyo dawa ya homoni imbalance utanisaidia sn.
Mkuu dawa ya hiyo kitu ni mizizi ya mpera na mizizi ya mbaazi unaikatakata vipande vidovidogo tu unachemsha mgonjwq anatumia kikombe kutwa mara 2 ndani ya sku 3 ...4 anapona kabsaMkuu naomba uweke hapa hiyo dawa ya homoni imbalance utanisaidia sn.
Kapicha nitakatuma tu nikikapata make hapa nilipo saivi havipoKapicha tafadhali.
Hiyo ya macho nnachojua dawa ya macho ni vifuu vya nazi ,unavichoma unasaga unapata unga wake mgonjwa anakuwa anatumia kwenye maji ya vuguvugu kikombe kimoja kutwa mara 3 lkn ndani ya nusu saa kabla ya kula ndani ya wiki 3Kuna dawa ya mtu asiyeona?
Macho yamekosa nguvu kabisa kwa sababu ya pressure ya macho. Umri ni miaka 69.
Natanguliza shukran. .
Nashukuru sana mkuu, ubarikiwe popote ulipo [emoji120]Mkuu dawa ya hiyo kitu ni mizizi ya mpera na mizizi ya mbaazi unaikatakata vipande vidovidogo tu unachemsha mgonjwq anatumia kikombe kutwa mara 2 ndani ya sku 3 ...4 anapona kabsa
Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
Elimu ya bure kabisa hii [emoji120][emoji120]Hiyo ya macho nnachojua dawa ya macho ni vifuu vya nazi ,unavichoma unasaga unapata unga wake mgonjwa anakuwa anatumia kwenye maji ya vuguvugu kikombe kimoja kutwa mara 3 lkn ndani ya nusu saa kabla ya kula ndani ya wiki 3
Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
Mungu akubariki sana mtu wa MunguHiyo ya macho nnachojua dawa ya macho ni vifuu vya nazi ,unavichoma unasaga unapata unga wake mgonjwa anakuwa anatumia kwenye maji ya vuguvugu kikombe kimoja kutwa mara 3 lkn ndani ya nusu saa kabla ya kula ndani ya wiki 3
Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
Siyo mti mkuu ni kammea flani hivi kama maua tuMti unaitwa mzalia nyuma!!? Duh![emoji15]
Huu unga wake si unapatikana kwenye maduka ya kisuna?Siyo mti mkuu ni kammea flani hivi kama maua tu
Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
Mkuu kama hutojali tunaomba utuwekee na formula ya dawa ya kisukari mkuu.Siyo mti mkuu ni kammea flani hivi kama maua tu
Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
Wachache wanakuwa nao mkuuHuu unga wake si unapatikana kwenye maduka ya kisuna?
Vifuu ukishachoma si vinakuwa majivu mkuu au unachomaje??Hiyo ya macho nnachojua dawa ya macho ni vifuu vya nazi ,unavichoma unasaga unapata unga wake mgonjwa anakuwa anatumia kwenye maji ya vuguvugu kikombe kimoja kutwa mara 3 lkn ndani ya nusu saa kabla ya kula ndani ya wiki 3
Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
Wewe manjestaa una kisukari achana na iyo timu njoo Chelsea ule maisha ni dawa tosha ya kisukari🤣🤣🤣🤣🤣Mkuu kama hutojali tunaomba utuwekee na formula ya dawa ya kisukari mkuu.
Kwa kingereza unaitwaje labuda tunaeza kujua Zaidi.Siyo mti mkuu ni kammea flani hivi kama maua tu
Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
We bhn lugha yako huwa unanchekesha sn eti labuda [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kwa kingereza unaitwaje labuda tunaeza kujua Zaidi.
Kuna namna ya kuvichoma mkuu hautumii mkaa bali majani mepesi tu yale unaweka kwenye ktu kama bati hvi kama umewahi kuona wanavyobabua wale samak wadogo wanaitwa furu huko kanda ya ziwa utàelewa unatanguliza majan kdogo unaweka vifuu na majan mengne juu vikiwa vyeus tu unatoa unatwanga unapata unga wakeVifuu ukishachoma si vinakuwa majivu mkuu au unachomaje??
Ni ile wengine wanauza wanasema dawa ya nguvu za kiume. Nilikuwa duka moja la mmama mwarabu akamchukulia mme wake na ilikuwa routinely. Midogo hivi na rangi kama imechomwa na juaNnavyojua kwa haraka haraka japo uhakika snao make sjawahi mshuhudia mtu ameathirika nalo kuna aina flani hivi ya Aloevera inapatikana sna porini yenyewe inakuwa syo ya kijani ile ndo imesemekana kua inaua figo
Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
Watu hapa tunatumia scientific evidence na research au ushuhuda. Mambo ya kwa jina la Yesu peleka kwenye majini uko. Mnakuwa wapumbavu mnanisha kitu bila hoja wala uzoefu wowote kisa imani zenu.Tapeli wewe.
Utashindwa kwa Jina La Yesu.
Madawa yenu ya hospitali ndio yanaua figo kwa kasi ya ajabu.
Mimea ya mwenyezi mungu ni salama na haina tatizo lolote.
Ushasema ulitumia vby, hata dawa za hospitali ukitumia vby pia zina madhara, by the way baki na imani yako usilazimishe unachoamini wewe kiwe hivyo.Watu hapa tunatumia scientific evidence na research au ushuhuda. Mambo ya kwa jina la Yesu peleka kwenye majini uko. Mnakuwa wapumbavu mnanisha kitu bila hoja wala uzoefu wowote kisa imani zenu.
I can confirm 100% kwamba dawa za kienyeji zisipozingatiwa zina madhara. Hasa usipojua dozi. Unaambiwa chemsha kunywa kikombe kidogo, kikombe kidogo ndio nini. Mimi kikombe changu kidogo ni 350ml, huyu atatafsiri kidogo ni 550ml, mwingine atatumia 200ml.
Nikiwa mdogo niliwahi pata kiungulia kikali baada ya kuelezwa vibaya dawa ya kikohozi nikazidisha dozi. Bado kuna dawa fulani ya kupiga chafya nilitumia nyingi bila kujua kiasi nikaumwa kichwa vibaya. Sasa imagine hizo ziwe ni dawa za kutumia siku 120